Mafunzo ya awali ya Jeshi la Magereza 2022

Mafunzo ya awali ya Jeshi la Magereza 2022

Status
Not open for further replies.

AnyWayZ

JF-Expert Member
Joined
May 30, 2022
Posts
4,885
Reaction score
8,482
Salaam Wakuu,

Baada ya kukamilika kwa taratibu za usaili wa ajira za magereza zilizotangazwa kwaka huu 2022, Majina ya waliochaguliwa kujiunga na kuanza mafunzo ya jeshi hilo yalitanazwa na Wakaitwa Kikosini uko Mbeya Mwezi September.

Naomba kufahamishwa yafuatayo kutokana na ukosefu wa mawasiliano na kutokua na uelewa wa kutosha juu ya haya Mambo.

1. Inachukua muda gani kuanza mafunzo rasmi baada ya kuingia kikosini? Je mpaka sasa wameshaanza au kuna utaratibu gani unaosubiriwa?

2.Kuna usaili mwingine uko unaoweza kumfanya mtu kurudishwa nyumbani nje ya usaili uliofanyika ngazi ya Wilaya na Mkoani? Kama upo usaili huo ufanyika wakat gan au baada ya muda gani?

3.Mafunzo hayo yanachukua muda gani mpaka kukamirika? Ni kiezi 6 au 9 au ni Mingapi?

4.Baada ya kuhitimu mafunzo inachukua muda gani askari hao wapya kuingia kwenye mfumo wa ajira?

5.Swala zima la elimu yaani Vyeo au mishahara kulingana na level ya elimu limekaaje? Je kuna ruhusa ya kujiendeleza kielimu baada ya ajira?

Ahsanteni kwa kunizingatia, Karibuni kwa ufafanuzi.
 
Salaam Wakuu,

Baada ya kukamilika kwa taratibu za usaili wa ajira za magereza zilizotangazwa kwaka huu 2022, Majina ya waliochaguliwa kujiunga na kuanza mafunzo ya jeshi hilo yalitanazwa na Wakaitwa Kikosini uko Mbeya Mwezi September.

Naomba kufahamishwa yafuatayo kutokana na ukosefu wa mawasiliano na kutokua na uelewa wa kutosha juu ya haya Mambo.

1. Inachukua muda gani kuanza mafunzo rasmi baada ya kuingia kikosini? Je mpaka sasa wameshaanza au kuna utaratibu gani unaosubiriwa?

2.Kuna usaili mwingine uko unaoweza kumfanya mtu kurudishwa nyumbani nje ya usaili uliofanyika ngazi ya Wilaya na Mkoani? Kama upo usaili huo ufanyika wakat gan au baada ya muda gani?

3.Mafunzo hayo yanachukua muda gani mpaka kukamirika? Ni kiezi 6 au 9 au ni Mingapi?

4.Baada ya kuhitimu mafunzo inachukua muda gani askari hao wapya kuingia kwenye mfumo wa ajira?

5.Swala zima la elimu yaani Vyeo au mishahara kulingana na level ya elimu limekaaje? Je kuna ruhusa ya kujiendeleza kielimu baada ya ajira?

Ahsanteni kwa kunizingatia, Karibuni kwa ufafanuzi.
Heading; Awali* sio Wali, Kwa wale wanaoelewaga sana.

Nyote mnakaribishwa.
 
5. Yes mtumishi ana haki ya kwenda likizo ya kwenda shule ya malipo
Ahsante sana, Mfano Mtu una Chet clear kabisa cha Form six lakini katika usaili kilihitajika chet cha form four. Kuna ubaya hapo?
 
Kichwa cha habari mafunzo ya wali, utaeza kweli kuchapana viboko na wafungwa?
Anyway kila la kheri. Ukishaenda mafunzonu watatoa muongozo
Wali ndio maisha Mkuu, Bila wali hutoboi.

Vibokoo Mbona kama wafungwa wa Bongo hawana noma vile
 
Nina kapisi kangu kameenda huko ka tall na tu nyama twa kuombea mkopo. Sijui kama makamanda watakaacha salama

Sent using Jamii Forums mobile app
Hii issue ya kutokua na Simu na wewe imekukumba au ni mimi tu napigwa za uso? Maana hakuna mawasiliano kabisaaa hii hali inanifanya nishindwe kuwaza maana kamerisk maisha kameacha mambo mengi ya msingi kufukuzia hizo ajira. Nachowaza ni aje ikibuma uko
 
Wamemaliza Mafunzo Tayari Wamepangiwa Vituo Vya Kufanyia Kazi
Kuna wengine hawa wapya kaka wa tangazo la ajira la mwez wa 4, walifanya usaili mwez wa 7 hivi na wameenda kuanza mafunzo September hii ya mwez jana
 
Wamemaliza Mafunzo Tayari Wamepangiwa Vituo Vya Kufanyia Kazi
Lakini kama unadetail za hao walioingia kwenye ajira unaweza kutupa uzoefu tukaassume na hawa itakua hivyo hivyo
 
Status
Not open for further replies.
Back
Top Bottom