Maendeleo yanaheshimu rangi?

Maendeleo yanaheshimu rangi?

Hebu tuangalie top 10 world billioneas kama kuna mweusi hata mmoja na sio top 10 twende top 150 hakuna ngozi nyeusi hata moja kama haumini ingia forbes wana realtime update ya billioneas kwa list .
Mumehamia duniani sasa, sio tena tz wala africa?
Dangote ni wa 132 duniani, so yumo ndani ya 150 ulizotaja
 
Mumehamia duniani sasa, sio tena tz wala africa?
Dangote ni wa 132 duniani, so yumo ndani ya 150 ulizotaja
Nani aliongelea TZ labda umekosea ku quote hakuna sehemu nimeongelea TZ anyway nimekuwekea umuone wa 132 hapo hii ni leo updated.
 

Attachments

  • Screenshot_20240623_213356_Opera.jpg
    Screenshot_20240623_213356_Opera.jpg
    422.6 KB · Views: 21
Maendeleo yana mahusiano kiasi kikubwa na rangi, hata Marekani Waafrika wanapata tabu zaidi kuendelea kuliko wazungu ndani ya nchi moja.
Ubaguzi. Weupe wanapendeleana, wanainuana. Weusi wanakandamizwa, wanapokonywa au kufichiwa fursa.
 
Hauwezi kuwa MTU wa kupenda ngono ukawa na akili


Ngono inaharaibu akili na kuwa low thinker

Akili ikiharibika inafata mwili na roho

So MTU mweusi sio MTU kama MTU wa kawaida.
Hata maandiko yanasema afanyae ngono hana akili.
Mwanamke au mwanaume apendae sana chini pima general thinking yake utakuta ipo low sana.
Pili utafutaji mali na zinaa haviendani kabisa maana kupitia zinaa ni lazima uokote mikosi na huwezi fanikiwa kimwili kabla ya kufanikiwa kiroho kwanza.
 
Nani aliongelea TZ labda umekosea ku quote hakuna sehemu nimeongelea TZ anyway nimekuwekea umuone wa 132 hapo hii ni leo updated.
Vyanzo vipo vingi mkuu
Cha kwangu kinasema dangote ni 132
Nani aliongelea TZ labda umekosea ku quote hakuna sehemu nimeongelea TZ anyway nimekuwekea umuone wa 132 hapo hii ni leo updated.
Angalia tofauti lakini bado ni ndani ya 150
Forbrs 143
Bloomberg 142
 
Muafrika kwenye structural hii hatoboi. Unless arudi kwemye siasa za kina nyerere na kwame zenye mihimili ya kuungana na kujitegemea.
Ya, ni ngumu kama ngamia kupenya katika tundu la sindano.

Miaka inavyozidi kusonga ndio barabara inazidi kuwa finyu yakuinuka kiuchumi.

Karne ya 21 Sasa Kuna HUMan rights, IMF, World bank, WTO zenye nguvu sana.

Pamoja darkside/mapungufu ya Jk Nyerere,
Aliwahi kuzungumza kuhusu kuingia kwa IMF, World bank katika mataifa yanayo endelea na mambo yao ya saps na free market policy's.

Nyerere alisema ni ngumu sana kupiga hatua kiuchumi, raia watakaza mikanda mpaka itabaki mifupa.

Mchumi raia wa Korea ya kusini, Ha joon chang, anasema mojawapo ya vikwazo katika mataifa maskini kuendelea au kupiga hatua kiuchumi ni Free market policy's. (Heavyweight vs Middle light weight, fight).
 
Muafrika kwenye structural hii hatoboi. Unless arudi kwemye siasa za kina nyerere na kwame zenye mihimili ya kuungana na kujitegemea.
Ya, ni ngumu kama ngamia kupenya katika tundu la sindano.

Miaka inavyozidi kusonga ndio barabara inazidi kuwa finyu yakuinuka kiuchumi.

