Mwafrika,
Mwafrika jaribu kusoma vizuri maandishi ya JokaKuu na utaona jinsi ambavyo amemhusisha Zitto kuhusika na hiko kikundi kilichoandika waraka huu. Hapo chini ni quote yake.
Ina maana ndani ya Chadema mtu yeyote atakayetoa tuhuma za ukabila ndani ya Chama basi anamuwakilisha Zitto au wanatoa hizo tuhuma kwa niaba yake?
Ni kweli GQ,
Lakini pia, alichoandika huyo siku ikifika hapa JF kwa muda sasa (Soma post zake), kina uhusiano na yaliyotokea kwenye kampeni ya Zitto ya kutaka uenyekiti wa CHADEMA.
Labda Jokakuu anampa Zitto nafasi ya kumkana sikuikifika hapa JF.