Haya ya muafrika kuwa maskini ni madhara ya ubepari. Ubepari ukikatiza kokote hata ukiacha mendeleo, maendeleo yake yatabakia kuwa ya upande fulani ambapo unapita katika kona za kirangi "race", kikabila "tribal" , kikanda "kusini mwa afrika kuna umaskini uliokithir dunia nzima".
Although humo ndani kunakuaga na exceptional generic, kuna ambao watatoboa au kuna ambao watanusurika na line hizo. Mfano, ukiangalia kirangi wazungu au white ni matajir sana lakin kuna waafrika wengine ni matajiri kupita BAADHI ya matajiri wa kizungu.
Angalia maendeleo na umaskin Tanzania ulivyojitokea mikoa/kanda ya kusini. Angalia umaskin ulivyokaa kikabila. Kuna makabila yanatoa matajir wengi sana..
Etcetera