Gazeti maarufu nchini England la sun pamoja na daily mail na mengineyo yametangaza ndondo cup kwa Mara ya kwanza na kugusia sakata la wanyama kupewa jina la mtaa
Unastuka nini si unatetea MaCCM eti BBC inawaripoti vibaya.Halafu tulivyo Hopeless Africans leo tumeling'oa kwa sababu za ' Kipumbavu ' kabisa tulizotolewa / tulizoambiwa.
Angekua sammata sawa, sasa wanyama apewe jina la mtaa kwa lip alilolifanyia tz? Kwa kushirik ndondo cup ama? Huwez kumpa mtu jina la mtaa et kisa kahudhuria ndondo cup.Unastuka nini si unatetea MaCCM eti BBC inawaripoti vibaya.
Umeona sasa Meya wa CDM na Lumumba nani mwenye IQ??
huna akili weweAngekua sammata sawa, sasa wanyama apewe jina la mtaa kwa lip alilolifanyia tz? Kwa kushirik ndondo cup ama? Huwez kumpa mtu jina la mtaa et kisa kahudhuria ndondo cup.
Kwani siku zote samata alikuwa wapi asipewe?Yaani nabii hakubaliki kwao.
Wanyama maskini Tz'ans ndiyo tumeona tumpe jina la mtaa kwao hawana habari.
Samata akija bongo anaonekana mwana tu wa kawaida lakini kongo ilibidi gari aache mtaa wa nyuma na kutembea nyuma nyuma kwenda nyumbani ili kuwakwepa mashabiki
Kwani KAPEWA NA HELA AMA?Angekua sammata sawa, sasa wanyama apewe jina la mtaa kwa lip alilolifanyia tz? Kwa kushirik ndondo cup ama? Huwez kumpa mtu jina la mtaa et kisa kahudhuria ndondo cup.
Juma pondamali ndani ya mji wa Lusaka Zambia upo mtaa una jina lake... Naye kaifanyia nn lamaana Zambia?? Acheni upimbi bhanaAngekua sammata sawa, sasa wanyama apewe jina la mtaa kwa lip alilolifanyia tz? Kwa kushirik ndondo cup ama? Huwez kumpa mtu jina la mtaa et kisa kahudhuria ndondo cup.
Samata alikuwa ameandaliwa mtaa mrefu 800m zaidi ya wa wanyama 270m (naweza kusahihishwa umbali)Yaani nabii hakubaliki kwao.
Wanyama maskini Tz'ans ndiyo tumeona tumpe jina la mtaa kwao hawana habari.
Samata akija bongo anaonekana mwana tu wa kawaida lakini kongo ilibidi gari aache mtaa wa nyuma na kutembea nyuma nyuma kwenda nyumbani ili kuwakwepa mashabiki
Wanataka liandikwe bashite street?
"bashite zero brain"Wanataka liandikwe bashite street?
Magufuli amewafanyia mini Gor mahia hadi tawi lao moja wakaliita Magufuli? Jiongeze uchanganye na ulizozikutaAngekua sammata sawa, sasa wanyama apewe jina la mtaa kwa lip alilolifanyia tz? Kwa kushirik ndondo cup ama? Huwez kumpa mtu jina la mtaa et kisa kahudhuria ndondo cup.