Chama kama chama uwezo tunao. Na tumeshaonesha mifamo mbali mbali lawama pelekeni kwa watawala.Inawezekana unayonambia lakini sisi huku mikoani Wananchi tunajenga hivyo vitu kwa kuchangishana lakini hivi vyama avitupi sapoti walau huwa wanatusapoti kwenye misiba