nyampanaga
JF-Expert Member
- Nov 16, 2012
- 1,104
- 559
Nchi haiko salama mpaka sasaKama watu wa kawaida tu wameweza kuona Hilo, ikulu wishindwa vipi?
Nchi haiko salama mpaka sasaKama watu wa kawaida tu wameweza kuona Hilo, ikulu wishindwa vipi?
JF rahaWengine tunasugua benchi, wengine wanapeta nafasi mbilimbili.......sawa bhana.
Kwa Kuwa hujapata TEUZI hebu Chomeka Jina lako Uwe DEDUtumishi hii imekaaje huyu DED kupewa halmashauri mbili ya njombe mji na kasulu mji
Makosa kama yanaonesha hamko makini
USSRView attachment 1877872View attachment 1877873
hahahahahahhahahahahahahaha aisee nimecheka sana mpaka tupweza twangu nimekula hapa Forodhani tumeyeyuka kwa tumbo!Bola wamuuludishe…. Lugha gani hii
utakuta selule kama wewe unahamasisha watu wasichanje
Tuko na shida wenye kuomba waombe na if possible hatua zingine pia zichukuliwe.Nilikuwa napinga, sasa nimekubali kuna tatizo ikulu yetu... Kingine, hivi kuna kigugumizi gani kutangaza idadi ya wanaokufa kwa Corona?
Lame excuse mkuu..........Unafahamu sifa ya ofisi namba moja ya nchi?Asiyekosea ni Mungu tu.....
Warekebishe....
#KaziInaendelea
#SiempreJMT
Bora hata sekta binafsi,watu wanatumia akili maana serikalini,ufanye vzr,ufsnye utoporo,salary ipo palepale ndio maana mazombie Mengi,yanajua Swaga tu.Usifikiri kuwa ikulu ina watu tofauti na sisi, ndio sisi hao hao na usifikiri mtu kufanya kazi ikulu basi ana akili sana, kuna vilaza wengi tu kama zilivyo taasisi nyingine.