Mafunzo ya awali ya Jeshi la Magereza 2022

Mafunzo ya awali ya Jeshi la Magereza 2022

Status
Not open for further replies.
Mafunzo yakishafunguliwa rasmi na wote waliokidhi vigezo kusajiliwa means hao ndio wanakuwa wanasomeka rasmi kwenye System kwamba wameanza Mafunzo rasmi,hivyo kuanzia hapo ndio kila mwisho wa mwezi watakuwa wanasaini Posho ya kujikimu
Ohoooh, nmekuelewa vzuri
 
Ndugu yangu mwanamke akitaka kukusaliti anytime anagawa hata kama unaishi naye. Tusiweke expectations ndugu wakiamua watafanya wasipiamua haya shauri zao

Sent using Jamii Forums mobile app
Kweli kabida na hili ndilo jambo la busara, Kimsingi mimi huwa nafanya kwajil yake tu na furure yake hata kama sina Warantii ya kuish nae daima
 
Inawatosha bwana si ugali bure
Yes inatosha sana,maana vijana wengine wametoka mtaani hata uhakika wa kupata hiyo 50,000 kwa mwezi hawakuwa nao,sasa Depo kula na kulala bure,halafu mwisho wa mwezi unapigwa na 50,000 maisha mazuri,kwanza haina hata matumizi mengi maana saa 2 tu usiku anakuwa tayari kitandani amechoka anasubiria tarumbeta la mchakamchaka saa 9 alfajiri,atatumia wapi hiyo Pesa??labda inapobakia miezi miwili ya mwisho kabla ya kumaliza Depo ndio huwa wanaruhusiwa kutoka nje ya Chuo kila Jumapili kuzurula kidogo mpaka saa 10 jioni,hapo ndio huwa wanaweza kwenda nje ya Chuo hata kupata Bia kidogo na kugongana Kuruta wenyewe kwa wenyewe Lodge au kugongwa na Maafande,lakini kugongwa kwa ndani ya Chuo na Maafande huwa inakuwa ni kwa KIFICHO sana
 
Yes inatosha sana,maana vijana wengine wametoka mtaani hata uhakika wa kupata hiyo 50,000 kwa mwezi hawakuwa nao,sasa Depo kula na kulala bure,halafu mwisho wa mwezi unapigwa na 50,000 maisha mazuri,kwanza haina hata matumizi mengi maana saa 2 tu usiku anakuwa tayari kitandani amechoka anasubiria tarumbeta la mchakamchaka saa 9 alfajiri,atatumia wapi hiyo Pesa??labda inapobakia miezi miwili ya mwisho kabla ya kumaliza Depo ndio huwa wanaruhusiwa kutoka nje ya Chuo kila Jumapili kuzurula kidogo mpaka saa 10 jioni,hapo ndio huwa wanaweza kwenda nje ya Chuo hata kupata Bia kidogo na kugongana Kuruta wenyewe kwa wenyewe Lodge au kugongwa na Maafande,lakini kugongwa kwa ndani ya Chuo na Maafande huwa inakuwa ni kwa KIFICHO sana
Ohoooh, Unazid kunitia moyo karibu nakua sawa sasa[emoji1787]
 
Yes inatosha sana,maana vijana wengine wametoka mtaani hata uhakika wa kupata hiyo 50,000 kwa mwezi hawakuwa nao,sasa Depo kula na kulala bure,halafu mwisho wa mwezi unapigwa na 50,000 maisha mazuri,kwanza haina hata matumizi mengi maana saa 2 tu usiku anakuwa tayari kitandani amechoka anasubiria tarumbeta la mchakamchaka saa 9 alfajiri,atatumia wapi hiyo Pesa??labda inapobakia miezi miwili ya mwisho kabla ya kumaliza Depo ndio huwa wanaruhusiwa kutoka nje ya Chuo kila Jumapili kuzurula kidogo mpaka saa 10 jioni,hapo ndio huwa wanaweza kwenda nje ya Chuo hata kupata Bia kidogo na kugongana Kuruta wenyewe kwa wenyewe Lodge au kugongwa na Maafande,lakini kugongwa kwa ndani ya Chuo na Maafande huwa inakuwa ni kwa KIFICHO sana
Daaaaah mkuu vp mbna Kama ajira za jwtz hazitangazwi Kama hiz za magereza na polisi
 
Au kuzipata lazima turudi jkt??
Zile aga wanachukua watu kutoka kambini yaani wali9 katika vikosi tayar so kama uko mtaani mpaka uende jkt na ukishatoka jkt ukarud mtaani ndo imeisha hiyo
 
hizi za JWTZ hazikutangazwa,walichukuliwa vijana ambao walikuwa wanajitolea kwenye makambi mbalimbali ya JKT,japo kuna wengine wenye connection waliingia wakitokea nje ya makambi
Hili suala la connection Ni linakatisha tamaa[emoji23][emoji23]

Acha niue chuo mwakani niangalie uwezekano wa kurudi jkt .kujitolea ......ingawa ninacheti Cha jkt mujibu wa.sheria
 
Status
Not open for further replies.
Back
Top Bottom