Magesa Mulongo na mti upindao

Magesa Mulongo na mti upindao

Kuenguliwa kutoka kwenye nafasi yake ya uteuzi ni jambo la kawaida. Ingawa nafikiri huyu jamaa alitakiwa atumbuliwe siku nyingi.

Ninachikiona kwa Mulongo ni kuwa ana zile tabia za watu wanaojiona wanajua kila kitu. Hawajifunzi hata kama maisha yatawapa nafasi ya kujifunza. Angejirekebisha mapema naamini yasingemkuta haya. Ngoja ajipange upya!
 
Ila Godbless lema ana laana Kali sana,Ccm wasimchezee,hata naibu spika aangalie asije kupata laana ya umma akaondolewa kwenye nafasi yake
Mkuu sio laana ni maombi yake na wananchi wake, ukimtumaini Mungu huta aibika milele, nakumbuka kuna askari mjoa aliletwa Arusha akwa anajitapa kuwa ameletwa kummaliza Lema na hii kwake ni kazi ndogo sana, siku moja akiwa kwenye mgahawa unaoitwa fifi mh. Lema alimuona akamfuata na kumsalimia na kumwambia kwa nini anajitapa amekuja kumaliza kwana wana ugomvi gani, akajichekesha tu kama hajielewi, looo baada ya muda mfupi tu yule askari akapatwa na ugonjwa wa kupooza akawa hajiwezi kabisa, na sasa ni marehemu tayari. Ukiwa huna ubaya na mtu akufanyiae ubaya mabaya humrudia mwenyewe.Mungu nimwema sana.
 
Huyu jamaa atasahaulika kabisa kabisa kisiasa aisee.

Kwa siasa za upepo zilivyo mbovu, upepo ushamgeuka.

Ajipange atafute ishu nyingine.
 
Huyo hana shida yeyote ana masters degree ataenda fundisha saut ama jk nyerere university butihama na maisha yatakuwa super tu
Je first degree ana GPA angalau ya 3.5? Je, first degree alisoma masomo ambayo hivyo vyuo ni priority? Ni rahisi kusema lakini si rahisi kihivyo. Ukumbuke akiajiriwa Chuo chochote atakuwa assistant lecturer. Hicho cheo na ukuu wa mkoa wapi na wapi? Jenga hoja nyingine
 
Huyu jamaa atasahaulika kabisa kabisa kisiasa aisee.

Kwa siasa za upepo zilivyo mbovu, upepo ushamgeuka.

Ajipange atafute ishu nyingine.
Wakati yupo musoma alishaanza kuchongesha mitumbwi na kununua nyavu za kuvulia dagaa
 
Sasa alikuwa ameanza kuwa mweupe akiingia kwenye uvuvi rangi yake ya Asili ya mwili itarudi,atakuwa mweusi tiii kwa kuwa itabidi akae juani.

Alifikiri kumchakachua wenje kungemlipa cheo kizuri
Sasa hivi ajiandae kuwa mvuvi wa sato na sangara
 
Sasa alikuwa ameanza kuwa mweupe akiingia kwenye uvuvi rangi yake ya Asili ya mwili itarudi,atakuwa mweusi tiii kwa kuwa itabidi akae juani.

Alifikiri kumchakachua wenje kungemlipa cheo kizuri
Ni kweli kabisa mkuu, mungu daima uwa anajibu kilio cha wanyonge
 
Ila mnaofanya kazi za serikali kwa kuwakandamiza watu wengine kuwa kumbukeni mtarudi kwenye jamiii hiyohiyo baada ya kuachishwa ghafla au kustaafu
Nani aliyekandamizwa....amekandamiziwa wapi
 
"Jamaa" kasema atawalinda!!!
Au Mulongo hahusiki hapa!!!
 
Huku kwetu kuna msemo unaosema whatever goes around comes around nahisi utakumbuka ulichowafanyia wafanyakazi wenzako zaidi ya 5 wakati ni RC wa bagamoyo..
 
Back
Top Bottom