Mafunzo ya awali ya Jeshi la Magereza 2022

Mafunzo ya awali ya Jeshi la Magereza 2022

Status
Not open for further replies.
Wameanza Rasmi kozi na wanamaliza mwezi wa 3, Habari hizo ni sahihi wenye taarifa zaidi?
 
Akidai utajuaje kama amedai!? Kuhusu kila mtu alipwe kupitia serikali kuu ni ngumu maana imewekwa hivyo kwa sababu maalumu mfano nchi ikiyumba ikashindwa kulipa mishahara ya watumishi usitegemee askari atakosa mshahara kwa sbabu uchumi umeyumba!!! Ndo maana serikali kuu inabaki na watumishi wachache itakaoweza kuwahudumia hata katika hali ngumu ya uchumi
Uhamiaji nayo imekaa je taarifa zake
 
Mwezi huu wa 3 wanaweza kumaliza kozi ili kuwapisha wale wengine 200 waliyoitwa mwezi wa 1 mwaka huuu
 
Status
Not open for further replies.
Back
Top Bottom