zomba
JF-Expert Member
- Nov 27, 2007
- 17,240
- 3,910
Wewe ndiyo chanzo cha ufukara na umaskini wetu. I hate you
Why hate? does that solve your problems?
Wewe ndiyo chanzo cha ufukara na umaskini wetu. I hate you
Bilioni huanza na milioni. Ukitaka kujua naye yumo kwenye list ya watu wanaomiliki bilioni, ni kuangalia maisha yake. Sijawahi kuliona gari lake analotumia hilo hammer, lakini naambiwa ni kati ya magari wanayotumia wenye nazo. Kama hana angelipata wapi?
ndugu yangu usimezeshwe habari na wewe ukazimeza tu. Sina Hammer. Ninatumia VISTA na FREELANDER.
Turudi kwenye mada. Mada hii ni muhimu zaidi kuliko mtoa mada. Mtoa mada ni binadamu ana mazuri yake na mapungufu yake. Mada inahusu nchi na itadumu milele nchi yetu wakati mtoa mada anapita tu hapa duniani.
Nakukaribisha nyumbani kwangu Tabata tunywe kahawa ya Kalinzi Kigoma na kusoma vitabu maana kama kuna utajiri mkubwa nilionao ni vitabu. Karibu
ZITTO si ulikimbia JF na kuanzisha vi blog vyako umerudi na vi-thread vyako kila kukicha, ili tusijadili vifo vinavyotokana na POLICCM ambavyo hujapost hata comment vijana wanauwawa... mfano hii thread ni current issue? kama kiongozi wa Chadema vipi ulishawahi kuja na thread? mpinzani gani hutaki kumkosoa JK hadharani? Viongozi CDM wanatishiwa kuuwawa na TISS upo kimia... ama tusadiki ndio walewale na daima ufisadi hatuuwezi kuutoa kwa watu dizani yako wanaturudisha nyuma...Ni kweli. Lazima tuanzie hapa. Kwamba mtu anayetaka kuwa mtumishi wa umma lakini anafanya
Uwazi ni msingi mkubwa sana wa kupambana na ufisadi. Uwazi utaondoa majungu na kuzushiana. Uwazi utawapa nguvu wananchi juu ya viongozi wao.
Bilioni huanza na milioni. Ukitaka kujua naye yumo kwenye list ya watu wanaomiliki bilioni, ni kuangalia maisha yake. Sijawahi kuliona gari lake analotumia hilo hammer, lakini naambiwa ni kati ya magari wanayotumia wenye nazo. Kama hana angelipata wapi?
ZITTO si ulikimbia JF na kuanzisha vi blog vyako umerudi na vi-thread vyako kila kukicha, ili tusijadili vifo vinavyotokana na POLICCM ambavyo hujapost hata comment vijana wanauwawa... mfano hii thread ni current issue? kama kiongozi wa Chadema vipi ulishawahi kuja na thread? mpinzani gani hutaki kumkosoa JK hadharani? Viongozi CDM wanatishiwa kuuwawa na TISS upo kimia... ama tusadiki ndio walewale na daima ufisadi hatuuwezi kuutoa kwa watu dizani yako wanaturudisha nyuma...
ndugu yangu usimezeshwe habari na wewe ukazimeza tu. Sina Hammer. Ninatumia VISTA na FREELANDER.
Turudi kwenye mada. Mada hii ni muhimu zaidi kuliko mtoa mada. Mtoa mada ni binadamu ana mazuri yake na mapungufu yake. Mada inahusu nchi na itadumu milele nchi yetu wakati mtoa mada anapita tu hapa duniani.
Nakukaribisha nyumbani kwangu Tabata tunywe kahawa ya Kalinzi Kigoma na kusoma vitabu maana kama kuna utajiri mkubwa nilionao ni vitabu. Karibu
ndugu yangu usimezeshwe habari na wewe ukazimeza tu. Sina Hammer. Ninatumia VISTA na FREELANDER.
Turudi kwenye mada. Mada hii ni muhimu zaidi kuliko mtoa mada. Mtoa mada ni binadamu ana mazuri yake na mapungufu yake. Mada inahusu nchi na itadumu milele nchi yetu wakati mtoa mada anapita tu hapa duniani.
Nakukaribisha nyumbani kwangu Tabata tunywe kahawa ya Kalinzi Kigoma na kusoma vitabu maana kama kuna utajiri mkubwa nilionao ni vitabu. Karibu
Mimi Mwanahalisi walishanifunguaga kuhusu Zitto.ZITTO si ulikimbia JF na kuanzisha vi blog vyako umerudi na vi-thread vyako kila kukicha, ili tusijadili vifo vinavyotokana na POLICCM ambavyo hujapost hata comment vijana wanauwawa... mfano hii thread ni current issue? kama kiongozi wa Chadema vipi ulishawahi kuja na thread? mpinzani gani hutaki kumkosoa JK hadharani? Viongozi CDM wanatishiwa kuuwawa na TISS upo kimia... ama tusadiki ndio walewale na daima ufisadi hatuuwezi kuutoa kwa watu dizani yako wanaturudisha nyuma...
ndugu yangu usimezeshwe habari na wewe ukazimeza tu. Sina Hammer. Ninatumia VISTA na FREELANDER.
