Maeneo ya kupumzika na ku refresh Dar es salaam

Maeneo ya kupumzika na ku refresh Dar es salaam

Fukwe ni Coco beach, Mikadi, dege beach, kurasini beach, kunduchi beach, mbezi beach, kawe beach, n.k
Clubs ni Maisha basement millenium tower, Club Bills zamani club billicanas posta, escape one mikocheni, JB bellmont posta, samaki samaki ipo masaki, isumba lounge zamani jory pub kijitonyama, sleep way club, holiday in club n.k
Restaurant ni samaki samaki mlimani city, best bite namanga, holiday in, steers zipo posta na upanga, ubungo plaza restaurant n.k

Watakuja wengine kuendeleza
Kwanza kabla ya yote ili tusisumbuane hapa je hela ya kutumbua anayo kwa maana sehemu hizo baadhi huuza bia ya kibongo kuanzia buku 5 na kuendelea,halahala asije akakosa nauli ya kurudia alikotoka ,mjini hakutembezwi bakuli ohoo
 
Mkuu
Kwa sisi tusio na uwezo wowote lakini tunahitaji kupumzika kiakili na kupata taswira ya matumaini.

Hapa Dar katikati ya jiji, nashauri uende hapo ( Botanical Garden) mtaa wa Garden/Samora mkabala na ukumbi wa Karimjee.

Hapo ni bure, utakuta mandhari nzuri, tulivu, mimea mbalimbali, milio ya ndege aina ya Tausi ni mandhari inayoleta uasili wa viumbe hai.

Nakuhakikishia ukikaa pale kwa muda wako huku ukitafakari mambo yako unaweza kutoka na mwelekeo mpya wenye matumaini.
 
Mkuu
Kwa sisi tusio na uwezo wowote lakini tunahitaji kupumzika kiakili na kupata taswira ya matumaini.

Hapa Dar katikati ya jiji, nashauri uende hapo ( Botanical Garden) mtaa wa Garden/Samora mkabala na ukumbi wa Karimjee.

Hapo ni bure, utakuta mandhari nzuri, tulivu, mimea mbalimbali, milio ya ndege aina ya Tausi ni mandhari inayoleta uasili wa viumbe hai.

Nakuhakikishia ukikaa pale kwa muda wako huku ukitafakari mambo yako unaweza kutoka na mwelekeo mpya wenye matumaini.
HAPO SI PANA PARKING YA MAGARI?
Football pitch
 
Pamoja na yote mazuri mloyochamgia mimi naomba kujuzwa sehemu ninazoweza lwenda na watoto nao wakafurahi kwa kupata ile michezp yao huku na mimi naifurahia hela yangu. nawasilisha.
 
Kumbe kutembea na vichupi beach ni ujanja! Kila mtu ana maamuzi yake acha kukariri maisha,unajuaje kama huyo unaemuelekeza hizo beach za watembea uchi kama ndio hobby yake kuona watu wakitembea uchi?
Umesoma alichoandika ukaelewa??? Aongelei watu kutembea uchi ana maanisha hizo sehemu zimeshafungwa siku nyingi majengo yamebaki na buibui tuu!
 
jolly club,kimboka na ...../
for mult flovour taste club/ chines,Indian,chafukoge mild super taste (Swahili Swahili)
 
Pamoja na yote mazuri mloyochamgia mimi naomba kujuzwa sehemu ninazoweza lwenda na watoto nao wakafurahi kwa kupata ile michezp yao huku na mimi naifurahia hela yangu. nawasilisha.
Ninda fun city kigamboni
 
Hivi unajua tofauti ya Buibui(mdudu)na Baibui(nguo) kweli wewe?....mambo ya uchi yamekujaje hapa?.....siku nyingine soma kitu uelewe kabla hujajibu uozo....Alaaaaaa...
Mi mwenyewe nimemshangaa!
 
Usinitishe....usinilazimishie maana ya neno nililoandika mwenyewe....nimemwambia atakuta mabuibui cz sehemu alizotaja ni za zamani na watu hawaendi tena....acha kutoa frustration zako kwangu wewe....mxiuuuuuuuuuu...
Yaani humu kuna huyu jamaa na yule bi kizee Faiza.Wao kila kitu wanataka kujifanya wanajua kumbe vichwani ni maji tupu.Msamehe bure maana hawa ndio wale wale wasiojua kutofautisha.Utasikia anasema "amevaa buibui"badala ya "baibui".Haya ni maneno mawili yenye maana tofauti.
 
Habari wakuu... Ni sehem gan nzr ya kuenjoy na mpnz wako hapa Dar ambapo sio expensive ..ambapo ni cheap....msaada wadau
 
Back
Top Bottom