utaifakwanza
JF-Expert Member
- Feb 1, 2013
- 14,193
- 2,812
wee naye. Njaa mbaya sanaMnasifia vitu hewa!
wee naye. Njaa mbaya sanaMnasifia vitu hewa!
Mtaje kwa jina aliyevunja mkataba wa ujenzi wa barabara wazo to bagamoyo.wee naye. Njaa mbaya sana
Mh Alex Lugano Mwanyingi ambaye ni diwani wa kuchaguliwa huko Iringa mjini amebwaga manyanga na kutupilia mbali kadi ya Chadema kwa maelezo kuwa amechoshwa na umangimeza,umimi na ubabe usiozingatia misingi ya sheria taratibu na utu vinavyofanywa na viongozi wa chama hicho. Amesema heria umaskini kuliko utumwa. Jana pia mjumbe mmoja wa baraza kuu la chadema alitangaza kukihama chama hicho
Kwani hata chama hicho watu wake nao wanafika bei?Kwa nini usiseme ukweli kuwa huyo diwani wa Chadema amefika bei na hivyo mkamshikisha donge alilokuwa analihitaji ili abwage manyanga?
Wenzano wanajutia kudanganywaIjumaa njema wote.
Nimebahatika leo kuwaona Madiwani wa CDM waliojiuzulu wakiongea na waandishi wa habari.
Cha ajabu ni kuwa kila mmoja anaondoka kwa hiari yake lakini mkutano wanafanya pamoja-Makubwaaaa.
mamluki haoIjumaa njema wote.
Nimebahatika leo kuwaona Madiwani wa CDM waliojiuzulu wakiongea na waandishi wa habari.
Cha ajabu ni kuwa kila mmoja anaondoka kwa hiari yake lakini mkutano wanafanya pamoja-Makubwaaaa.
Wameongezeka wengine au ni walewale watatu?Ijumaa njema wote.
Nimebahatika leo kuwaona Madiwani wa CDM waliojiuzulu wakiongea na waandishi wa habari.
Cha ajabu ni kuwa kila mmoja anaondoka kwa hiari yake lakini mkutano wanafanya pamoja-Makubwaaaa.
Wale wale watatu.Wameongezeka wengine au ni walewale watatu?
Asante,nimekuelewa kaka!!
wale wa ARUSHA hawana hamuAfisa wa mikopo ya Elimu ya Juu CCM amechelewa kuwaingizia mafao yao.
Ila Taratibu wakati mwingine hutoa nusu kwanza na zingine husema atazimalizia halafun huanza kuzingua.Na hata hiyo nusu ikisha ingia wawe wajanja wakati mwingine hukomba zote,muhongwaji anaangalia kwenye salio ola!Ijumaa njema wote.
Nimebahatika leo kuwaona Madiwani wa CDM waliojiuzulu wakiongea na waandishi wa habari.
Cha ajabu ni kuwa kila mmoja anaondoka kwa hiari yake lakini mkutano wanafanya pamoja-Makubwaaaa.