KERO Maeneo ya Sabasaba - Dodoma kuna kero kubwa sana ya foleni ya magari jioni na asubuhi

KERO Maeneo ya Sabasaba - Dodoma kuna kero kubwa sana ya foleni ya magari jioni na asubuhi

Hii ni kero ambayo mwananchi ameiwasilisha JF akitaka wahusika kuchukua hatua

DodomaTZ

Senior Member
Joined
May 20, 2022
Posts
161
Reaction score
200
Maeneo ya Sabasaba hapa Dodoma, majira ya Asubuhi na Jioni kuna foleni sana ya magari, hakuna utaratibu maalum uliowekwa eneo hilo.

Wakati mwingine Trafiki wanakuwepo lakini si mara zote unajikuta unakaa saa zima foleni.

Yaani hakuna utaratibu mzuri wa kuongoza yake magari pale Soko la Sabasaba, changamoto hiyo imekuwa hasa upande wa magari yanayoenda Nzuguni, NaneNane na Ihumwa.


 
S
Maeneo ya Sabasaba hapa Dodoma, majira ya Asubuhi na Jioni kuna foleni sana ya magari, hakuna utaratibu maalum uliowekwa eneo hilo.

Wakati mwingine Trafiki wanakuwepo lakini si mara zote unajikuta unakaa saa zima foleni.

Yaani hakuna utaratibu mzuri wa kuongoza yake magari pale Soko la Sabasaba, changamoto hiyo imekuwa hasa upande wa magari yanayoenda Nzuguni, NaneNane na Ihumwa.

View attachment 3299918
View attachment 3299919
Sijui yanapita kufanya Nini huko!Zipite zingine Kimbinyiko ya zamani zisonge CBE!
 
Back
Top Bottom