Otorong'ong'o
JF-Expert Member
- Aug 17, 2011
- 37,450
- 25,591
Hahahaha
Hahahaha
Kwani wao wapinzani wanakusanya kodi kutoka kwa wananchi?Ndugu yangu mimi nilitaka kufahamu tu hivi vyama vya upinzani haviwezi kujitolea kwa kujenga Shule,Zahanati nk ili uwe mfano wa kuigwa?
Inawezekana unayonambia lakini sisi huku mikoani Wananchi tunajenga hivyo vitu kwa kuchangishana lakini hivi vyama avitupi sapoti walau huwa wanatusapoti kwenye misibaChadema tunaweza. Ila sasa wale mashetani watakubali?? Uliza Maeya Jacob alitaka kuleta Mtambo wa kurecycle takataka za manispaa ya kinondoni kama alikubaliwa pamoja na kuwa ma faida nyingi kwa Wananchi.
Huwezi kumpa mtu kitu ambacho huna. Wapinzani wafanye hivyo kwa resources gani? Watapata wapi hizo resources wakati wao pia mji wao umejaa njaa?Ndugu yangu mimi nilitaka kufahamu tu hivi vyama vya upinzani haviwezi kujitolea kwa kujenga Shule,Zahanati nk ili uwe mfano wa kuigwa?
Miradi yote hiyo uliyoorodhesha inapaswa kujengwa na kodi ya wananchi na siyo fedha za chama cha siasa!Ndugu yangu mimi nilitaka kufahamu tu hivi vyama vya upinzani haviwezi kujitolea kwa kujenga Shule,Zahanati nk ili uwe mfano wa kuigwa?
Kwanini wajitolee ikiwa kuna watu wanakusanya kodi+fine+Tozo+misaada+mikopo ?Ndugu yangu mimi nilitaka kufahamu tu hivi vyama vya upinzani haviwezi kujitolea kwa kujenga Shule,Zahanati nk ili uwe mfano wa kuigwa?
Mimi siizungumzii CCM mimi navizungumzia vyama vya Upinzani maana ndio nataka viwe mfano wa kuigwaVinakusanya kodi? CCM kama chama iliwahi kujenga shule yoyote? Kilangila.
Hii Ni kazi ya serikali. NuktaNdugu yangu mimi nilitaka kufahamu tu hivi vyama vya upinzani haviwezi kujitolea kwa kujenga Shule,Zahanati nk ili uwe mfano wa kuigwa?
You may do it as single person but you cannot do it as opposition party. In Tanzania everything done by opposition is illegal and its defined as national threat.Mhh, I doubt this statement. I have seen ppl doing stuff without asking for permission, especially kind of renovating schools etc.
Mnajenga kwa kusimamiwa na serikali ya kijiji ili baadaye muikabidhi serikali. Serikali ya CCM haiwezi kupokea mradi uliojengwa kwa kusimamiwa na chama cha siasa tofauti na CCM!Inawezekana unayonambia lakini sisi huku mikoani Wananchi tunajenga hivyo vitu kwa kuchangishana lakini hivi vyama avitupi sapoti walau huwa wanatusapoti kwenye misiba
Information is power, people are informed of the dilapidated schoolUlipoipiga hiyo picha umefaidika nini
Nguvu ya wananchi ipo kwenye kulipa kodi na tozoNguvu ya wananchi iko wapi. Siyo kila kitu ni serikali
Vyama vyote vya upinzani havisimamii mamlaka zinazokusanya kodi. Kilangila.Mimi siizungumzii CCM mimi navizungumzia vyama vya Upinzani maana ndio nataka viwe mfano wa kuigwa
Jogging tu ni shidaLini vyama waliwahi kujenga Shule, Zahanati nk wakawapa/wakajitolea kwa Wananchi Serikali ikawakatalia
Tukiambiwa tumeanza kampeni mapema ndani na nje ya chama tunawaona Ni wapiga kelele.
Siyo kwamba hawa wanauliza hawajui , wanataka kutusumbua tuYou may do it as single person but you cannot do it as opposition party. In Tanzania everything done by opposition is illegal and its defined as national threat.
Sent from my SM-A207F using JamiiForums mobile app
CCM kama chama ilijenga lini shule?Vibali vipi maana tunajenga Mashule,zahanati nk kwa njia za kujitolea hivyo vya vya upinzani huwa avitoi sapoti yoyote kwetu wanaojitahidi kujitolea siku zote ni sisi Wananchi,wafanyabiashara,wabunge,madiwani nk
Lakini vyama vya upinzani huwa hawafanyi hivi na je lini walitaka kujenga shule,zahanati nk kwa kujitolea au walitoa na Serikali iliwakatalia
Umefanya vizuri kuuhabarisha umma. Naona maccm yanatawanyika na kubwabwaja