sbilingi
Senior Member
- Nov 16, 2010
- 144
- 2
huyu wa kwetu hata havutii, cheki mm obama anaonekana ni mchezaji mahiri type ya akina mesi lakini uyu wa mkwere ni kubutua-butua kama salum kabunda!!
usiteme big G kwa karanga za kuonjeshwa
huyu wa kwetu hata havutii, cheki mm obama anaonekana ni mchezaji mahiri type ya akina mesi lakini uyu wa mkwere ni kubutua-butua kama salum kabunda!!