Maendeleo yanaheshimu rangi?

Maendeleo yanaheshimu rangi?

Mada imeniukumbusha rafiki yangu wa NIGERIA pansophist.

Pansophist anaililia Multipolarism. (Multipolarism vs hegemonism).

Anafikiri huenda Multipolarism itapunguza na labda kuondoa vizungiti vingi katika njia/barabara ya maendeleo(Kicking away the ladder).


Black is beautiful.


Inawezekana kabisa Africa kusonga na kupiga hatua kiuchumi na n. K


Sababu nyingi za kueleza yanayotukuta au excuse waweza kuita.

Moja, Mobutu seseko kabla ya kurudii mavumbini alidai alikuwa mhanga wa mwisho wa Vita baridi,

Nafanya paraphrasing ya Mobutu..

Africa/Black tumekuwa wahanga wa mwisho wa Brutal Colonialism(Kisaikilojia, kitamaduni, Mila na identity vimeparanganyika kwa Mtu mweusi).


Sababu zipo nyingi na nzito.


Black is beautiful.
 
Waafrika ni viumbe ambo evolution yao kuelekea ubinadmu haikuamilia , wako kati ya mnyama na binadamu.

Waafrika wana 60% unyama na only 40% ubinadmu.
Ukitaka kujua Mwafrika ni kazi! Panga nae kazi au awe na hela kiasi kwanza anajisikia na anataka kubembelezwa!
Mimi nilifanya kazi na Boss Mkubwa na Capital Drilling Cental na East Africa lakini alikuwa anapokea simu zangu kwa wakati na anajali sana!
Mbongo akiwa na IST tu linakuwa tatizo Mswahili,Mjuaji na asiyeangalia mbele!
Kufanya kazi na Mwafrika tabu sana ndo maana Wachina wanakuja kwetu wanatajirika na sie tunabakia manamba na serkali yetu isiyojitambua!
 
Rangi ya ngozi haina maana yeyote maana hata Afrika wapo watu wana rangi nyeupe pee tena ya kuzaliwa, haya ni mambo ya historia yaliyobeba ustaarabu na experience za maisha.

Someni kitabu cha "Guns,Germs and Steel" cha Jared Diamond.
Safi sana. Kitabu poa Cha bwana Jared.

Mwambie asisahau kupitia kitabu Cha Mkorea kusini Ha Joon chang Kicking away the ladder:" Development strategic in history perspective. "
 

Attachments

  • images - 2024-06-22T181349.827.jpeg
    images - 2024-06-22T181349.827.jpeg
    30.6 KB · Views: 13
  • images (100).jpeg
    images (100).jpeg
    40.6 KB · Views: 14
Mwafrika hawezi kuwa na maendeleo kwa sababu anakosa sifa ya uaminifu kuthibitisha ili mfungulie biashara ndugu yako ili muinuke wote kisha leta majibu.
Siri ya weupe wote kuwa na maendeleo wao wamewekeza sana kwenye uaminifu.
Wabongo upigaji
Hili limeshanikumba!
Mwaka Jana, niliuanzisha mradi fulani mkoa fulani nikamweka mwenyeji wa huko awe msimamizi kwa makubaliano ya kugawana naye faida. Niliamini kuwa kwa vile yeye ni mwenyeji, na ana uzoefu kidogo kwenye hizo shughuli kunizidi, isitoshe nilikuwa nikiishi mkoa mwingine na kuliko na mradi, yeye angeweza kuwa msaada mkubwa sana kufanikisha hizo shughuli. Alichokifanya niliishia kujuta kumwamini!

1. Nilipomwachia hela ya kazi, alitumia kwa mambo yake binafsi.

2. Aliniaminisha kuwa kazi zinaendelea vizuri, lakini nilipoutwmbelea mradi nilikuta upo kama nilivyouacha.

3. Kipindi fulani nilipokuwa nipo kwenye mkoa mradi ulikokuwa, aliniambia kuwa sasa kaamua kuwa serious na usimamizi, na hivyo akaamua kwenda kukaa kambini mradi ulipo. Nilipomkuta kambini, niliamini kwamba sasa mambo yameshaanza kusonga mbele. Nilifurahi nikaamua kumpa na hela "vocha". Kilichofuatia nilikijutia. Alipata dharura ya ghafla iliyompelekea kurejea nyumbani kwake. Alienda kulewa baada ya kumpatia "kahela ka vocha".

