Powell Gonzalez
JF-Expert Member
- Jun 28, 2023
- 622
- 1,276
Mshahara wake Kwa mwaka ni Dola milioni Sita Sawa na 14,384,952,000 Tzs.
Mke wake anaitwa Anjali Pichai.
Jamaa alikuwa CEO WA GOOGLE Kuanzia 2015.
Hata hivyo huyu muendelezaji wa program kadhaa za google ikiwemo google Map, Google drive, Google Map, na good mail(Gmail)-hizi zote ni KAZI za huyu jamaa.
Anatajwa kuwa MTU miongoni mwa watu 100 ushawishi zaidi duniani.
Huyu ndio chief executive officer of Google, na CEO maarufu zaidi duniani.