Mirlz B Matthew
JF-Expert Member
- Oct 10, 2011
- 2,205
- 3,057
๐๐๐๐Kuna watu humu ndani wapo London wanakufanyia mpango wa invitation letter ukijaa tu unao
FULL story pleaseUsiombe yakukute mimi nilijipiga hadi vibao.
Huyo maza ukishika ni 0732 tuuUmenikumbusha wakati dogo kamaliza chuo anatafuta pa kujishikiza...sasa kuna graduate mwenzao akajulishwa na maza mmoja anamfahamu kuwa Pepsi wametoa ajira so atafute wenzake ili huyo maza akawasaidie kupata hizo nafasi.
Huyo graduate akaanza kuwapigia wenzake anawa-connect na yule maza. Then yule maza anapopigiwa na kila graduate aliyekuwa connected basi anawaambie kila mmoja atoe 20k ili yeye akampoze HR isaidie wao kupata nafasi kirahisi.
Haikuwa rahisi kwa wao kujua kama wanapigwa maana aliye wa-connect ambaye ni graduate mwenzao aliwahakikishia kuwa huyo maza anamfahamu.
Kimbembe kikaja kuwa huyu maza kila alipokuwa akitumiwa hiyo 20k anamwambia mhusika naye atafute wenzake wawili na wawahi kwani nafasi ni chache.
Alipozikusunya 20k za kutosha...akatoka hewani. Ha ha ha, ndipo vijana waliokuwa desperate kupata ajira baada ya ku graduate ndiyo wanagundua kuwa wamepigwa. Aliyewa connect naye akabakia kushangaa tu asijue la kufanya. Wakawa wamepigwa kwa style hiyo.
Mkuu funguka, kipimo gani hicho?nliokua naonyeshwa nlikua nataja nyingine dah. Nikaambiwa nivue na za chini kwa ajili ya kile kipimo kikubwa chao.
universty abroad mr tony ni mzurumati sana anawadanganya wazazi wanapokwenda kwake kupeleka watoto kusoma nje ya nchi hakuna mshenzi kama huyu jamaa ni tapeli lililobobea
Mara nyingi sana,wengi wanaotapeliwa tamaa zao ndiyo zinawaponza, maana Tapeli lazima wakutaminishe kitu flani hivi ili uingie tamaa,na ukisha ingia tamaa tu unakua Kama kipofu na unapigwa faster!!mtu anataka mwenyewe kutapeliwa bwana....maana ata hao matapeli huwa wanaangalia na mtu mwenyewe wa kumtaperi...kuna wengine mnajirahisi sana kwa matapeli hadi mnawapa nafasi...pole sana rafiki yangu
Usisahau mtandao wa matapeli wa madini fekiKwa muda mrefu kumekuwa na Magenge mbalimbali ya Utapeli kupitia Mitandao, Waganga na hata Wafanyabiashara. Hadithi n nyingi kuhusu magenge ya watu hawa. Yawezekana una ndugu, rafiki au hata jamaa aliyekumbwa na kadhia ya hii ya kutapeliwa.
Zipo taarifa kuwa ndani ya Magenge haya kuna watu wa kada tofauti ikiwemo watu wa vyombo vya Ulinzi na Usalama
Share story yako hapa.
Wapuuzi sana eti mhudumu wa voda anatumia tigoShukran mkuu yani Kama Mungu nasoma uzi huu Kuna boya kanipigia kadai mhudumu wa voda .nmemlipoti now namba yake+255672703002
Ni kweli wakati mwingine bora umtafute kimya kimya huyo tapeli wako au umuachie Mungu tu, ukienda polisi utaenda kupigwa zaidi na hiyo hela usiipate.Polisi nilienda tatizo ukitoa hela ndio watafatilia sasa laki1 utashangaa umetumia laki3 na bado usipate hela yako..
FungukaMuulizeni Kamanda IGP Siro ile suti aliyovaa siku baada ya kuapishwa alipewa zawadi na nani?