4. Kuonesha kuwa huenda hakuwa mwaminifu, hakutaka vibarua aliokuwa akiwasimamia wajue kiasi cha material yaliyotumika site, pengine, alihofia kuwa watakuja kuniambia.

5. Mpaka nakuja kuamua kuachana naye, alikuwa ameshanitia hasara kwa kiwango fulani.

Uaminifu ni kati ya bidhaa adimu kwa Watanzania wengi! Yaani mtu jukumu lake lilikuwa kusimamia tu, gharama zinginezo zote zilikuwa juu yangu, halafu faida tugawane, lakini bado alishindwa kuwa mwaminifu.

Nilijuta kumwamini, lakini kanipa somo.
 
Akili
Nguvu
Juhudi
Maarifa

Haya mambo yote hayaleti maendeleo Ila yanaleta maendeleo ukielewa nguvu za kiroho .


Waafrica umasikini wao upo kiroho zaidi

Ta za ma wasomi walivyo na maisha magumu , tazama pia watu weupe wasomi uone .
Watu weupe mkuu tayari wanaishi dimbwi la mfumo unaouwapa utajiri. So ndo mana ukiwa ulaya kwa kazi ile ile unayoifanya bongo mshahara wako ni next level
 
Kwamba hao weupe Wana fursa nyingi (channel ) za kufanikiwa kuliko weusi?..

Athari za ubaguzi wa rangi huko Marekani bado hazijaisha... ndio maana hata magereza yamejaa weusi
Ubaguzi wa mfumo, na ni technical sana. Lazima tuangalie hawa waafrika wanawezaje kuacess legal services na equal opportunities. Mikakat wezeshi n mfumo wa legal unawezaje kutoa equity treatment kwa ethnic minorities. Mana hata wale walatin , wahispania na wahindi wakiwa USA wanapataga shida
 
Rangi ya ngozi haina maana yeyote maana hata Afrika wapo watu wana rangi nyeupe pee tena ya kuzaliwa, haya ni mambo ya historia yaliyobeba ustaarabu na experience za maisha.

Someni kitabu cha "Guns,Germs and Steel" cha Jared Diamond.
Make it brief and well revived. Tuambie na kasoro za hicho kitabu kimitazamo yake
 
Mada imeniukumbusha rafiki yangu wa NIGERIA pansophist.

Pansophist anaililia Multipolarism. (Multipolarism vs hegemonism).

Anafikiri huenda Multipolarism itapunguza na labda kuondoa vizungiti vingi katika njia/barabara ya maendeleo(Kicking away the ladder).


Black is beautiful.


Inawezekana kabisa Africa kusonga na kupiga hatua kiuchumi na n. K


Sababu nyingi za kueleza yanayotukuta au excuse waweza kuita.

Moja, Mobutu seseko kabla ya kurudii mavumbini alidai alikuwa mhanga wa mwisho wa Vita baridi,

Nafanya paraphrasing ya Mobutu..

Africa/Black tumekuwa wahanga wa mwisho wa Brutal Colonialism(Kisaikilojia, kitamaduni, Mila na identity vimeparanganyika kwa Mtu mweusi).


Sababu zipo nyingi na nzito.


Black is beautiful.
Muafrika kwenye structural hii hatoboi. Unless arudi kwemye siasa za kina nyerere na kwame zenye mihimili ya kuungana na kujitegemea.
 
Ukitaka kujua Mwafrika ni kazi! Panga nae kazi au awe na hela kiasi kwanza anajisikia na anataka kubembelezwa!
Mimi nilifanya kazi na Boss Mkubwa na Capital Drilling Cental na East Africa lakini alikuwa anapokea simu zangu kwa wakati na anajali sana!
Mbongo akiwa na IST tu linakuwa tatizo Mswahili,Mjuaji na asiyeangalia mbele!
Kufanya kazi na Mwafrika tabu sana ndo maana Wachina wanakuja kwetu wanatajirika na sie tunabakia manamba na serkali yetu isiyojitambua!
Nenda sasa kwenye ofisi za umma ukihitaji huduma fulani! Utafikiri si haki yako kuhudumiwa ilhali mishahara yao imetokana na kodi yako. Ni kama vile umeenda kuomba msaada. Labda umkute mtu aliyeelimika. Lakini kama ni akina "unanijua mimi ni nani?", utaishia kusumbuliwa bila sababu ya msingi, vinginevyo, uwahonge.
 
