Mafukara milioni 30, Mabilionea 30

Mafukara milioni 30, Mabilionea 30

Mimi nilishakupotezeaga mda mrefu, hapa kilichonifanya nije ni hii interesting topic full stop

sasa mtu kama wewe hata ukipotezeaga unamazala gani zaidi ya bendera fuata upepo au na wewe ni wa kaskazini nini?
 
Si kila mara una log in as a member that why nimekukaribisha JF ujue unaweza akuwa member uka-log in kama GUEST, M-follow Twitter. wadada wengine mapepe kweli ulishaolewa?
teh teh teh teh..Gubu
 
Jibu maswali...mwambie na huyo tutajadili vitendo vyake na si yeye!

sema najadili mipasho,sina hoja,Tuache wenye kiu ya kujadili mustakabari wa Taifa hili..unalialia as if Umeambiwa hulipwi huo utumwa.
 
Wengi bado hawana habari kama Jembe lao limefunguwa thread huku JF ngoja watoke huko facebook saa hizi wanakusanyana na wataingia hapa kama vipanga.

kwanza usipomuona Ben Saanane leo kwenye thread hii najipiga ban ya wiki moja ni kitu ambacho hakiwezekani.

Mental case.....!

Don't you guys visit foreign forums and blogs, people there stick to the topic.Please you guys should grow up.

Ni haki yangu kuchangia topic yoyote niitakay😵bsession ni mbaya mkuu,grow up!
 
Hapa kuna mtu anavinasaba vyote vinavyojieleza kuwa huyu mtu ni TUNTEMEKE....msomeni between the line
 
Zitto ana kila sababu ya kuwa rais wa nchi hii aisee ....ana akili za kipekee na ajabu sana ....hongera sana! ...
 
Zitto toka aanze siasa ni CHADEMA damu hadi moyoni kuanzia familia yake.
Dr,slaa ndio nawasiwasi naye,AMEKUJA CHADEMA BAADA YA KUJERUHIWA CCM,AMEKUJA KUPOZA MAUMIVU YA CCM NDIO MAANA ANASHUTUMIWA KWA KUMILIKI KADI MBILI YA CCM NA YA CHADEMA.
KUMBUKA ZITTO AMEANZA HARAKATI ZA UKOMBOZI AKIWA NA MIAKA 20,DR.SLAA AMEANZA AKIWA NA MIAKA 6O MIAKA 50 AMEITUMIKIA CCM

Mzee kama slaa sasa hivi ndio nae anatafuta demu yaani kipindi cha ujana wake alikuwa hajui mambo haya sasa mtoto wakihaya kamshika mzee mpaka mzee sasa kasahau kwamba kuna list ya mafisadi inatakiwa na sasa yeye yuko busy na majungu na sms za kipuuzi.kweli ujana fanya mambo ya ujana na uzeeni fanya mambo ya uzeeni sasa hii ni tofauti za babubaba maana kwa sasa anafanya mambo ya kijana kusubili demu kona ya nyumbani kwao.
 
Hapa kuna mtu anavinasaba vyote vinavyojieleza kuwa huyu mtu ni TUNTEMEKE....msomeni between the line

kwa hiyo sio zitto? TUNTEMEKE BASI NI HATARI SANA,ANAJUA MAMBO MENGI SANA,AMEMKIMBIZA DR.SLAA JUKWAANI,TUNTEMEKE NI NYUNDO
 
zitto ana kila sababu ya kuwa rais wa nchi hii aisee ....ana akili za kipekee na ajabu sana ....hongera sana! ...
wengi wanaakili kama yako,wachache ndio vimeo hawajui kesho kunamaisha pia
 
according to you.

wenye akili fupi hujadili watu. watu makini hujadili masuala.

ukikosa hoja usilete vioja. shuka nyanga sio kubwabwaja

vipi tena hasira? hawa vijana wako unaowatuma JF kuja kutukana ili kuwachafua wengine utakiona cha moto siku moja.chadema ni chama ambacho watu wamekifia kaka,watu wamebaki wajane na wengine yatima.watu wamefilisika.huwezi kushiriki mchezo huu mchafu halafu ukaota kuja kuongoza chadema hata siku moja.

Mikono michafu?Nadhani mikono michafu ni ileinayochuruzika damu ya CHACHA MAIGE WANGWE
Mwampamba,Uchaguzi wa bavicha umeisha kamanda.sijui kwa nini usijenge jimbo lako la mbozi.unachafua viongozi wa chama huku ukijifanya mpambanaji
Slaa amechota milion 140 za chama na kujengea nyumba huko tegeta,Lema amekula pesa za m4C mpaka sasa ruzuku ya chama haiendi mikoani ,mbowe amekiuzima chama mafuso mabovu hayo yote hamuoni eti kwa sababu wamefanya wakaskazini.
sawasawa
MIKONO MICHAFU NI ILEINAYONUKA UFISADI WA hela za M4C za watanzania walala hoi,Muda huu zimeelekezwa kumalizia nyumba ya LEMA
sawasawa endelea kukichafua chama kaka,endeleza huu uzushi wako humu lakini ipo siku utaona
 
Natamani cku moja niione makala iliyoandikwa na Mbowe DJ wangu mzoefu .....sijui atazungumzia bongo flava ama taarabu na maendeleo ya tanzania! ....natamani jamani niione atiko yake! ...
 
