Aisee mbona unamtajia beach na restaurant outdated hivo....atakuta mabuibui wallahi...hakuna wajanja wanaoenda huko...
Beach: Ramada, Ledger Plaza (Bahari Beach),Mbudya kisiwani,Landmark,Jangwani Sea Breeze(watoto wengi), Kunduchi Beach, Coco Beach, Kijiji Beach
Restaurants: Eaters point Namanga,Terrace Lounge Msasani Mall na Mayfair, KFC na Marry Brown ziko kibao jijini, Open Kitchen Sinza, Akemi, Ciello kule karibu na Sea Cliff, karambezi...
Kuna Ndoto PolePole Farm iko Bunju kama unaelekea Bagamoyo, kuna good food na mazingira mazuuri.....na swimming pool...