Nchi zinazochukuliwa kuwa "the most developed in Africa" ni Mauritius, Seychelles, Algeria, Egypt, Tunisia, Libya, South Africa, Gabon, Botswana, and Mauritius.

Ukiacha Gabon, karibia nchi zote zilizotajwa hapo juu zina unasaba na Uarabu au Uzungu!
Algeria, Egypt, Tunisia, Libya, na Morocco ni nchi za Kiarabu.

South Africa inafahamika, ni kwa Makaburu.

Botswana nako kuna mchango wa Uzungu. Rais wa kwanza wa Botswana, Sir Seretse Khama, mkewe alikuwa Mzungu wa Uingereza. Huwezi kuyatenganisha mafanikio yake na mchango wa mke wake. Inasemekana, yeye kama Rais wa kwanza, aliiweka misingi imara ya uongozi.

Seychelles nako wana unasaba na Wazungu.

Tukirudi Tanzania, wanaoongoza kwenye orodha ya matajiri ni Watanzania wenye ngozi nyeupe.

Ukigoogle, TOP 10 RICHEST PEOPLE IN TANZANIA utawakuta wafuatao: Mohammed Dewj,
, Rostam Aziz, Said Salim Bakhressa, Ally Awadh, Shakhar Kanabar, Fida Hussein Rashid, Shubash Patel, Yusuf Manji, Ghalib Said Mohammed, na Yogesh Manek. Ukiangalia sura za hao matajiri, utabaini kuwa rangi nyeupe ndiyo iliyotamalaki.

Je, kuna uhusiano wa rangi na mafanikio?

Nchi zilizoendelea zaidi Afrika ni zile zenye Wazungu au Waarabu!

Orodha ya Watanzania matajiri zaidi inaongozwa na Watanzania wenye rangi nyeupe.

Je! Mafanikio yao yamechochewa na rangi ya ngozi zao?

Suala la mafanikio ni la rangi ya ngozi au uwezo wa akili?

Mimi niaminivyo, ni akili. Labda, watu wenye rangi nyeupe wana akili kuzidi wenye ngozi nyeusi, au rangi zao zianawafanya wapendelewe na hivyo kufanikiwa kirahisi?

Tofauti ya ngozi nyeupe na nyeusi kwenye maendeleo ni moja pekee (pretty ironic)

1 . Ngozi nyeupe wanafanya maendeleo kwa ajili yao na vizazi vyao huwa hawana ubinafsi kwenye kitu kitakachowapa maendeleo ila kwetu ni tofauti watu wachache wanaoangalia matumbo yao wenyewe.

2. Weusi na weupe wote wanaiba ila kuna anayeiba kwa kiasi na kingine anapeleka kwenye maendeleo tena nchini kwake ila kuna sisi black NIGGAS tunaiba nyumbani kisha tunaenda jenga nje .

3. Ngozi nyeupe wana mipango ya miaka zaidi ya 100 mbele na wana backup plan kabisa ila sisi tuna mipango ya kuiba zaidi na kujenga majumba mazuri mazuri bila kuangalia kizazi cha mbele.

4. Wanafikiria nje ya box wakati sisi tunafikiria ndani yake.
 
Akili
Nguvu
Juhudi
Maarifa

Haya mambo yote hayaleti maendeleo Ila yanaleta maendeleo ukielewa nguvu za kiroho .


Waafrica umasikini wao upo kiroho zaidi

Ta za ma wasomi walivyo na maisha magumu , tazama pia watu weupe wasomi uone .
Ulaya na marekani wameziacha dini na kufuata logic zaidi lakini angalia maendeleo yao yalipo hivyo point yako inakosa nguvu.

Labda ungelezea zaidi hiyo nguvu ya kiroho .
 
