Maendeleo ya Kweli Yataletwa na Watanzania: Kampuni ya Mafuta ya Total Yazindua Kituo cha Kwanza cha Watanzania, Total Tegeta Service Station

Mkuu Retired, kwanza Total sio Muingereza, Total ni Mfaransa, Muingereza alikuwa Shell akageuza jina kuwa BP. Agip ni Mtaliano etc.

Vingi ya vituo vya Total, vinamilikiwa na Total wenyewe, sasa kwa vile ni kampuni ya nje, Tanzania tunafaidika na uwekezaji, miundombinu, ajira, na kodi, lakini faida ambayo ndicho kitu kikubwa kuliko vyote, inarudi kwa wenyewe. Hivyo ndivyo ilivyo kwa FDI zote.

Lakini badala ya Total kuendelea kuwekeza kwenye ujenzi wa vituo na kuvimiliki, kupitia mpango wa DODO, wanawawezesha Watanzania kumiliki kituo kwa asilimia 100%, wao wanatoa franchise ya Total, hivyo sasa net profit yote inabaki nyumbani Tanzania. McDonald's, KFC, Merry Brown etc, wote wangefanya hivyo, Tanzania tungekuwa mbali.

P.
Umeona Pascal, wengi walikuwa hawajui kuwa unachokiongea ni kitu kipya. Soma komenti. siyo mimi peke yangu. asante
 
Mkuu Pascal ninakaa jirani na hicho kituo,kuna pick up truck 2 ziko hapo muda sasa,je zinauzwa pia?
Hongera sana kwao,huduma zao ni nzuri kama TOTAL filling station nyingine
 
Mkurugenzi wa sheria wa total, kileo msuya. Mnufaika na fursa, lymo. Safi sana

Sent using Jamii Forums mobile app

Mkuu huu sasa ni ukabila na hii kitu haitakiwi Tanzania. Ninatambua udhaifu wa uongozi tulio nao kwa sasa kwenye hili kwani kutwa kucha wako busy kutugawa kwa misingi ya kabila, siasa, dini n.k lakini sisi kama wananchi yatupasa tuseme HAPANA KUBWA kwani ni hatari kubwa.
 
Mkuu Retired, kwanza Total sio Muingereza, Total ni Mfaransa, Muingereza alikuwa Shell akageuza jina kuwa BP. Agip ni Mtaliano etc.

Vingi ya vituo vya Total, vinamilikiwa na Total wenyewe, sasa kwa vile ni kampuni ya nje, Tanzania tunafaidika na uwekezaji, miundombinu, ajira, na kodi, lakini faida ambayo ndicho kitu kikubwa kuliko vyote, inarudi kwa wenyewe. Hivyo ndivyo ilivyo kwa FDI zote.

Lakini badala ya Total kuendelea kuwekeza kwenye ujenzi wa vituo na kuvimiliki, kupitia mpango wa DODO, wanawawezesha Watanzania kumiliki kituo kwa asilimia 100%, wao wanatoa franchise ya Total, hivyo sasa net profit yote inabaki nyumbani Tanzania. McDonald's, KFC, Merry Brown etc, wote wangefanya hivyo, Tanzania tungekuwa mbali.

P.
Kwani hawa Kuku foods wanaoendesha KFC wanatumia mfumo tafauti na huo wa DODO?.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Pamoja na promotional gimmicks zote hizo hivi unajua kuendesha kituo ni shilingi ngapi kwa lita na faida (kwa lita) anayoachiwa mwendesha kituo na EWURA ili uweze kuona kwa DODO arrangement unaweza ku-survive? The best arrangement ni COCO tu. Unaweza kununua mafuta kwenye kampuni yoyote ile kwa kuangalia bei ya chini kwa siku hiyo na wakati huo siyo ile walioweka EWURA kama wanavyofanya kampuni kama Total na zingine kwenye DODO arrangement.
 
Vituo vya mafuta vinauza mafuta tu na hili lilishapitwa na wakati.
Kituo utafikiri Bank yaani hela tu (kama nimeeleweka)

Vituo vya mafuta nchi zingine zina ukubwa wa kiwanja cha nyumba ya kawaida lakini kuna biashara zaidi ya 4
Ukiangalia viwanja vya mafuta Tz ni viwanja vikubwa lakini wanauza mafuta tu.

Kusudi langu kubwa hapa ni kutaka kuona watu wanafungua macho na kuona opportunities zilizopo hapo na sio mafuta tu bali kuuza kahawa, magazeti, na bidhaa nyingi ambayo msafiri au mteja anaepita hapo ananunua na vitu vingine na sio mafuta tu.
Hapo itawafanya na wengine wapate fursa ya kibiashara na ajira kuongezeka


Sent from my SM using Tapatalk
 
a mere filling station watu wanakuwa jubilant namna hiyo! Hivi how much dollars do you need to invest in such a venture
Mkuu Retired, kwa vile this is the first time in Tanzania, this is something good. Nchi zote zilizofanikiwa kuinuka kiuchumi, they all stated small, tukianza na Mtanzania mmoja kumiliki kituo cha mafuta cha Total, ni mwanzo mzuri wa Watanzania kumili uchumi wa nchi. Nenda pale Mlimani City or shopping mall yoyote nchini, ufanye utafiti ni ngapi zinamilikiwa na Watanzania. Kwenye consumer goods ndiko pesa ya Watanzania inakoishia, hivyo kama wamiliki sio sisi, then, Watanzania tunawafaidisha wenzetu kwa faida yote kuishia kwao. Wanachofanya Total ni kuwawaweza Watanzania kumiliki uchumi wa Total.

