Hata ng'ombe humo hawakai.Hiyo ni shule au zizi?
Hata ng'ombe humo hawakai.Hiyo ni shule au zizi?
Kwenye kura na tozo mnataka wananchi? kwenye maendeleo mnataka nguvu ya wananchi pia?Nguvu ya wananchi iko wapi. Siyo kila kitu ni serikali
Enzi za mwendazake kuta picha kama hii ilikuwa kosa la uhujumu uchumi.Nimekuwa nikisema kwa muda mrefu sana kuwa hao makada hawajui vipaumbele vya Nchi hii
Huwezi kununua Ndege za kuja kupaki wakati Maji ni shida Shule za mapagala hakuna madawati.
Chadema tunaweza. Ila sasa wale mashetani watakubali?? Uliza Maeya Jacob alitaka kuleta Mtambo wa kurecycle takataka za manispaa ya kinondoni kama alikubaliwa pamoja na kuwa ma faida nyingi kwa Wananchi.Ndugu yangu mimi nilitaka kufahamu tu hivi vyama vya upinzani haviwezi kujitolea kwa kujenga Shule,Zahanati nk ili uwe mfano wa kuigwa?
Doumbouya akili nyingi sana yule. Alisema wazi wazi Alpha alikuwa anavumiliwa kwa kipindi cha miaka 20 ya utawala lakino habadilika na umaskini unazidi pamoja na kuvunja haki za raia wa Guinea. Sasa hivi nchi ina furaha na amani Waguinea anachapa kazi sanaNdio maana yule jamaa wa Guinea kachoka sasa anaipanga Nchi upya.
Hata sasa kwenye hii Awamu ya Ukinizingua nakuzingua kuna mchora katuni anashikiliwa kwa kumchora Bibie.Enzi za mwendazake kuta picha kama hii ilikuwa kosa la uhujumu uchumi.
Kwani zile bilioni kadhaa za tozo zilizosambazwa tayari na mkopo wa imf kwaajili ya ujenzi wa shule na barabara bado hazijaanza kufanya kazi?Ndio maana yule jamaa wa Guinea kachoka sasa anaipanga Nchi upya.
Ehh okkkDoumbouya akili nyingi sana yule. Alisema wazi wazi Alpha alikuwa anavumiliwa kwa kipindi cha miaka 20 ya utawala lakino habadilika na umaskini unazidi pamoja na kuvunja haki za raia wa Guinea. Sasa hivi nchi ina furaha na amani Waguinea anachapa kazi sana
Zinaingizwa kiduchu zingine wakoloni weusi wanapongezanaKwani zile bilioni kadhaa za tozo zilizosambazwa tayari na mkopo wa imf kwaajili ya ujenzi wa shule na barabara bado hazijaanza kufanya kazi?
Hakuna hata kamsingi ka darasa au darasa lililokarabatiwa mkatuonesha picha(kabla na baada ya)?
Naona picha za kuombea uraisi wa 2025 tayari.
Walisema 1.2t zilizokusanywa wakati wa JPM ni cooked data. Sasa kodi imekua ni hiari, wanasema wanakusanya 1.5t? Vyanzo vya zamani vianishwe, vilivyoongezeka vianishwe, tuujue ukweli.Zinaingizwa kiduchu zingine wakoloni weusi wanapongezana