Turudi kwenye mada. Mada hii ni muhimu zaidi kuliko mtoa mada. Mtoa mada ni binadamu ana mazuri yake na mapungufu yake. Mada inahusu nchi na itadumu milele nchi yetu wakati mtoa mada anapita tu hapa duniani.
Nakukaribisha nyumbani kwangu Tabata tunywe kahawa ya Kalinzi Kigoma na kusoma vitabu maana kama kuna utajiri mkubwa nilionao ni vitabu. Karibu
Hapo kwenye rangi ya blue ndio muhimu sana.
Sasa,wewe uko karibu sana na Rais Kikwete, umeshawahi kumuuliza kwa nini mafisadi hawachukuliwi hatua za kisheria wakati ufisadi wao uko wazi kabisa ?
Maana bila kuchukua hatua, watu wengi watatamani kuwa mafisadi, wakijua kuwa hawatachukuliwa hatua.
Hivi karibuni ulisema kuwa unawajua mafisadi walioficha pesa nje ya nchi, sasa, hatua gani umechukua ??
Ni kwa kuchukua hatua ndio tutakuwa tunapambana na ufisadi.
ZITTO si ulikimbia JF na kuanzisha vi blog vyako umerudi na vi-thread vyako kila kukicha, ili tusijadili vifo vinavyotokana na POLICCM ambavyo hujapost hata comment vijana wanauwawa... mfano hii thread ni current issue? kama kiongozi wa Chadema vipi ulishawahi kuja na thread? mpinzani gani hutaki kumkosoa JK hadharani? Viongozi CDM wanatishiwa kuuwawa na TISS upo kimia... ama tusadiki ndio walewale na daima ufisadi hatuuwezi kuutoa kwa watu dizani yako wanaturudisha nyuma...
undhani chadema nimavuvuzela kila mmoja anaropoka kama Tambwe hiza?....Chama kinawasemaji,sekretarieti na kamati kuu wanajadili then wakuesema wanapewa waseme...ZITTO si ulikimbia JF na kuanzisha vi blog vyako umerudi na vi-thread vyako kila kukicha, ili tusijadili vifo vinavyotokana na POLICCM ambavyo hujapost hata comment vijana wanauwawa... mfano hii thread ni current issue? kama kiongozi wa Chadema vipi ulishawahi kuja na thread? mpinzani gani hutaki kumkosoa JK hadharani? Viongozi CDM wanatishiwa kuuwawa na TISS upo kimia... ama tusadiki ndio walewale na daima ufisadi hatuuwezi kuutoa kwa watu dizani yako wanaturudisha nyuma...
Zitto,
Hoja ya kumtoa Pinda imeishia wapi??? au lengo lako lilikuwa kumwondoa Waziri wa fedha???
Inaonekana unataka kuanzisha Jeshi la mtu mmoja vp utafanikiwa???
Dah! ndio post yako ya kwanza na umejibu hivyo well done karibu JFundhani chadema nimavuvuzela kila mmoja anaropoka kama Tambwe hiza?....Chama kinawasemaji,sekretarieti na kamati kuu wanajadili then wakuesema wanapewa waseme...
ndugu yangu usimezeshwe habari na wewe ukazimeza tu. Sina Hammer. Ninatumia VISTA na FREELANDER.
Turudi kwenye mada. Mada hii ni muhimu zaidi kuliko mtoa mada. Mtoa mada ni binadamu ana mazuri yake na mapungufu yake. Mada inahusu nchi na itadumu milele nchi yetu wakati mtoa mada anapita tu hapa duniani.
Nakukaribisha nyumbani kwangu Tabata tunywe kahawa ya Kalinzi Kigoma na kusoma vitabu maana kama kuna utajiri mkubwa nilionao ni vitabu. Karibu
Hivi hiyo gari imenunuliwa ya mapambo?Mbona hatuioni akiiendesha?Mbona pale Tabata anapoishi haipo....Umelishwa unga wa ndele umepoteza mwelekeo wa kufikiri,Pole sana Labda umekosea hii post ni RidhiwaniNasikia kumiliki vitu hivi si jambo dogo, ni mwendo mrefu. Atupe mchanganua wake ili pia tujue thamani yake halisi tulinganishe na kipato chake kwa miaka hiyo 7 ya utumishi wake kama mbunge.