majibu yametulia kama sehemu unazopumzikaga....thumb upMediterraneo - mandhari murua na ya utulivu, ukimya na kupumzisha akili ukila na kunywa. mawimbi kwa mbali unayasikilizia.
White sands hotel - ukitaka kuogelea, sipendelei kuenda weekend au siku za sikukuu japo hapajai kama sehemu zingine za karibu. Na wanajitahidi kwa huduma zao pia kudumisha kiwango cha hiyo hoteli.
Sidhani kama club utapumzisha akili..au unataka ukadansi?
Kumbe kutembea na vichupi beach ni ujanja! Kila mtu ana maamuzi yake acha kukariri maisha,unajuaje kama huyo unaemuelekeza hizo beach za watembea uchi kama ndio hobby yake kuona watu wakitembea uchi?Aisee mbona unamtajia beach na restaurant outdated hivo....atakuta mabuibui wallahi...hakuna wajanja wanaoenda huko
Beach: Ramada, Ledger Plaza (Bahari Beach),Mbudya kisiwani,Landmark,Jangwani Sea Breeze(watoto wengi), Kunduchi Beach, Coco Beach, Kijiji Beach
Restaurants: Eaters point Namanga,Terrace Lounge Msasani Mall na Mayfair,KFC na Marry Brown ziko kibao jijini, Open Kitchen Sinza,Akemi, Ciello kule karibu na Sea Cliff, karambezi...
Kuna Ndoto PolePole Farm iko Bunju kama unaelekea Bagamoyo,kuna good food na mazingira mazuuri.....na swimming pool....
Hivi unajua tofauti ya Buibui(mdudu)na Baibui(nguo) kweli wewe?....mambo ya uchi yamekujaje hapa?.....siku nyingine soma kitu uelewe kabla hujajibu uozo....Alaaaaaa...Kumbe kutembea na vichupi beach ni ujanja! Kila mtu ana maamuzi yake acha kukariri maisha,unajuaje kama huyo unaemuelekeza hizo beach za watembea uchi kama ndio hobby yake kuona watu wakitembea uchi?
Jengo lake limevinjwa paleNaitafuta steers ya posta darubini yangu haiioni
Acha kujifanya kua wewe ni bingwa wa kubadilishia gia angani! mabuibui yanahusiana nini na ujanja? halafu tumia lugha ya heshima usije ukajikuta unaanzisha vita ambayo hutoimudu,Hivi unajua tofauti ya Buibui(mdudu)na Baibui(nguo) kweli wewe?....mambo ya uchi yamekujaje hapa?.....siku nyingine soma kitu uelewe kabla hujajibu uozo....Alaaaaaa...
Usinitishe....usinilazimishie maana ya neno nililoandika mwenyewe....nimemwambia atakuta mabuibui cz sehemu alizotaja ni za zamani na watu hawaendi tena....acha kutoa frustration zako kwangu wewe....mxiuuuuuuuuuu...Acha kujifanya kua wewe ni bingwa wa kubadilishia gia angani! mabuibui yanahusiana nini na ujanja? halafu tumia lugha ya heshima usije ukajikuta unaanzisha vita ambayo hutoimudu,
Uko sawa mkuu except kwenye KFC hapo.zile ni fast food joints.hakuna u luxury wowote kwenye migahawa ya junk food.ughaibuni tuna/wanakula KFC kam uko bize au hakuna sehemu ya chakula proper iliyo karibu nawe.lakini bongo watu wanafunga safari kutoka gongo la mboto kufuata kfcAisee mbona unamtajia beach na restaurant outdated hivo....atakuta mabuibui wallahi...hakuna wajanja wanaoenda huko...
Beach: Ramada, Ledger Plaza (Bahari Beach),Mbudya kisiwani,Landmark,Jangwani Sea Breeze(watoto wengi), Kunduchi Beach, Coco Beach, Kijiji Beach
Restaurants: Eaters point Namanga,Terrace Lounge Msasani Mall na Mayfair,KFC na Marry Brown ziko kibao jijini, Open Kitchen Sinza,Akemi, Ciello kule karibu na Sea Cliff, karambezi...
Kuna Ndoto PolePole Farm iko Bunju kama unaelekea Bagamoyo,kuna good food na mazingira mazuuri.....na swimming pool....
KFC bongo unarelax kabisa taratibuu na kipaja chako cha kuku....hizo za ughaibuni sizijui....Bongo Tambararez jamani (in Lemutuz voice)Uko sawa mkuu except kwenye KFC hapo.zile ni fast food joints.hakuna u luxury wowote kwenye migahawa ya junk food.ughaibuni tulikuwa tuna kula KFC ukiwa uko busy au huna sehemu ya kwenda chakula cha kawaida.lakini bongo watu wanafunga safari kutoka gongo la mboto kufuata kfc
Kumbe kutembea na vichupi beach ni ujanja! Kila mtu ana maamuzi yake acha kukariri maisha,unajuaje kama huyo unaemuelekeza hizo beach za watembea uchi kama ndio hobby yake kuona watu wakitembea uchi?
Sawa dada kila mtu ana mtazamo tafauti hapa duniani.so unaweza ukawa sawa kutokana na ufahamu wako.lakini mikahawa ya fast food sio sehemu ya kula bata.tangia lini sehemu ya starehe ikawa na drive thruogh na viombo vya kulia vya plastic.luxury gan hakuna hata weita unajihudumia mwenyeweKFC bongo unarelax kabisa taratibuu na kipaja chako cha kuku....hizo za ughaibuni sizijui....Bongo Tambararez jamani (in Lemutuz voice)
Yes napenda sana kwenda taifa pale.Football pitch
haaaa,umenichekesha san,ila hata kwa googlemap unaweza kupajua piaMungu atusaidie tutusue na sisi tupajue huko.
Mkuu ata soda tu unaenda kunywa. Huwa hazizidi buku 5. Jitahidi hata weekend mojamoja unatembelea mojawapo. Vunja mfupa kama meno bado ipo.Duu zote zilizotajwa sizijui hata moja aiseee,kweli wengine tunawasindikiza wenzetu mjini hapa.
Kabisa madam.KFC bongo unarelax kabisa taratibuu na kipaja chako cha kuku....hizo za ughaibuni sizijui....Bongo Tambararez jamani (in Lemutuz voice)