Magesa Mulongo na mti upindao

Magesa Mulongo na mti upindao

Tunamkaribisha chini ya mti mkavu ambapo mvua na jua hutuishia mwilini.
 
Akauze mitumba makoroboi.
Kazi ni kazi Mulongo usione soo.

Au kama vipi kavue sato na sangara .
 
Mama alisema huyu mtotot hana adabu kabisa. Sijui Rais hamjui . Kafurahi sana baada ya kutolewa.
 
Aliyekuwa mkuu wa mkoa wa Mara Magesa Mulongo alidhani hii serikali ya mh. Magufuli ni kama serikali zilizopita. Aliamua kutumbua viongozi katika ngazi ya vijiji na kuwaacha wale viongozi wa wilaya akidhania kuwa rais wetu mpendwa hataweza kugundua kinachoendelea. Hii ni serikali imara na madhubuti wala haijaribiwi kwa namna yoyote ile.
 
tutasikia mengi sana......ila alijisikia sana wacha na mimi niseme.....mpambe nuksi
 
Magesa mulongo ukiona kila mtu anakusema kwa mabay uliyotenda nakushauri rudi kwa mungu wako ukatubu. Maana tangu utumbuliwe watu wanazidi kumpongeza jpm na kuanika mabaya uliyofanya tangu enzi zile za bagamoyo ulivyomfanyia yule mama angalia sana huko uendako masikitiko ya watu yakizidi mungu huwa anawajibia
 
Huku kwetu kuna msemo unaosema whatever goes around comes around nahisi utakumbuka ulichowafanyia wafanyakazi wenzako zaidi ya 5 wakati ni RC wa bagamoyo..

Alikua DC wa Bagamoyo
Mpaka akatuma polisi kukagua nyumba za watu usiku. Jamaa anatabia ya ajabu sana ! Na kuiba simu za watu.
 
Kapewa mapigo makali ya kuumiza moyo
Nikweli kabisa mkuu maana malipo ni hapa hapa duniani na sasa anavuna alicho kipanda kwa binadamu wenzake, kumbuka wale wapiga kura walio mchagua wenje jinsi walivyo sononeka baada ya matokeo
 
Tupatupa acha kumfanyia kampeni huyu Magesa Mulongo. Huyu ni kati ya Wakuu wa Mikoa wa ovyo sana. Kwa sasa Mkuu wa Mkoa wa ovyo aliyebaki hapa nchini ni Paul Makonda.
 
Tupatupa acha kumfanyia kampeni huyu Magesa Mulongo. Huyu ni kati ya Wakuu wa Mikoa wa ovyo sana. Kwa sasa Mkuu wa Mkoa wa ovyo aliyebaki hapa nchini ni Paul Makonda.
Hahaaaa
 
What goes around....... Ninafikiri huko alipo yule Katibu Tawala aliyemchongea akafukuzwa kazi kule Mwanza, atakuwa anachekelea. Haki imetendeka. Alipaswa kufukuzwa wakati ule, sisi wengine tulishangaa sana, na tulimkosoa sana Rais kwa kushindwa kumfuta kazi. Lakini kuna vichwa kila Rais akikosolewa huwa vinafikiri anakosolewa kwa ubaya. Hii imeonyesha tena kwamba siku zote mambo mengi tunayoyapigia kelele humu JF ni ya kweli kwa zaidi ya asilimia 80%.
 
Huyo hana shida yeyote ana masters degree ataenda fundisha saut ama jk nyerere university butihama na maisha yatakuwa super tu

Kwa hiyo ukishakuwa na master's degree, basi una sifa za kufundisha Chuo Kikuu? Hivi kweli vijana watakaofundishwa na huyo jamaa kuna kitu watapata hapo? Kama wakufunzi tulio nao kwenye vyuo vyetu ni aina ya Mulongo, no wonder vijana wetu wanaomaliza vyuo vikuu miaka hii wamekuwa dhaifu sana.
 
huyo jamaa hata sijui kwa nini alikuwa anateuliwa?
 
Back
Top Bottom