Maeneo ya kupumzika na ku refresh Dar es salaam

Maeneo ya kupumzika na ku refresh Dar es salaam

Nilijitutumua Ramada Siku moja na mtoto wa kishua asee bia buku 9 mtoto kanyonya bia 6 iliniuma ila sio kesi kwa pumziko la nafsi inapendeza ukisindikiza na dinner kabisa na ulale huko huko utoe ukurutu wa uswazi
 
Kwanza kabla ya yote ili tusisumbuane hapa je hela ya kutumbua anayo kwa maana sehemu hizo baadhi huuza bia ya kibongo kuanzia buku 5 na kuendelea,halahala asije akakosa nauli ya kurudia alikotoka ,mjini hakutembezwi bakuli ohoo

Haaaa! asije akatuchasha kumbe ana buku kaza.
 
Maeneo yote ya wazi ambayo ungeweza pumzika yametwaliwa na chichiem na wamewapangisha watu Wa magereji kufanya shuguli Zao...

Ova
 
Siku hizi utajikuta peke yako... usawa umekata..... pia kumbuka Dar watu wanatizamwa sana so uzembe uzembe wa kupumzika ushaisha baada ya uchaguzi...
Hahahaah acha kumtisha mwenzako pengine yupo likizo, mwache aende mbudya kidogo akapumzike ama southern beach
 
Mada za matumiz ya hela zinatoa raia povu mno [emoji104]
 
Mediterraneo - mandhari murua na ya utulivu, ukimya na kupumzisha akili ukila na kunywa. mawimbi kwa mbali unayasikilizia.

White sands hotel - ukitaka kuogelea, sipendelei kuenda weekend au siku za sikukuu japo hapajai kama sehemu zingine za karibu. Na wanajitahidi kwa huduma zao pia kudumisha kiwango cha hiyo hoteli.

Sidhani kama club utapumzisha akili..au unataka ukadansi?

Club mbona u apumzisha akili yaani kuona warembo tuu wanatingjsha tingisha misambwanda tayari mind inakuwa refreshed
 
Hivi unajua tofauti ya Buibui(mdudu)na Baibui(nguo) kweli wewe?....mambo ya uchi yamekujaje hapa?.....siku nyingine soma kitu uelewe kabla hujajibu uozo....Alaaaaaa...

Mpe kiwanja akapumzike [emoji23][emoji23][emoji23] stress si nzuri kapanic kitoto
 
Mmmmh!....interesting.
Safi Mkuu
Eeh...yaani mie nikiona wowowo ndani ya leggings tayari napata bonge la relaxation...ukiongezea na kubambia wowowo na mirindimo ya muziki ah safi kabisa...ukitoka hapo unaenda kumalizia na kugegeda maana dancing pacha wake kukugegedana.

Dancing is a vertical expression of the horizontal desire.
 
Chanika
Habari za majukumu wakuu wa JF.

Kama mnavyofahamu binaadamu yake ni mikikimikiki chini ya jua ili kuhakikisha anakidhi haja zake za kimaisha kufikia maisha bora. Hakuna anayeweza kulala kwa amani kama hana chochote cha kumletea faraja.

Ila pamoja na hayo kuna wakati anahitaji kupumzisha mwili na kuustarehesha ubongo ili kujipanga upya kila anapohisi amezidiwa na majukumu au jambo lolote linalomletea msongo katika maisha yake.

Sasa basi kukidhi mahitaji hayo anahitaji maeneo mbalimbali kwa ajili ya kujistarehesha, yaliyotulia au ya fujo kutegemea na mahitaji ya mwili wake. Baadhi ya maeneo machache ni:

Fukwe mbalimbali
Clubs
Migahawa etc.

Naomba kwa wajuzi zaidi waorodhesha maeneo mbali mbali ya kupumzuka kwa ajili ya kuufurahisha mwili. Nawasilisha.
 
Back
Top Bottom