Aidan maganyiro
Member
- Jun 14, 2017
- 74
- 44
karibuni uraiyani .....ila maisha magum note before , hakikisha mifuko imetuna huko utokako
Bora majembe kinadai na kupeleka TRA, wao wanadai cha juu na kutufilisi afu bila aibu wanakwenda mbele ya kamera kutangaza walivyotufanyia. Mungu anawaona!Hapa Kazi tu...viongozi wa Chadema kitaifa wamekigeuza Chama kuwa tawi la Majembe Auction mart kwa kufuatilia madeni huku Chama kikipoteza mvuto.
hakuna rangi mtaacha kuona mwaka huuKwa nini usiseme ukweli kuwa huyo diwani wa Chadema amefika bei na hivyo mkamshikisha donge alilokuwa analihitaji ili abwage manyanga?
na naniuamuzi wake uheshimiwe.
Na wanachadema of course. Wasianze kumrushia vijembe na kumchafua. Ana uhuru wa kuchagua anachopenda na kukataa asichopendana nani
Mkataba nani alivunjasiasa za wanamonduli zimelevya harakati za Ufipa...kabaki antipasi kupayuka..hata wenezi hawajulikani..
Magu Kanyaga twende Baba...
Sent using Jamii Forums mobile app
Mnasifia vitu hewa!Mh Alex Lugano Mwanyingi ambaye ni diwani wa kuchaguliwa huko Iringa mjini amebwaga manyanga na kutupilia mbali kadi ya Chadema kwa maelezo kuwa amechoshwa na umangimeza,umimi na ubabe usiozingatia misingi ya sheria taratibu na utu vinavyofanywa na viongozi wa chama hicho. Amesema heria umaskini kuliko utumwa. Jana pia mjumbe mmoja wa baraza kuu la chadema alitangaza kukihama chama hicho
Haya tumia akili timamu kutueleza ni nani alivunja mkatabaUkiwa na akilitimamu huwezi kuwamwanachadema kwa sasaa
"Wanzuki" alisema mara kadhaaMnaleta ufalme kwny kazi za wananchi. Mtu mmoja anageuza chama kuwa mali ya familia