Hiyo ni Rombo bwashee!
Mimi ninaamini hakuna linaloshindikana Nchi hii kuwa Donner CountryKwenye kura na tozo mnataka wananchi? kwenye maendeleo mnataka nguvu ya wananchi pia?
Dona kantri
Ndio maana ni muhimu kukomaa na TOZO za Mtandaoni ili tutokomeze tatizo la majengo ya shule.Katika nchi ambayo iko Uchumi wa Kati , nchi ambayo hununua mijidege kwa malipo Taslimu , hizi ndizo shule zake zilizotapakaa kote nchini .
View attachment 1961138
Sent from my SM-J500H using JamiiForums mobile app
Vinakusanya kodi? CCM kama chama iliwahi kujenga shule yoyote? Kilangila.Ndugu yangu mimi nilitaka kufahamu tu hivi vyama vya upinzani haviwezi kujitolea kwa kujenga Shule,Zahanati nk ili uwe mfano wa kuigwa?
Wananchi wanaolipa kodi lukuki, waliopandishiwa bei za mbolea na kuongezewa tozo kwenye miamala? Kilangila.Nguvu ya wananchi iko wapi. Siyo kila kitu ni serikali
Za Bi. Mkola alizopewa na Msog..? Kilangila.Zidumu fikra za mwenyekiti wa chama 💪🏾
umenikumbusha mbali !Expansion joint zimekuwa kubwa hadi kuhatarisha usalama wa wanaotumia majengo pamoja na wapita njia
Rubbish.Katika nchi ambayo iko Uchumi wa Kati , nchi ambayo hununua mijidege kwa malipo Taslimu , hizi ndizo shule zake zilizotapakaa kote nchini .
View attachment 1961138
Sent from my SM-J500H using JamiiForums mobile app
Halafu kodi zinazo kusanywa kila mwezi ziendelee kununulia V8 za kutosha serikalini siyo!!Ndugu yangu mimi nilitaka kufahamu tu hivi vyama vya upinzani haviwezi kujitolea kwa kujenga Shule,Zahanati nk ili uwe mfano wa kuigwa?
Katika nchi ambayo iko Uchumi wa Kati , nchi ambayo hununua mijidege kwa malipo Taslimu , hizi ndizo shule zake zilizotapakaa kote nchini .
View attachment 1961138
Sent from my SM-J500H using JamiiForums mobile app
Vibali vipi maana tunajenga Mashule,zahanati nk kwa njia za kujitolea hivyo vya vya upinzani huwa avitoi sapoti yoyote kwetu wanaojitahidi kujitolea siku zote ni sisi Wananchi,wafanyabiashara,wabunge,madiwani nkBila kuwa na vibali haviruhusiwi
Uzeni mandege boresheni elimu na miundombinu ya kufundishiaRubbish.
Tatizo mnaruka ruka tu na kucheza ngoma mnayopigiwa. Hana mikakati ya kuiondoa ccmNimekuwa nikisema kwa muda mrefu sana kuwa hao makada hawajui vipaumbele vya Nchi hii
Huwezi kununua Ndege za kuja kupaki wakati Maji ni shida Shule za mapagala hakuna madawati.
Lini vyama waliwahi kujenga Shule, Zahanati nk wakawapa/wakajitolea kwa Wananchi Serikali ikawakatalia
Vina ruzuku na vinapata fedha kutoka katika vyama rafikiVinakusanya kodi?