Magesa Mulongo na mti upindao

Magesa Mulongo na mti upindao

Magesa Mulongo,aliyekuwa Mkuu wa mkoa wa Mara ametokea mbali. Kabla ya kupelekwa Mara, Mulongo alikuwa mkuu wa mkoa wa Arusha na hata Mwanza.

Kihistoria,Magesa Mulongo ametokea chini hasa kusikojulikana kama akina Waziri Simbachawene na Waziri Lukuvi. Ukada ukambeba. Ukampa vyeo. Ukampandisha hapa hadi pale. Sasa,ukada unamshusha.

Kwa kutenguliwa ukuu wake wa mkoa,Mulongo namfananisha na mpandamti upindao. Mti upindao,ukipandwa hupinda na kukurejesha chini tena kwa kasi isiyo hasi wala nafasi.

Hatahivyo,kote alikopita Magesa Mulongo alikuwa akisifiwa na kulalamikiwa. Kutenguliwa kwake,kwahiyo kutahuzunisha na kufurahisha. Ndiyo maisha ya siasa!

Mzee Tupatupa wa Lumumba (kwasasa Dodoma)


mipango ya viongozi wetu huwa haieleweki maana hata OLE NJOOLAY ALIONDOLEWA KIAINA
 
Namtafuta sana nimuone akiwa hana cheo hata katiba wa shina....au katibu kata anakuwaje!!!?? Utakuta mpolee!!! ....arudi kwa JK awe House Boy atamuombea msamaha awe admin wa ofisi ya PM! La sivyo ataaibika mjini hapa! Sijui hata kama amejijenga hata pa kuishi!! Na dharau zake vile!! Utakuta hana hata kajumba.......wal pa kufikia!!! Asije akajiua....maana kama nyuma angejenga bagamoyo Alikaa kaaa kidogo!! Arusha na Mwanza hakuna kitu!! Mpuuzi sana!! Akiwa Bagamoyo alikuwa anakuja kila kumamosi salon Dar, !!! Anaenda pale BM kinondoni!! Mafuta bure muda......anakuja kunyoa! Nilikuwa sielewi!! Akija pale full masifa.....na majigambo!!!
Magesa Mulongo,aliyekuwa Mkuu wa mkoa wa Mara ametokea mbali. Kabla ya kupelekwa Mara, Mulongo alikuwa mkuu wa mkoa wa Arusha na hata Mwanza.

Kihistoria,Magesa Mulongo ametokea chini hasa kusikojulikana kama akina Waziri Simbachawene na Waziri Lukuvi. Ukada ukambeba. Ukampa vyeo. Ukampandisha hapa hadi pale. Sasa,ukada unamshusha.

Kwa kutenguliwa ukuu wake wa mkoa,Mulongo namfananisha na mpandamti upindao. Mti upindao,ukipandwa hupinda na kukurejesha chini tena kwa kasi isiyo hasi wala nafasi.

Hatahivyo,kote alikopita Magesa Mulongo alikuwa akisifiwa na kulalamikiwa. Kutenguliwa kwake,kwahiyo kutahuzunisha na kufurahisha. Ndiyo maisha ya siasa!

Mzee Tupatupa wa Lumumba (kwasasa Dodoma)
 
Magesa Mulongo,aliyekuwa Mkuu wa mkoa wa Mara ametokea mbali. Kabla ya kupelekwa Mara, Mulongo alikuwa mkuu wa mkoa wa Arusha na hata Mwanza.

Kihistoria,Magesa Mulongo ametokea chini hasa kusikojulikana kama akina Waziri Simbachawene na Waziri Lukuvi. Ukada ukambeba. Ukampa vyeo. Ukampandisha hapa hadi pale. Sasa,ukada unamshusha.

Kwa kutenguliwa ukuu wake wa mkoa,Mulongo namfananisha na mpandamti upindao. Mti upindao,ukipandwa hupinda na kukurejesha chini tena kwa kasi isiyo hasi wala nafasi.

Hatahivyo,kote alikopita Magesa Mulongo alikuwa akisifiwa na kulalamikiwa. Kutenguliwa kwake,kwahiyo kutahuzunisha na kufurahisha. Ndiyo maisha ya siasa!

Mzee Tupatupa wa Lumumba (kwasasa Dodoma)
..inategemea mti wenyewe unaopanda,kama mnene haupindi,....
 
Magesa Mulongo,aliyekuwa Mkuu wa mkoa wa Mara ametokea mbali. Kabla ya kupelekwa Mara, Mulongo alikuwa mkuu wa mkoa wa Arusha na hata Mwanza.

Kihistoria,Magesa Mulongo ametokea chini hasa kusikojulikana kama akina Waziri Simbachawene na Waziri Lukuvi. Ukada ukambeba. Ukampa vyeo. Ukampandisha hapa hadi pale. Sasa,ukada unamshusha.

Kwa kutenguliwa ukuu wake wa mkoa,Mulongo namfananisha na mpandamti upindao. Mti upindao,ukipandwa hupinda na kukurejesha chini tena kwa kasi isiyo hasi wala nafasi.

Hatahivyo,kote alikopita Magesa Mulongo alikuwa akisifiwa na kulalamikiwa. Kutenguliwa kwake,kwahiyo kutahuzunisha na kufurahisha. Ndiyo maisha ya siasa!

Mzee Tupatupa wa Lumumba (kwasasa Dodoma)
Attention: Daudi Albert Bashite, Ali Happiness, Mrisho Gambo, Ole Sabaya, Jerry Muro

Alijua hatakufa maskini...
 
Zile habari zake za kutangulia mbele za haki naona zimefutwa.

Kifo hakina chama
 
Back
Top Bottom