Karne ya 21 Sasa Kuna HUMan rights, IMF, World bank, WTO zenye nguvu sana.

Pamoja darkside/mapungufu ya Jk Nyerere,
Aliwahi kuzungumza kuhusu kuingia kwa IMF, World bank katika mataifa yanayo endelea na mambo yao ya saps na free market policy's.

Nyerere alisema ni ngumu sana kupiga hatua kiuchumi, raia watakaza mikanda mpaka itabaki mifupa.

Mchumi raia wa Korea ya kusini, Ha joon chang, anasema mojawapo ya vikwazo katika mataifa maskini kuendelea au kupiga hatua kiuchumi ni Free market policy's. (Heavyweight vs light middle weight, fight).
 
Wazungu mpaka wamefikia maendeleo tunayo yaona wamesha peana vichapo wenyewe kwa wenyewe vya kutosha
Ya...

Katika bara ambalo walipigana sana wao kwa wao basi Ulaya inashika nafasi ya juu.

Unyama unyama.

Mfano, kabla ya German kujipata katika Hali nzuri ya kiuchumi, Waingereza walikuwa wanawaita majina mengi na kashifa nyingi, dharau, matusi, kejeri.

Wajerumani waliitwa ni Wezi, hawaiminiki, Hawawezi kushirikiana wao kwa wao, a dull &heavy people, German never hurry, dishonest.

Lakini baada ya kuinuka kiuchumi yote hayo Matusi/kejeri/dharau yaliyeyuka kama barafu katika jua Kali.
 
Ya, ni ngumu kama ngamia kupenya katika tundu la sindano.

Miaka inavyozidi kusonga ndio barabara inazidi kuwa finyu yakuinuka kiuchumi.

Karne ya 21 Sasa Kuna HUMan rights, IMF, World bank, WTO zenye nguvu sana.

Pamoja darkside/mapungufu ya Jk Nyerere,
Aliwahi kuzungumza kuhusu kuingia kwa IMF, World bank katika mataifa yanayo endelea na mambo yao ya saps na free market policy's.

Nyerere alisema ni ngumu sana kupiga hatua kiuchumi, raia watakaza mikanda mpaka itabaki mifupa.

Mchumi raia wa Korea ya kusini, Ha joon chang, anasema mojawapo ya vikwazo katika mataifa maskini kuendelea au kupiga hatua kiuchumi ni Free market policy's. (Heavyweight vs Middle light weight, fight).
Unajua mkuu hii system inafanya kazi level zote. Kama ugumu anaoupata Maskini kupata/kuwa tajiri. Ni vilevile kwa nchi dhidi ya mfumo. Mfumo umekaa vibaya kwa maskin wa aina yoyote yule iwe nchi au mtu

Survival of the fittest nzuri ukiwa fitter
 
Mwafrika yupo radhi ufe wakati uwezo wa kukusaidia anao..
Anyway suluhisho ni nini ili angalau tubebane katika kupambana na umaskini?
 
Nje ya mada, KE nyeusi ni tamu kuliko white.

Hahaha!!! Na Mimi nje ya mada.

Nadhani ni majigambo ya hapa na palee.

Mithili ya Brian bumper, Bryon long, Jake steed, Delvin weed, Prince Yashua... Jord pola elnino, Charles Dera,.

Tt boy ndani Ya sega la asali la Judy Winslow (Jaimee forxworth) wa Family matter's (ABC).

Finally anasema black so so hot.. hahaha... Ni just majigambo tu ya ttboy.

Au white boy vivid Entertainment katika sega la Montana fishburne.
 
South Korea nayo ilitawaliwa, na ni kama rika moja na Tanganyika, lakini imeshaiacha Tanzania mbali sana kimaendeleo!

Singapore ilipata uhuru mwaka 1965 lakini leo hii iko wapi kimaendeleo?
Nimekunukuu au Fanya quoting...