P.
 
Mbona kuna vituo vingi sana vya watanzania wanavyomiliki ..bado sijaelewa Pasco kaleta mada hii kwa sababu gani
utasemaje kuwa total ndio kituo cha kwanza kumilikiwa na mtanzania wakati kuna vituo kibao vinamilikiwa na watanzania mfano wa wanaomiliki vituo vya mafuta ni Peter zakaria, JJaphet Lema (Njake), Panone. Sango petrol station
Kituo cha kwanza CHA TOTAL kumilikiwa na mtanzania kwa 100%
 
Mbona ukienda kituo cha mafuta cha Total karibu na Uwanja wa Taifa ukiwepa EFD inaandika kampuni ya kitanzania sasa sielewi hii inakuaje habari kubwa...mara kusifia awamu ya tano yani nashindwa kupata connection kabisa
 
Kumbe ilikuwa monopoly policy ya total , nimeelewa sasa! Walikuwa wana hire stations zao kwa watu! OK
Mbona hii sio habari maana Total Shekilango, Total Uwanja wa Taifa, Total Karume/Ilala Boma pale EFD receipt zinaonesha ni Local Companies ndo zinamiliki na kusajiliwa sijaona mantiki ya kufanya tukio liwe kubwa pia Puma Uwanja wa ndege, Puma Ilala Boma ukipewa risiti zinaonesha ni local companies pia ndo wamiliki binafsi nashindwa kuelewa
 
Hakiwezi kuwa kituo cha total halafu useme kinamilikiwa na mtanzania asilimia 100. Kumbuka total ni kampuni iliyoko huko majuu. Labda mtuambie kuwa huyo mmiliki ameomba kutumia hilo jina la total kuita kituo chake
Hii ndo tafsiri kamili
 
utasemaje kuwa total ndio kituo cha kwanza kumilikiwa na mtanzania wakati kuna vituo kibao vinamilikiwa na watanzania mfano wa wanaomiliki vituo vya mafuta ni Peter zakaria, JJaphet Lema (Njake), Panone. Sango petrol station
Mkuu Issenye, kuna vituo vya mafuta kibao, vinamilikiwa na Watanzania, lakini kwa upande wa vituo vya Total, hiki ndio kituo cha kwanza kumilikiwa na Mtanzania.

Vituo vya mafuta vina hadhi mbalimbali, Total ndio vituo top vya mafuta, na ndio kampuni inayoongoza kwa wingi wa vituo na ubora wa mafuta yenye kitu kinachoitwa excellium, yakifuatiwa na mafuta ya PB ambayo ni unleaded.
P.
 
Mkuu Issenye, kuna vituo vya mafuta kibao, vinamilikiwa na Watanzania, lakini kwa upande wa vituo vya Total, hiki ndio kituo cha kwanza kumilikiwa na Mtanzania.

Vituo vya mafuta vina hadhi mbalimbali, Total ndio vituo top vya mafuta, na ndio kampuni inayoongoza kwa wingi wa vituo na ubora wa mafuta yenye kitu kinachoitwa excellium, yakifuatiwa na mafuta ya PB ambayo ni unleaded.
P.
Anaelewa basi Tu analeta ubishi wa darasa la pili.
 
Mbona hii sio habari maana Total Shekilango, Total Uwanja wa Taifa, Total Karume/Ilala Boma pale EFD receipt zinaonesha ni Local Companies ndo zinamiliki na kusajiliwa sijaona mantiki ya kufanya tukio liwe kubwa pia Puma Uwanja wa ndege, Puma Ilala Boma ukipewa risiti zinaonesha ni local companies pia ndo wamiliki binafsi nashindwa kuelewa
Hivyo vingine possibly sio 100% owned na mbongo.
 
Mbona kuna vituo vingi sana vya watanzania wanavyomiliki ..bado sijaelewa Pasco kaleta mada hii kwa sababu gani
Mkuu Adharusi, yes kuna vituo vingi vya mafuta, kwenye vituo vya mafuta, kuna vituo na vituo vya Total, hapa nazungumzia vituo vya Total, kampuni ya kwanza kwa ukubwa Tanzania. Ni kama kwenye magari, kuna magari na magari na yanamilikiwa na Watanzania, ila pia kuna Watanzania wa kwanza kumiliki Benzi, Ferrari, Hummer, etc, akitokea ni worth mentioned.
P.
 
Back
Top Bottom