mama yetu salma ndani umevaa Tshirt,kulikuwa na haja ya kuvaa jacket na joto hilo la bongo? siku nyengine be real
ha ha ha ha haaaaaaaaaaaaaaaaa.........mama Obama huyu!!!
wetu ana bonge la kitambi...misoseji ya ikulu hiyo
![]()
![]()
SALMA VS MICHELLE.
huyu wa kwetu hata havutii, cheki mm obama anaonekana ni mchezaji mahiri type ya akina mesi lakini uyu wa mkwere ni kubutua-butua kama salum kabunda!!
nikiwa kama mpenzi wa soka ambaye sijakaa kisiasa zaidi... SALMA hiyo penalt anavoichukuwa ndivyo haswa inavyotakiwa , mama obama kama ni penalt basi kachemka, kama alikuwa anatoa pasi basi sawa.. tena pasi fupi..
huyo mwenye nyeusi anaonekana ana stamina....ila huyo mwenye yebo yebo.....mmmmh
habari za siku tele.nilipo:flypig:kutana na YESU historia ya maisha yangu yote ilibadilika.:flypig:
Sorry kwa ofutopiki lakn CheusiMangala umeokoka siku hizi?Hebu tupe ushuhuda.