Ukigoogle, TOP 10 RICHEST PEOPLE IN TANZANIA utawakuta wafuatao: Mohammed Dewj,
, Rostam Aziz, Said Salim Bakhressa, Ally Awadh, Shakhar Kanabar, Fida Hussein Rashid, Shubash Patel, Yusuf Manji, Ghalib Said Mohammed, na Yogesh Manek. Ukiangalia sura za hao matajiri, utabaini kuwa rangi nyeupe ndiyo iliyotamalaki
Hao wote wanapitwa na dangote mmoja tu
Maendeleo ni pesa sio rangi
 
Believe it or not fikra hizi za ajabu sio mpya zilishaanza miaka ya dark ages watu walipoamini kwenye eugenics na wengine kuamini kwamba masikini ni watu wasio na akili hivyo kuwatenga na ukioa genes hizo uta-dilute genes nyingine (hence kuna super genes)

Ila watu wakafanya research wakaona kwamba watu wakipata opportunities sawa bila segregation wala marginalization wote wanauwezo wa ku-succeed (sasa zao la watumwa ambao waliteswa wanaweza wakawa bado na inferioty complex hata pale ambapo hakuna mateso - Its all about culture)

Nadhani kwa kupata a taste of what am saying angalia hii movie ya Eddie Murphy -Trading Places

View: https://youtu.be/Fupg2r1EJ9w?si=4VEnBUMnBZEQiApN
 
Nchi zinazochukuliwa kuwa "the most developed in Africa" ni Mauritius, Seychelles, Algeria, Egypt, Tunisia, Libya, South Africa, Gabon, Botswana, and Mauritius.

Ukiacha Gabon, karibia nchi zote zilizotajwa hapo juu zina unasaba na Uarabu au Uzungu!
Algeria, Egypt, Tunisia, Libya, na Morocco ni nchi za Kiarabu.

South Africa inafahamika, ni kwa Makaburu.

Botswana nako kuna mchango wa Uzungu. Rais wa kwanza wa Botswana, Sir Seretse Khama, mkewe alikuwa Mzungu wa Uingereza. Huwezi kuyatenganisha mafanikio yake na mchango wa mke wake. Inasemekana, yeye kama Rais wa kwanza, aliiweka misingi imara ya uongozi.

Seychelles nako wana unasaba na Wazungu.

Tukirudi Tanzania, wanaoongoza kwenye orodha ya matajiri ni Watanzania wenye ngozi nyeupe.

Ukigoogle, TOP 10 RICHEST PEOPLE IN TANZANIA utawakuta wafuatao: Mohammed Dewj,
, Rostam Aziz, Said Salim Bakhressa, Ally Awadh, Shakhar Kanabar, Fida Hussein Rashid, Shubash Patel, Yusuf Manji, Ghalib Said Mohammed, na Yogesh Manek. Ukiangalia sura za hao matajiri, utabaini kuwa rangi nyeupe ndiyo iliyotamalaki.

Je, kuna uhusiano wa rangi na mafanikio?

Nchi zilizoendelea zaidi Afrika ni zile zenye Wazungu au Waarabu!

Orodha ya Watanzania matajiri zaidi inaongozwa na Watanzania wenye rangi nyeupe.

Je! Mafanikio yao yamechochewa na rangi ya ngozi zao?

Suala la mafanikio ni la rangi ya ngozi au uwezo wa akili?

Mimi niaminivyo, ni akili. Labda, watu wenye rangi nyeupe wana akili kuzidi wenye ngozi nyeusi, au rangi zao zianawafanya wapendelewe na hivyo kufanikiwa kirahisi?
Kuna mwanasayansi alishawahi kufanya ugtafiti kuwa uwezo wa mtu unatokana na "Melanin", tafiti yake ikawa ni kushambuliwa kuwa ni mbaguzi wa rangi, lakini mimi naamini hiyo tafiti ina ukweli mkubwa ndani yake.

Kama haufahamu 'melanin" ni nini, tumia AI akusaidie.

hayo unayosema hata hapa Tanzania ukitazama, asilimia kubwa ya walioweza ni wenye melanin chache mwilini, wenye melanin kwa wingi ndiyo hivyo tena.
 
Back
Top Bottom