Mafaili: Ostadh Juma VS Shehe Kisk

Mafaili: Ostadh Juma VS Shehe Kisk

Mtu alikuwa kwenye miziki ,leo anafanya uganga huo sio Muislamu ..Huyo juma wa namusoma ni mshirikina kutoka kigoma ,anaimba mziki ..Kishki ana mapungufu ila sio hayo ..Mambo madogo ila unayakuza .
 
Mitandao imesababisha tuwadharau wale wote Tuliokuwa tuna waheshimu

Through mitandao tumebaini kuwa Kuna watu wengi ni watu wazima lakini bichwani mwao ni hamnazo
Through mitandao tumebaini kuwa Kuna watu wengi ni watu wazima lakini bichwani mwao ni hamnazo
 
halafu sijui ni kwa nini mwafrika akiongea kiarabu hasa mtanzagiza he sounds sooo stupid, binafsi nakipenda kiarabu lkn napenda kusikiliza native arabs wenyewe wakiongea kwa mfano matangazo ya kiarabu ya natives arabs wenyewe sounds good ila wabongo wakiongea kiarabu wanavyolazimisha matamshi wanachanganya na mikelele yao kwenye hiyo lugha they sound so low iq ...
 
Back
Top Bottom