Mental case.....!

Don't you guys visit foreign forums and blogs, people there stick to the topic.Please you guys should grow up.

Ni haki yangu kuchangia topic yoyote niitakay😵bsession ni mbaya mkuu,grow up!

mbona maneno makali tena?
 
Hongera sana mh zitto kwakufanya upembuzi yakinifu ambao umeweza kutoa nguvu tuliyonayo kam taifa,madhaifu yanayofanywa na viongozi wetu legelege,nafasi tuliyonayo kama taifa na nguvu inayohitajika ili kuepukana na hizi changamoto(swot analysis).umeonyesha umakini wako na namna ambavyo umedhamiria kwa dhati kutumboa toka kwenye ukoloni huu mamboleo na ukomboz wa pili wa taifa letu toka kwa watanzania wenzetu wenye uchu wakujilimbikizia mali.
Kwakuwa kiongoz bora ni yule alie na uwezo wakulibaini tatizo,nakutoa njia yakulikabili basi bila shaka unafaa kuliongoza taifa hili.
Tutakuunga mkono katika nafasi yoyote utakayoiomba 2015.ili utimize ndoto zako za ukombozi.
 
vipi tena hasira? hawa vijana wako unaowatuma JF kuja kutukana ili kuwachafua wengine utakiona cha moto siku moja.chadema ni chama ambacho watu wamekifia kaka,watu wamebaki wajane na wengine yatima.watu wamefilisika.huwezi kushiriki mchezo huu mchafu halafu ukaota kuja kuongoza chadema hata siku moja.


Mwampamba,Uchaguzi wa bavicha umeisha kamanda.sijui kwa nini usijenge jimbo lako la mbozi.unachafua viongozi wa chama huku ukijifanya mpambanaji

sawasawa

sawasawa endelea kukichafua chama kaka,endeleza huu uzushi wako humu lakini ipo siku utaona

Kwani lema hajalamba pesa ya M4C ya dsm?nilimuuliza Komu nae akasema jamaa kalamba na kumuuliza ni ngumu maana jamaa ni cousin wa mkurugenzi wa kampuni(chadema)mbowe.
 
vipi tena hasira? hawa vijana wako unaowatuma JF kuja kutukana ili kuwachafua wengine utakiona cha moto siku moja.chadema ni chama ambacho watu wamekifia kaka,watu wamebaki wajane na wengine yatima.watu wamefilisika.huwezi kushiriki mchezo huu mchafu halafu ukaota kuja kuongoza chadema hata siku moja.


Mwampamba,Uchaguzi wa bavicha umeisha kamanda.sijui kwa nini usijenge jimbo lako la mbozi.unachafua viongozi wa chama huku ukijifanya mpambanaji

sawasawa

sawasawa endelea kukichafua chama kaka,endeleza huu uzushi wako humu lakini ipo siku utaona
jaman mimi namwini sana huyu zitto kabwe! ...naamini sasa uwezo wake, natamani awe rais hata leo japo kuna watu hawapendi hasa ndani ya chama chake! ...
Zitto ni zaidi ya machine gun! .....chuki dhidi yake tumeshaanza kuzigundua na hazitashinda! ....
 
Natamani cku moja niione makala iliyoandikwa na Mbowe DJ wangu mzoefu .....sijui atazungumzia bongo flava ama taarabu na maendeleo ya tanzania! ....natamani jamani niione atiko yake! ...
zitto hii kazi ya kumchafua mbowe haitakusaidia hapa JF.shirikiana na viongozi wenzako
 
Hongera sana mh zitto kwakufanya upembuzi yakinifu ambao umeweza kutoa nguvu tuliyonayo kam taifa,madhaifu yanayofanywa na viongozi wetu legelege,nafasi tuliyonayo kama taifa na nguvu inayohitajika ili kuepukana na hizi changamoto(swot analysis).umeonyesha umakini wako na namna ambavyo umedhamiria kwa dhati kutumboa toka kwenye ukoloni huu mamboleo na ukomboz wa pili wa taifa letu toka kwa watanzania wenzetu wenye uchu wakujilimbikizia mali.
Kwakuwa kiongoz bora ni yule alie na uwezo wakulibaini tatizo,nakutoa njia yakulikabili basi bila shaka unafaa kuliongoza taifa hili.
Tutakuunga mkono katika nafasi yoyote utakayoiomba 2015.ili utimize ndoto zako za ukombozi.
Zitto ndiye rais ajaye wa masikini wanzake! ...wafanyabiashara matajiri wakagimbea urais wa chama cha wafanya biashara wenzao ama chama cha wamiliki wa viwanda na club Zaria usiku! ...
 
