Memento
JF-Expert Member
- Jun 13, 2021
- 4,423
- 9,962
Umenichekesha sana aisee, huenda hii ni laana kweliMFUNGULIENI MBOWE
Mambo yaende.. Laana hii
Umenichekesha sana aisee, huenda hii ni laana kweliMFUNGULIENI MBOWE
Mambo yaende.. Laana hii
aende Njombe.Katika hali isiyo ya kawaida, Mkurugenzi Mteule Dollar Kusenge amepangiwa Halmashauri mbili tofauti katika uteuzi uliofanywa na Mheshimiwa Rais hapo jana Agosti Mosi, 2021.
Halmashauri alizopangiwa ni Halmashauri ya Mji wa Kasulu na Halmashauri ya Mji wa Njombe.
... waombe msaada NECTA wanaotangaza matokeo ya wanafunzi laki 8 bila kasoro! Jamani matrix ya watu 184 madudu kibao haijakaa sawasawa! But I think ni sababu ya chomekachomeka kila mhusika ambaye list inapita kwake kwa uhakiki anataka kuchomeka mtu wake.aiseee nafikiri wanapaswa kujipa muda kabla ya kutangaza matokeo...
Huenda KirangaIkulu hawajui kutumia Microsoft Excel kuangalia duplicates?
maana yake hapo kuna nafasi mbili wazi za wakurugenzi. Kati ya hizo nafasi mbili wazi niwekwe moja wapo. Na mimi niwe mkurugenzi.Uzuri amemfuta Kazi Eliud Mwaiteleke, Alijiona Kuwa ukurugenzi Wa Chato ni mkuu wa wakurugenzi
Tunabalance diniHata huyo Jafari Haniu hiyo kazi haiwezi amezubaa Sana,bola wamuuludishe Msigwa.
Aliyekuwepo hapo Ikulu GM anampigisha Shoti Makusudi aliyeko sasa JH ili aonekane hafai kwani kwa sasa mwenye Hadhi ya juu Kiitifaki na Kiprotokali ni JH na siyo tena GM ambaye kutolewa hapo Ikulu hakupenda na Kumemuuma mno hadi hii leo japo Machoni mwa Watu anajifanya yuko sawa.OFISI KUBWA WANAKWAMA WAPI?
Kinachoniumiza zaidi 95% ya waliopo ( walioko ) katika Idara hiyo ni Watu wa Kitengo ( System ) ambao kwa Umakini mkubwa wanaotakiwa kuwa nao Kiuweledi na Kiutendaji hawakutakiwa ama Kuruhusu au kufanya Kosa la Kipumbavu ( Kipopoma ) kama hili. Nimesikitika sana!!IKULU IMEJAZA VILAZA TUPU, AFU ETI WAO NDIYO WANAFANYA KAZI YA KUCHAKATA CLASSIFIED INFORMATION.
Alikuambia nani Mungu hakosei?Asiyekosea ni Mungu tu.....
Warekebishe....
#KaziInaendelea
#SiempreJMT
ndio maranyingi tu tumeshazoea tumezoeshwa kuendelea kufahamu tikitaka za ikulu yetu mwezetu kukimbilia Dodoma hakuwa mjingaIkulu hawajui kutumia Microsoft Excel kuangalia duplicates?
Kama wanashindwa kuondoa duplicates kwa Microsoft Excel tu, kitu ambacho hata mtu asiyejua computer sana anaweza ku Google na kupata jibu, kuna maamuzi mengine mangapi magumu zaidi wanaboronga na wala hatusikii?ndio maranyingi tu tumeshazoea tumezoeshwa kuendelea kufahamu tikitaka za ikulu yetu mwezetu kukimbilia Dodoma hakuwa mjinga
Sent from my TECNO F2 using JamiiForums mobile app
Unataka kusema Msigwa ndio kamtumia hiyo list jaffari haniu? Aisee kuna watu mna hakili badala ya akiliAliyekuwepo hapo Ikulu GM anampigisha Shoti Makusudi aliyeko sasa JH ili aonekane hafai kwani kwa sasa mwenye Hadhi ya juu Kiitifaki na Kiprotokali ni JH na siyo tena GM ambaye kutolewa hapo Ikulu hakupenda na Kumemuuma mno hadi hii leo japo Machoni mwa Watu anajifanya yuko sawa.
Kumejaa wazenji unategemea nini1. Lutengano George;- kateuliwa Wilaya ya Bukombe-Geita na Wilaya ya Misungwi-Mwanza (21&108)
2. Dollar Rajab Kusenge naye kateuliwa Wilaya ya Kasulu -Kigoma na Wilaya ya Njombe- Njombe-. (46&115)
Ikulu hawako serious.
Zaidi, soma: News Alert: - UTEUZI: Rais Samia afanya uteuzi wa Wakurugenzi wa Halmashauri, Manispaa, Miji na Wilaya184View attachment 1877071View attachment 1877072View attachment 1877074View attachment 1877075
Pumbavu hautonielewa Milele hapa JF.Unataka kusema Msigwa ndio kamtumia hiyo list jaffari haniu? Aisee kuna watu mna hakili badala ya akili
Tatizo pia sio Mara ya kwanza kuboronga hivi. Hii nchi kuna shida kubwa sanaKama wanashindwa kuondoa duplicates kwa Microsoft Excel tu, kitu ambacho hata mtu asiyejua computer sana anaweza ku Google na kupata jibu, kuna maamuzi mengine mangapi magumu zaidi wanaboronga na wala hatusikii?
Maana hili tumslisikia kwa sababu ni mkeka umewekwa wazi jwa umma.
Yale maamuzi ya "top secret" qmbqyo hayawekwi wazi wakiboronga hata hatujui mambo yanajiendea tu labda kuna madudu mengine yatakuja kujulikana athari zake vizazi vijavyo.