TTC is underperforming and one of the reason naamin ndani ya TTCL kuna "double agent" I belive in TTCL there are some decion makers wana sabotage hili shirika kwa manufaa ya kampuni nyingine shindani
If it is True hope Mafuru is not among them and will bring innovite ideas to keep TTCL ahead.
We bwana una ugomvi binafsi na Mafuru?
We bwana una ugomvi binafsi na Mafuru?
kama taratibu za ajira zitakua zimefuatwa ni halali kijana kupewa hiyo nafasi maana pia ni kijana mzuri kama ameweza kuvumilia miaka yote vodacom na kama mnavyojua vodacom ukilinganisha na makampuni mengine ya simu ndo inatoa misaada mingi ya kijamii kuliko yote.
INSHALAH Mwacheni akatusaidie pale TTCL maana tunahitaji vijana wenye mawazo mapya kama yeye na msianze habari za uswahiba.
Maslahi ya nchi mbele.
kichwa kwa kuandaa miss vodacom tanzania au? nchi hii bana imeoza kabisa..Mafuru is not CEO material at all..at all