covid 19
JF-Expert Member
- May 9, 2014
- 4,876
- 10,590
ni kweli kabisa..Haya magenge huwa kati ya watu wawili mpaka watano
Viongozi wao huwa ni watu wenye elimu kubwa lakini hawana ajira na watumishi wa uma waliofutwa kazi kwa sababu mbalimbali
Wamo
Wanajeshi
Polisi
Wafamasia
Madaktari
Wanasheria
Walimu
Makarani nknk
Hawa wana makundi yao kulingana na fani zao lakini pia wamo mult purpose wanaocheza kote kote na nyanja zao ni
Ishu za madini
Ishu za ajira
Ishu za kupata nyaraka na vibali mbalimbali
Ishu za tenda na mikataba
Ishu za mashamba, viwanja na nyumba
Ishu za uwekezaji
Ishu za biashara mbalimbali
Masomo , ajira na biashara nje ya nchi
Ndani yao wana wataalam wa
Madini
Nyaraka
Lugha
Madawa
Fedha
Na kwenye idara zote za serikali wana watu wao kabisa ambao wako kwenye payroll yao