Maeneo ya kupumzika na ku refresh Dar es salaam

private agent

Member
Apr 6, 2016
83
103
Habari za majukumu wakuu wa JF.

Kama mnavyofahamu binaadamu yake ni mikikimikiki chini ya jua ili kuhakikisha anakidhi haja zake za kimaisha kufikia maisha bora. Hakuna anayeweza kulala kwa amani kama hana chochote cha kumletea faraja.

Ila pamoja na hayo kuna wakati anahitaji kupumzisha mwili na kuustarehesha ubongo ili kujipanga upya kila anapohisi amezidiwa na majukumu au jambo lolote linalomletea msongo katika maisha yake.

Sasa basi kukidhi mahitaji hayo anahitaji maeneo mbalimbali kwa ajili ya kujistarehesha, yaliyotulia au ya fujo kutegemea na mahitaji ya mwili wake. Baadhi ya maeneo machache ni:

Fukwe mbalimbali
Clubs
Migahawa etc.

Naomba kwa wajuzi zaidi waorodhesha maeneo mbali mbali ya kupumzuka kwa ajili ya kuufurahisha mwili. Nawasilisha.
 
Fukwe ni Coco beach, Mikadi, dege beach, kurasini beach, kunduchi beach, mbezi beach, kawe beach, n.k
Clubs ni Maisha basement millenium tower, Club Bills zamani club billicanas posta, escape one mikocheni, JB bellmont posta, samaki samaki ipo masaki, isumba lounge zamani jory pub kijitonyama, sleep way club, holiday in club n.k
Restaurant ni samaki samaki mlimani city, best bite namanga, holiday in, steers zipo posta na upanga, ubungo plaza restaurant n.k

Watakuja wengine kuendeleza
 
Habari za majukumu wakuu wa JF.

kama mnavyofahamu binaadamu yake ni mikikimikiki chini ya jua ili kuhakikisha anakidhi haja zake za kimaisha kufikia maisha bora. Hakuna anayeweza kulala kwa amani kama hana chochote cha kumletea faraja.

Ila pamoja na hayo kuna wakati anahitaji kupumzisha mwili na kuustarehesha ubongo ili kujipanga upya kila anapohisi amezidiwa na majukumu au jambo lolote linalomletea msongo katika maisha yake.

Sasa basi kukidhi mahitaji hayo anahitaji maeneo mbalimbali kwa ajili ya kujistarehesha, yaliyotulia au ya fujo kutegemea na mahitaji ya mwili wake. Baadhi ya maeneo machache ni:

Fukwe mbalimbali
Clubs
Migahawa etc.

Naomba kwa wajuzi zaidi waorodhesha maeneo mbali mbali ya kupumzuka kwa ajili ya kuufurahisha mwili. Nawasilisha.


Football pitch
 
sinza ndo kuna sehemu kibao za ku refresh+kula bata+watoto wazuri+etc.
 
Fukwe ni Coco beach, Mikadi, dege beach, kurasini beach, kunduchi beach, mbezi beach, kawe beach, n.k
Clubs ni Maisha basement millenium tower, Club Bills zamani club billicanas posta, escape one mikocheni, JB bellmont posta, samaki samaki ipo masaki, isumba lounge zamani jory pub kijitonyama, sleep way club, holiday in club n.k
Restaurant ni samaki samaki mlimani city, best bite namanga, holiday in, steers zipo posta na upanga, ubungo plaza restaurant n.k

Watakuja wengine kuendeleza
Mkuu JB Bellmonte posta hotel imefungwa ile haipo nenda Star light napo pametulia kabisa.
 
Fukwe ni Coco beach, Mikadi, dege beach, kurasini beach, kunduchi beach, mbezi beach, kawe beach, n.k
Clubs ni Maisha basement millenium tower, Club Bills zamani club billicanas posta, escape one mikocheni, JB bellmont posta, samaki samaki ipo masaki, isumba lounge zamani jory pub kijitonyama, sleep way club, holiday in club n.k
Restaurant ni samaki samaki mlimani city, best bite namanga, holiday in, steers zipo posta na upanga, ubungo plaza restaurant n.k

Watakuja wengine kuendeleza
Aisee mbona unamtajia beach na restaurant outdated hivo....atakuta mabuibui wallahi...hakuna wajanja wanaoenda huko...

Beach: Ramada, Ledger Plaza (Bahari Beach),Mbudya kisiwani,Landmark,Jangwani Sea Breeze(watoto wengi), Kunduchi Beach, Coco Beach, Kijiji Beach

Restaurants: Eaters point Namanga,Terrace Lounge Msasani Mall na Mayfair, KFC na Marry Brown ziko kibao jijini, Open Kitchen Sinza, Akemi, Ciello kule karibu na Sea Cliff, karambezi...

Kuna Ndoto PolePole Farm iko Bunju kama unaelekea Bagamoyo, kuna good food na mazingira mazuuri.....na swimming pool...
 
Mediterraneo - mandhari murua na ya utulivu, ukimya na kupumzisha akili ukila na kunywa. mawimbi kwa mbali unayasikilizia.

White sands hotel - ukitaka kuogelea, sipendelei kuenda weekend au siku za sikukuu japo hapajai kama sehemu zingine za karibu. Na wanajitahidi kwa huduma zao pia kudumisha kiwango cha hiyo hoteli.

Sidhani kama club utapumzisha akili..au unataka ukadansi?
 
Fukwe ni Coco beach, Mikadi, dege beach, kurasini beach, kunduchi beach, mbezi beach, kawe beach, n.k
Clubs ni Maisha basement millenium tower, Club Bills zamani club billicanas posta, escape one mikocheni, JB bellmont posta, samaki samaki ipo masaki, isumba lounge zamani jory pub kijitonyama, sleep way club, holiday in club n.k
Restaurant ni samaki samaki mlimani city, best bite namanga, holiday in, steers zipo posta na upanga, ubungo plaza restaurant n.k

Watakuja wengine kuendeleza

Daah!!! we jamaa ni hatari aiseee!!! yaaani viwanja vyooote unavijua duuh! miguu ya kuku inakuhusu
 
Fukwe ni Coco beach, Mikadi, dege beach, kurasini beach, kunduchi beach, mbezi beach, kawe beach, n.k
Clubs ni Maisha basement millenium tower, Club Bills zamani club billicanas posta, escape one mikocheni, JB bellmont posta, samaki samaki ipo masaki, isumba lounge zamani jory pub kijitonyama, sleep way club, holiday in club n.k
Restaurant ni samaki samaki mlimani city, best bite namanga, holiday in, steers zipo posta na upanga, ubungo plaza restaurant n.k

Watakuja wengine kuendeleza
Insumba Lounge (zamani Jolly's Club na siyo Jory Pub) haiko Kijitonyama mkuu. Hii iko Ali Hassan Mwinyi Rd, Upanga (jirani na traffic lights zilizo kwenye makutano ya barabara ya kwenda Aga Khan Hospital).
 
Back
Top Bottom