Magaidi waishambulia Medina

Magaidi waishambulia Medina

Status
Not open for further replies.
Nisaidieni. Tofauti kati ya hawa wa kule, mohamadi mwenye dini yake, wale magaidi waliochinja binadamu msikitini kule mwanza wakisema wanawatetea waislam wanaoshikiliwa na polisi, waislam waaoshikiliwa na polisi na waislam wengine ni ipi hasa? Naomba ufafanuzi.
Wale walikuwa majambazi tu mstake kupotosha uma
 
Nakuomba ufanye kitu kimoja angalau kwa tukio hili - toa kauli ya kuwalaani magaidi wa kiislamu wanaotaka kuvuruga dunia kwa matendo yao ya kishetani. Haikupata kusikika popote ukifanya hivyo ...

Siwezi kumlaani yeyote kwa sababu sijuwi aliyefanya hayo ni nani na kwanini. Na nnaamini Muislam hawezi kufanya hayo.
 
Huujui uwislam ndomana unasema hivyo na Namshkuru sana mungu kuzaliwa muislam nasijutii na wala sikulazimishi uwamini ninachokiamini wewe unadini yako na mimi nina dini yangu huamini ninachokiabudu na mimi sitaabudu unachokiabudu coz anayeongozwa na m/mungu binadamu huwezi kumpoteza na aliyepotezwa na m/mungu binadamu huwezi kumuongoza uwislam ni dini ya amani na upendo waislam sio magaidi bali wapo wanao uchafua uwislam kwa mathumuni yao miaka ya themanini na tisini mbona ugaidi haukuwepo jiulize ugaidi huu umeanzishwa nataifa gani usiongee vitu usivyo vijua uwislam sio ugaid

Ati miaka ya themanini na tisini ugaidi haukuwepo???

Kaaaaaazi kweli kweli...
 
Hao wanaofanya ivyo sio waislam muislam wa kweli hawezi kuwa gaidi bali hao wanaofanya ivyo wanachafua tu waislam kwa mathumuni yao. Dini ya kislam ni dini ya amani na upendo
Kwa maneno ya mdomoni ni sawa ni dini ya amani lakini kwa vitendo ni dini ambayo imeleta shida,huzuni na taabu nyingi sana duniani kuliko dini zote.
 
American na Israel wameharibu dunia sana

Kabla hawa jamaa hawajaota meno dunia haikuwa na vitu vya ajabu kama hivi.
 
Kwa maneno ya mdomoni ni sawa ni dini ya amani lakini kwa vitendo ni dini ambayo imeleta shida,huzuni na taabu nyingi sana duniani kuliko dini zote.
Kwa mfano shida gani? anayeivuruga hii dunia humjui au hulijui ilo taifa? ni kukumbushe tu ni us ndio inayoleta shida kubwa katika hii dunia
 
460x.jpg
 
Kwa mfano shida gani? anayeivuruga hii dunia humjui au hulijui ilo taifa? ni kukumbushe tu ni us ndio inayoleta shida kubwa katika hii dunia
That is Islamic old song Waislam hawaachi kusingizia kwa kila jambo US au Israel kwa kila udhaifu wao.
 
So sad. Jamaa wanawaharibia swaumu waliofunga
 
Ndugu zangu wakristo Uisilamu hauwezi kuwa na chembechembe za maujia. Na ipo dhana kuwa magadi wanaonea wakristo kwahiyo ni kama vile kwa sasa waisilamu nao wamepatikana na.baadhi ya comenti ni kana kwamba sasa.magadi wamerudi nyumbani. Hivi kweli mnaweka ushabik wa kiasi hicho?
Leo hii tukiweka takwimu kuanzia.kwa boko.haramu , ISIS na wengineo je kati ya wakristo na waislamu ni wapi wengi walouliwa na magadi? Ni mara ngapi misiki huko Nigeria imelipuwiwa?
Tuache ushabiki usio na tija.
 
Siwezi kumlaani yeyote kwa sababu sijuwi aliyefanya hayo ni nani na kwanini. Na nnaamini Muislam hawezi kufanya hayo.
Wewe usiseme hivyo. Muslims hawezi kufanya hivyo? Wewe ndo uko ndani ya roho za hao Muslims? Imani ni ya mtu mmoja mmoja. Usidhani unavyoamini wewe na ulivyocommited kwa imani yako ukadhani wote wako kama wewe. Roho mbaya haina dini. Haina cha uislamu, ukristo, uyahudi, Ubudha au uhindu. Mtu yeyote regardless of religion affiliation anaweza kufanya hivyo.
 
Mbona IS hawajamchokoza ISRAEL hata mara1.me napata shaka na IS au SHIA ktk shambulio hilo
 
Status
Not open for further replies.
Back
Top Bottom