Mafaili: Ostadh Juma VS Shehe Kisk

Mafaili: Ostadh Juma VS Shehe Kisk

Mtu alikuwa kwenye miziki ,leo anafanya uganga huo sio Muislamu ..Huyo juma wa namusoma ni mshirikina kutoka kigoma ,anaimba mziki ..Kishki ana mapungufu ila sio hayo ..Mambo madogo ila unayakuza .
Sawa, lakini hoja zake vipi? Jadili hoja, sio mtoa hoja
 
Kobaz wameamua kuionyesha dunia kwamba wanaume wanaweza kuchambana ...Mimi naona hao hawajasema ...ila wakiendelea watakuja kutaja mpaka waume zao mtandaoni maana wote hao inaonekana malinda hawana
 
Mwaipopo, dr. Sule, mazinge, sijui yule sheikh maiko, kuna yule shariffj majini, huyu kishki.. mie ni muislam lakini longtime nilishawafungiaga vioo, wale ni janja janja.. ni wahuni ambao wameijua dini, na wanaitumia dink kuwanufaisha..
Ukiwatizama, hata matamko yao hayaakisi elimi hao.

Kuna masheikh mie huwa nawasikiliza mmoja wapo othman mwalimu sijawahi sikia janja janja katika mawaidha yake, sijawai kuona u MWAMPOSA kwake, ila kina kishki, sule ni MWAMPOSA katika uislam
 
Huyo mganga wa kienyeji anayejiita Ostaz naona analazimisha asikike mjini. Mara aandame uhusiano wa Diamond na Zuchu kwa kulazimisha kumuoa Zuchu, mara siasa na sasa kaja huku kwa Kishki. Analazimisha asikiwe mtandao

Huto Juma wa Musoma si kiongozi wa dini ni mganga wa kienyeji anayetuma jina kujifichia. Msimtaje miongoni mwa viongozi wa dini. Tena akiwa meneja wa wasanii aliwahi kumpigisha magoti PNC
 
Back
Top Bottom