Long story short.Mara nyingi sana,wengi wanaotapeliwa tamaa zao ndiyo zinawaponza, maana Tapeli lazima wakutaminishe kitu flani hivi ili uingie tamaa,na ukisha ingia tamaa tu unakua Kama kipofu na unapigwa faster!!
Da pambana MrMimi nilipigwa na mwanangu (mtoto wa kaka yangu) mmoja hivi wakati nasoma chuo mwaka 2015, kijana wangu (ananizidi 10 yrs).
basi kijana alikuwa na maisha magumu sana kipindi hicho, anafanya biashara haziendi, familia inakula mlo mmoja.
basi nikaamua kumpa ๐ฆ๐ค๐จ๐ฉ๐จ ๐ค๐ฎ๐ญ๐จ๐ค๐ ๐ค๐ฐ๐๐ง๐ฒ๐ ๐ฉ๐๐ฌ๐ ๐ฒ๐๐ง๐ ๐ฎ ๐ฒ๐ ๐๐จ๐จ๐ฆ, kiasi cha Tshs laki 2 kwa ahadi ya kurudishiwa baada ya miezi mitatu.
kijana akaenda morogoro huko kununua mchele anakuja kuuza Dar (mbande) kibandani kwake!
kijana akaendelea na biashara na ikaanza kukua kwa kasi sana, miezi ikasonga na pesa haikurudishwa, kila nikimkumbusha ananipiga chenga. Kijana kakaa na pesa miaka 6, kaongeza wanawake watatu, kumbuka hapo kijana si yule wa kulala njaa tena
basi ilifikia hatua tumegombana mpaka kukatiana mawasiliano.
Imekuja kutokea msiba wa baba yangu mdogo mwezi wa pili 2021, ndio nikaonana nae uso kwa uso, tukasalimiana kiaina tu as if nothing happened. Mipango ya kusafirisha mwili ikafanyika kutoka Dar kwenda serengeti kuzika, na yeye kasafiri. Na mimi nikajiunga tukampumzishe mzee wetu
huko sasa ndio nikaamua liwalo na liwe, nikaenda kwa mama yake nikamueleza naona hana msaada, nikamfuata kaka yake mkubwa ambaye ana mauwezo makubwa tu nikamueleza A to Z, yeye ndo akasema nimuache mdogo wake, akalipa pesa chaaap kwa Mpesa.
Hio hela haikukaa hata dakika moja kwenye simu, nilienda kuitoa fasta sana maana binadamu wa sasa si wale tena tuliowajua.
Baada ya malipo hatukuwasiliana tena na hawa watu, kaka mtu ana uwezo mkubwa, ni mwajiriwa wa serikali mwenye mshahara mzito, ana kampuni yake kubwa tu inayo deal na masuala niliyosomea kabisa lakini aligoma kunipa nafasi na mimi sina haja hata ya kuomba wala kukumbusha.
nafasi kampa mdogo wake, kamtafuta na binti.mwingine wa ukoo wetu.kampa job.
mi nimepoa tu Sina neno na mtu napambana mtaani since 2015 sina mchongo wa kueleweka.
Maisha ndivyo yananipeleka race sana, nasaidia watu hata kidogo nilichonacho lakini kwangu milango haifunguki. Kuna wakati mpaka watu waniambia nimerogwa, nachukulia easy tu napambana.
usiamini mtu linapokuja suala la pesa, give what you can afford to lose.
Regards,
Simba.
Subiri yule tapeli akupige laki 6 eti anakutafutia kazi Dubai.mtu anataka mwenyewe kutapeliwa bwana....maana ata hao matapeli huwa wanaangalia na mtu mwenyewe wa kumtaperi...kuna wengine mnajirahisi sana kwa matapeli hadi mnawapa nafasi...pole sana rafiki yangu
Toa story mkuuUsiombe yakukute mimi nilijipiga hadi vibao.
kile cha nyetiMkuu funguka, kipimo gani hicho?