Tz mbongo
JF-Expert Member
- Mar 12, 2015
- 15,096
- 8,903
Kipi kinafanya useme kuwa sisi hiyo ndio tafsiri yetu ya maendeleo? Hebu fafanua hapa nikuelewe.Mwafrika anakuwa vipi na maendeleo kwa tafsiri ya maana ya watu wa Magharibi, maendeleo ni mfumo wa watu weupe waasisi ni wayahudi kisha wazungu then kwa mataifa mengine.
Sisi tuna tafsiri yetu ya maendeleo kiasili ambayo ni wake wengi watoto wengi mifugo mingi mashamba mengi.
Labda tu jifunze sasa,pili zile principal za maendeleo mwafrika hana mfano uaminifu,uchapakazi,bidii na maarifa,kuacha zinaa ni race gani inafanya sana ngono jibu unalo zinaa na utajiri au utafutaji haviendani.
Jambo lipi lenye kufanya hadi ionekane kuwa sisi ndio tunapenda sana ngono kuliko jamii zengine? ni kwa sababu tunazaa sana au kipi hasa hebu fafanua mkuu?