Cynic
JF-Expert Member
- Jan 5, 2009
- 5,144
- 1,648
jamaa ni kichwa huyu nimefanya nae kazi pale voda... na mpka naondoka pale yule jamaa yuko fiti
sina uhakika kama anapewa cheo kwa kigezo hicho ulichosema mleta mada
TTCL ni zaidi mno ya marketing. Anatakiwa mtu mwenye credentials zilizokamilika