Huyo hana shida yeyote ana masters degree ataenda fundisha saut ama jk nyerere university butihama na maisha yatakuwa super tu
Magesa Mulongo,aliyekuwa Mkuu wa mkoa wa Mara ametokea mbali. Kabla ya kupelekwa Mara, Mulongo alikuwa mkuu wa mkoa wa Arusha na hata Mwanza.
Kihistoria,Magesa Mulongo ametokea chini hasa kusikojulikana kama akina Waziri Simbachawene na Waziri Lukuvi. Ukada ukambeba. Ukampa vyeo. Ukampandisha hapa hadi pale. Sasa,ukada unamshusha.
Kwa kutenguliwa ukuu wake wa mkoa,Mulongo namfananisha na mpandamti upindao. Mti upindao,ukipandwa hupinda na kukurejesha chini tena kwa kasi isiyo hasi wala nafasi.
Hatahivyo,kote alikopita Magesa Mulongo alikuwa akisifiwa na kulalamikiwa. Kutenguliwa kwake,kwahiyo kutahuzunisha na kufurahisha. Ndiyo maisha ya siasa!
Mzee Tupatupa wa Lumumba (kwasasa Dodoma)
Ana vidato lakini? Nina wasi wasi na upstairs tangu aliposema wakerewe ni washamba sanaAnajua Rais
Mzee Tupatupa
Kwani kuwa na maisha Mazuri lazima uajiliwe serikalini....Ila mnaofanya kazi za serikali kwa kuwakandamiza watu wengine kuwa kumbukeni mtarudi kwenye jamiii hiyohiyo baada ya kuachishwa ghafla au kustaafu
Mulugo hatokaa amsahau mh lemaMagesa Mulongo,aliyekuwa Mkuu wa mkoa wa Mara ametokea mbali. Kabla ya kupelekwa Mara, Mulongo alikuwa mkuu wa mkoa wa Arusha na hata Mwanza.
Kihistoria,Magesa Mulongo ametokea chini hasa kusikojulikana kama akina Waziri Simbachawene na Waziri Lukuvi. Ukada ukambeba. Ukampa vyeo. Ukampandisha hapa hadi pale. Sasa,ukada unamshusha.
Kwa kutenguliwa ukuu wake wa mkoa,Mulongo namfananisha na mpandamti upindao. Mti upindao,ukipandwa hupinda na kukurejesha chini tena kwa kasi isiyo hasi wala nafasi.
Hatahivyo,kote alikopita Magesa Mulongo alikuwa akisifiwa na kulalamikiwa. Kutenguliwa kwake,kwahiyo kutahuzunisha na kufurahisha. Ndiyo maisha ya siasa!
Mzee Tupatupa wa Lumumba (kwasasa Dodoma)
Inawezekana elimu yake ni kubwa kuliko hiyo nafasi ya u rcJamaa alijiona mungu mtu. Matamshi yake yalikuwa na ukakasi sana. Labda atatafutiwa kazi nyingne
Samahani ni Magessa Mulongo au Mulugo? Hapa wanamzungumzia MulongoMulugo hatokaa amsahau mh lema
Asante sana mkuu kwa kunirekebishaSamahani ni Magessa Mulongo au Mulugo? Hapa wanamzungumzia Mulongo
Mulongo amepata alicho stahiliTatizo la Mulongo ni makuzi yake,nakumbuka kipindi yuko Arusha nyumba ndogo yake iliegesha gari CRDB tawi la TRA sehemu isiyotakiwa hata wanausalama walipomwamuru apeleke gari sehemu nyingine bado alikaidi kisa ni yuko na Mkuu wa Mkoa mwenye dharau,majivuno mengi yasiyo na kichwa wala miguu.Askari walitoa upepo gari la nyumba ndogo lakini kwakuwa ilikuwa na uhusiano na Magesa mambo yakamalizwa taratibu.
Huyu si Ndo aligombana na RAS wake ?Magesa Mulongo,aliyekuwa Mkuu wa mkoa wa Mara ametokea mbali. Kabla ya kupelekwa Mara, Mulongo alikuwa mkuu wa mkoa wa Arusha na hata Mwanza.
Kihistoria,Magesa Mulongo ametokea chini hasa kusikojulikana kama akina Waziri Simbachawene na Waziri Lukuvi. Ukada ukambeba. Ukampa vyeo. Ukampandisha hapa hadi pale. Sasa,ukada unamshusha.
Kwa kutenguliwa ukuu wake wa mkoa,Mulongo namfananisha na mpandamti upindao. Mti upindao,ukipandwa hupinda na kukurejesha chini tena kwa kasi isiyo hasi wala nafasi.
Hatahivyo,kote alikopita Magesa Mulongo alikuwa akisifiwa na kulalamikiwa. Kutenguliwa kwake,kwahiyo kutahuzunisha na kufurahisha. Ndiyo maisha ya siasa!
Mzee Tupatupa wa Lumumba (kwasasa Dodoma)
Huyo huyo na sasa yamemgeuka yeye maana muosha daima uoshwaHuyu si Ndo aligombana na RAS wake ?
Sala za yule katibu tawala wa mkoa aliyemfukuzisha Kazi zimejibu,huyoKwanini alitumbuliwa?
Hahahahahaha. Hahahahaha. Umenifurahisha sana Mkuu. Kuangalia kwa dharau ni kosa kisheria?Nlikuwa Napenda ile wrestling yao na Mh Lema enzi zile!!kuna siku aliita polisi wamkamate Lema eti sababu amemwangalia kwa dharau!
Hahahaa. Tena siku hiyo mzee wangu alikupo. Alirudi nyumbani anasonya tu. Nikamuuliza Mzee vipi? hataki kujibu. Hasira zilipokwisha ndo akaanza kutoa story jinsi Magesa Mulongo alivyowadharirisha kwenye mkutano. Watu hawana hamu nayeAna vidato lakini? Nina wasi wasi na upstairs tangu aliposema wakerewe ni washamba sana