Nimeona umetaja Nchi mbili au mataifa mawili Singapore na Korea ya kusini.

Kura tatu ya Tanganyika wakati wa Nyerere itakupa picha njinsi Ukoloni ulivyokuwa na matabaka ya kutisha.

Mtu mweusi alikuwa tabaka la chini/Mwisho katika Utawala wa kikoloni.

Hivyo ukoloni ndani ya Singapore haukuwa sawa na Africa Black nations, Mtu mweusi alichukuliwa kama mnyama tu., (Brutal Colonialism).

Singapore na South Korea ulizozitaja, mosi zimepiga hatua kipindi Human rights , IMF, World bank na WTO hazina nguvu sana na chupa ya democrasia ilikuwa Bado haija jaa pomoni.

Mfano Lee Kuan yew ambaye huitwa kama baba wa Taifa Singapore aliitwa majina kibao, Kiongozi katili, Asiye penda democrasia, Asiye na utu.. na majina kibao.. Huma rights na wauumini wa democrasia kimataifa walikuwa wanamuundama Kila mahala katika shughuli za kuiletea maendeleo Singapore.

Jambo kubwa jamaa alikuwa smart sana kichwani na Kila hatua... Na alijua njinsi ya kumega tonge na watu wa West.

Na Singapore kwa kutambua yakuwa hawana maliasili/Resources walijikita katika Human capital/skills na Uwekezaji.

Na Singapore ni Taifa dogo sana lenye eneo la kilomita za mraba 735 , Tanzania kilomita za mraba laki 9.4, Tabora kilomita za mraba Elfu 76. Japo udogo sio excuse.


Mwaka Jana, dk Moleli kipindi yupo katika mahojiano ya star tv The big ajenda anasema kwa ucheshii na utani ya kuwa lami Kutoka Dar mpaka kigoma.. nchi kama Singapore unasambaza yote mpaka chooni, bafuni..

Hivyo wengine humuiitaa Lee Kuan Yew -Benevolent dictator.

Ya,benevolent dictator & intelligent anatakiwa kwa nchi maskini ili walau kupiga hatua.

Taifa la Korea ya kusini kipindi linapiga hatua ulikuwa ukikamatwa tu na Jojo kutoka nje ya nchi unafungwa jela au faini ya kutisha.(Kulinda viwanda vichanga vya ndani na kupenda bidhaa za nyumbani)

Hicho ni kipindi ambacho free market policy's, WTO, IMF & World,Human rights zilikuuwa hazina nguvu sana na ushawishi..

Na viongozi wake walikuwa ni watata kweli kweli.. tajiri unaamlishwa, fungua kiwanda Cha simu, Magari.. ukibisha unatishiwa kufilisiwa, walau wanachokuahidi viongozi ni ruzuku.

Mpitie huyu mchumi Ha joon Chang kutoka Korea kusini ambaye baba yake ni moja wapo wa watu waliokuwa katika wizara kipindi Korea kusini inatoka katika umaskini.

Anasimulizi nzuri na fundishii,

Na si lazima ukabaliane na kilajambo alilosema lakini anatoa mwanga Mkubwa kuhusu Korea kusini, Singapore, Japan, china na mataifa yaliyo endelea na yanayoendelea.
 

Attachments

  • images - 2024-06-24T185449.185.jpeg
    images - 2024-06-24T185449.185.jpeg
    22.9 KB · Views: 24
  • images - 2024-06-24T185437.174.jpeg
    images - 2024-06-24T185437.174.jpeg
    37.9 KB · Views: 27
  • images - 2024-06-24T185350.753.jpeg
    images - 2024-06-24T185350.753.jpeg
    38.2 KB · Views: 20
  • images - 2024-06-24T185350.753.jpeg
    images - 2024-06-24T185350.753.jpeg
    38.2 KB · Views: 23
  • images (100).jpeg
    images (100).jpeg
    40.6 KB · Views: 24
Back
Top Bottom