MKWEPA KODI
JF-Expert Member
- Nov 28, 2015
- 28,707
- 71,003
Ni msomi mzuri tu ila ana mawazo sana baada ya cag kuitwa bungeniHuyu homeboy akili amezishika rais homeboy!
Ni msomi mzuri tu ila ana mawazo sana baada ya cag kuitwa bungeniHuyu homeboy akili amezishika rais homeboy!
Kituo cha kwanza cha Total kumilikiwa na mtanzania. That's the pointutasemaje kuwa total ndio kituo cha kwanza kumilikiwa na mtanzania wakati kuna vituo kibao vinamilikiwa na watanzania mfano wa wanaomiliki vituo vya mafuta ni Peter zakaria, JJaphet Lema (Njake), Panone. Sango petrol station
kama ni cha mtanzania sasa iweje mseme tena ni cha total? labda mseme kinamilikiwa kati ya total na mtanzaniaKituo cha kwanza cha Total kumilikiwa na mtanzania. That's the point
Kaja kuwafanyia matangazo hao watanzaniaMbona kuna vituo vingi sana vya watanzania wanavyomiliki ..bado sijaelewa Pasco kaleta mada hii kwa sababu gani
Zamani alikuwa super, sasa, Mh!Ni msomi mzuri tu ila ana mawazo sana baada ya cag kuitwa bungeni
Inaitwa franchising,mko bize na Mbowe mnasahau vitu muhimu kwmy maisha yenuMimi sijaelewa kabisa, unamaanisha wanakukopesha mtaji au unalipa hela wanakujengea au hebu eleza vizuri wewe msukuma wa kijijini
punguza jazba.Ma-low IQ watakwambia itamsaidia nini bibi yake kijijini? Wanashindwa kufanya hiyo connection.
Ukisoma hiyo habari utaelewa vizuri tu. Mimi nachangia tu wala sihusikikama ni cha mtanzania sasa iweje mseme tena ni cha total? labda mseme kinamilikiwa kati ya total na mtanzania
Ni hivi, vituo vyote vilivyoandikwa total ni mali ya kampuni ya total. Wanavimiliki wao, wewe wanakukodisha kituo chao unauza mafuta. Sasa kituo hiki ni mali ya huyo mchaga, hakodishwi, anakimili yeye. kesho anaweza kuamu kufunga na kujenga guest hapo. Vituo vya total huwezi kuvigeuza matumizi and if you mess up wanakunyanganya!kama ni cha mtanzania sasa iweje mseme tena ni cha total? labda mseme kinamilikiwa kati ya total na mtanzania
mkuu mimi nahitaji kujua lile swala la bomba la mafuta limefikia wapi ni kweli wakenya wametuzunguka au porojo ili tujue tunajipangaje kwa fursa sisi tulio karibu na linakotegemewa kupita.Pia habari hii imeripotiwa na media mbalimbali kama ifuatavyo
paymaster general mtoto wa dada,Mkurugenzi wa sheria wa total, kileo msuya. Mnufaika na fursa, lymo. Safi sana
Sent using Jamii Forums mobile app
Mkuu Retired, kwanza Total sio Muingereza, Total ni Mfaransa, Muingereza alikuwa Shell akageuza jina kuwa BP. Agip ni Mtaliano etc.Pascal sjakuelewa! Kituo cha mafuta tu kama tunavyoviona vya total nchi nzima. Total ni kampuni ya wafaransa, sasa mtanzania kuwa na kituo cha total cha kuuza mafuta ndiyo iwe habari kubwa. Labda sijaelewa. Kuna vitu pale Kongowe kinaitwa Muro, ni mwafrika, so what is strange with total. Nieleweshe please wala sina nia ya kukejeli, NO!
ufafanuzi mzuri. hapa pascal mayala amelileta kama kitu kipya, novel invention! Pascal Mayalla . all ina ll it is good news!Ni kweli Pascal Mayala DODO ni Dealer Owned Dealer Operated.
Ila siyo utaratibu mpya wa kumiliki vituo vya mafuta ni utaratibu wa uendeshaji wa vituo vya mafuta amboa upo siku zote. Taratibu nyingine ni pamoja na CODO = Company Owned Dealer Operated, COCO=Company Owned Company Operated; DOCO=Dealer Owned Company Operated n.k.
Main disadvantage ya DODO ni kuwa lazima mafuta ununue, in this case, kutoka Total na si vinginevyo hata kama kuna kampuni inauza kwa bei ya chini kuliko Total. Lakini hili wakati mwingine huwa inakuwa relaxed kwenye mkataba. Siyo jambo jipya kabisa.
asante kwa ufafanuzi. sasa nimeelewa. Nadhani wao wananufaika kwa kuuza mafuta yao kwako. Ni utaratibu mpya. Kuna mtu ameeleza humu. asante tena.Mkuu Retired, kwanza Total sio Muingereza, Total ni Mfaransa, Muingereza alikuwa Shell akageuza jina kuwa BP. Agip ni Mtaliano etc.
Vingi ya vituo vya Total, vinamilikiwa na Total wenyewe, sasa kwa vile ni kampuni ya nje, Tanzania tunafaidika na uwekezaji, miundombinu, ajira, na kodi, lakini faida ambayo ndicho kitu kikubwa kuliko vyote, inarudi kwa wenyewe. Hivyo ndivyo ilivyo kwa FDI zote.
Lakini badala ya Total kuendelea kuwekeza kwenye ujenzi wa vituo na kuvimiliki, kupitia mpango wa DODO, wanawawezesha Watanzania kumiliki kituo kwa asilimia 100%, wao wanatoa franchise ya Total, hivyo sasa net profit yote inabaki nyumbani Tanzania. McDonald's, KFC, Merry Brown etc, wote wangefanya hivyo, Tanzania tungekuwa mbali.
P.