Zitto ana kila sababu ya kuwa rais wa nchi hii aisee ....ana akili za kipekee na ajabu sana ....hongera sana! ...
Nadhani kwenye qualities za A Good Leader akili is not one of them.., kwahio tutakapotafuta kiongozi anayetufaa ni bora tuangalie yafuatayo:- (haka kama kiongozi atakuwa average in terms of brains, atapata washauri)

Integrity; Dedication; Humility; Openness; Creativity; Fairness; Assertiveness; Charisma

hapo kwenye Humility; inabidi mtu ambae hajioni kwamba yeye anafaa kuliko wengine au yupo juu ya wengine hawashushi wenzake bali anawapandisha...

Ni hayo tu...
 
Kama kweli wewe binafsi unakiri tumetoka kwenye UJAMAA na tuko kwenye UBEPARI unashangaa nini kuwa na Mafukara Milioni 30 na Mabilionea 30? Maana moja ya sifa kuu ya mfumo wa UBEPARI (Ambao wewe unadai tumo) ni kuwepo kwa matabaka tena kati ya walionacho na wasio nacho, mashindano bubu ya watu kuchuma fedha nk. nk.

Kitu ambacho kiko wazi ni kuwa, kwa sasa Siasa imewekwa kuwa njia kuu ya watu kuchuma fedha na kuupata utajiri wa haraka. No matter what, Siasa na Wanasiasa wako kwenye fursa kubwa ya kuchuma fedha watakavyo, kujilipa posho nono, kupokea rushwa kubwa kutoka kwa makampuni ya kibepari ili kulinda maslahi yao, kukwepa urasimu katika mahitaji mbalimbali ya kihuduma wanayoyahitaji na kupitisha biashara na maslahi yao binafsi.

Makala yako hii inataja uwepo wa mabilionea 30,hawa ni akina nani? Kuna Bilionea asiye mwanasiasa kwa sasa? Ni wachache. Jiulize kwa nini Ufisadi umekaa meza moja na Siasa yetu? Jibu ni rahisi sana, kuna ndoa ya Ufisadi baina ya Wanasiasa na Wafanyabiashara ambayo msingi wake ni huohuo kutengeneza mabilionea huku wakulima, wavuvi, wafugaji wakipigwa kumbo na kubaki kwenye lindi la ufukara.

Unasema tumeingia kwenye mfumo wa UPEBARI (Sijui ni lini?) hivyo, kubali tu uwepo wa Mabilionea hao 30 kati ya Mafukara Milioni 30, ndiyo sifa kuu ya UBEPARI, haiepukiki.Hata wewe kwa fursa uliyonayo una kila sababu ya kuchagua kundi la Mabilionea as far as UBEPARI unaruhusu Mashindano ya kuvuna utajiri baina ya watu, unaweza maana wenzako wameweza, pengine utakuwa umeanza, sijui.

Waumini wa dhati wa Mfumo wa Ujamaa kama (Karl Marx na Prof. Shivji ambaye unakiri ni mwalimu wako) muda wote wanalia na UBEPARI na sifa yake kuu ya matabaka katika jamii. Wamekuwa wakitoa wito wa kuyamaliza kama si kupunguza gape lililopo sasa.Prof. Shivji kila wakati amekuwa akipigania marejeo ya Sera ya Ujamaa na Kujitegemea.Hata Nyerere (RIP) alikufa akisisitiza kuwa haoni tatizo kwenye sera hii.

Ukweli ni kuwa, hata kama kutakuwa na utetezi wa namna gani dhidi ya Ufukara unaomtesa mwananchi wa kawaida huko kijijini bado Wanasiasa watabaki kuwa wa kwanza kulalamikiwa na Mafukara wanaotoka nchi ya KIJIJINI (Si nchi ya MJINI). Sheria zinapitishwa na wanasiasa, Bajeti za maendeleo zinapitishwa na Wanasiasa lakini Wanasiasa hawahawa (Hasa Wabunge(?)) ndiyo wenye fursa ya kuiwajibisha Serikali pale inaposhindwa kuwajibika ipasavyo.

Huyu anjiita mjamaa wa kweli.huko chadema anafanya nini?itikadi ya chadema inaegemea kwenye ubepari zaidi.
 
zitto hii kazi ya kumchafua mbowe haitakusaidia hapa JF.shirikiana na viongozi wenzako

Kwani wewe itakusaidia nini kumchafua zitto mtandaoni kwa kutumiwa na mbowe? ...waambie kwanza Mbowe na slaa waache kumchafua zitto mtandaoni na kumsingizia mambo asiyoyafanya! ....tena wewe mbowe na Uache kabisa! ....
 
Back
Top Bottom