CHADEMA waache kujiita chama cha "Demokrasia na Maendeleo." Demokrasia na maendeleo huwa havikai pamoja

Wakili wa shetani

JF-Expert Member
Nov 22, 2022
1,689
3,265
Duniani kote hakuna nchi imewahi kuendelea kwa kufuata demokrasia. Wazungu walitutupia demokrasia na kutulazimisha kuifuata si kwamba wanatupenda sana, ni kuwa walitaka tupate mkwamo tusiendeleee.

India imeachwa pakubwa sana na China kwa maendeleo licha ya India kuitwa 'World's largest democracy."

Demokrasia ni anasa ya watu walioendelea na si wanaotafuta maendeleo. Na hata hao walioendelea utaona kuwa demokrasia inarudisha nyuma maendeleo yao polepole.

Kujiita chama cha "demokrasia na maendeleo," hakuingii akilini kwa sababu mambo hayo hayakai pamoja. CDM wabadili jina.
 
Duniani kote hakuna nchi imewahi kuendelea kwa kufuata demokrasia. Wazungu walitutupia demokrasia na kutulazimisha kuifuata si kwamba wanatupenda sana, ni kuwa walitaka tupate mkwamo tusiendeleee. India imeachwa pakubwa sana na China kwa maendeleo licha ya India kuitwa 'World's largest democracy." Demokrasia ni anasa ya watu walioendelea na si wanaotafuta maendeleo. Na hata hao walioendelea utaona kuwa demokrasia inarudisha nyuma maendeleo yao polepole.

Kujiita chama cha "demokrasia na maendeleo," hakuingii akilini kwa sababu mambo hayo hayakai pamoja. CDM wabadili jina.
Katiba ya America (the us) ina miaka zaidi ya 230.
 
Duniani kote hakuna nchi imewahi kuendelea kwa kufuata demokrasia. Wazungu walitutupia demokrasia na kutulazimisha kuifuata si kwamba wanatupenda sana, ni kuwa walitaka tupate mkwamo tusiendeleee. India imeachwa pakubwa sana na China kwa maendeleo licha ya India kuitwa 'World's largest democracy." Demokrasia ni anasa ya watu walioendelea na si wanaotafuta maendeleo. Na hata hao walioendelea utaona kuwa demokrasia inarudisha nyuma maendeleo yao polepole.

Kujiita chama cha "demokrasia na maendeleo," hakuingii akilini kwa sababu mambo hayo hayakai pamoja. CDM wabadili jina.
Umekuwa na nyuzi nyingi zinazofuatana kila baada ya dakika tano kwa wastani.Hilo linaonesha umejawa na mambo mengi mchanganyiko kichwani.Too much is harmful!Unakaribia kuvuka mpaka na utajikuta umeingia kambi ya fula pigmies!Utamezwa ungali hai.
 
Mfano mmoja, Japan imepata maendeleo makubwa miaka kadhaa baada ya vita ya pili ya Dunia (1945). Japan ni nchi ya kidemokrasia Kwa zaidi ya miaka 70.
Safi sana lakink unajua nini hasa kilichopelekea maendeleo ya Japan maana hata kabla ya hiyo Democracy japan ilikuwa ni taifa kubwa

Ilitawala korea, china si unakumbuka?
 
Duniani kote hakuna nchi imewahi kuendelea kwa kufuata demokrasia. Wazungu walitutupia demokrasia na kutulazimisha kuifuata si kwamba wanatupenda sana, ni kuwa walitaka tupate mkwamo tusiendeleee. India imeachwa pakubwa sana na China kwa maendeleo licha ya India kuitwa 'World's largest democracy." Demokrasia ni anasa ya watu walioendelea na si wanaotafuta maendeleo. Na hata hao walioendelea utaona kuwa demokrasia inarudisha nyuma maendeleo yao polepole.

Kujiita chama cha "demokrasia na maendeleo," hakuingii akilini kwa sababu mambo hayo hayakai pamoja. CDM wabadili jina.
Demokrasia walioyoina ni mwenyekiiti kuwa mfalme
 
Katiba ya America (the us) ina miaka zaidi ya 230.
Toka wameunda hiyo katiba. Wameua na kupora wahindi ardhi yao yote. Karibu miaka 100 sehemu ya raia wake walikuwa watumwa. Na hadi miaka ya 60 mtu mweusi wa Marekani hakuwa na haki sawa na Mzungu. Katika hiyo miaka 230, karibu miaka 170 Marekani ilikuwa kama South Africa ya makaburu.
 
Umekuwa na nyuzi nyingi zinazofuatana kila baada ya dakika tano kwa wastani.Hilo linaonesha umejawa na mambo mengi mchanganyiko kichwani.Too much is harmful!Unakaribia kuvuka mpaka na utajikuta umeingia kambi ya fula pigmies!Utamezwa ungali hai.
Karibu mkuu.
 
Mfano mmoja, Japan imepata maendeleo makubwa miaka kadhaa baada ya vita ya pili ya Dunia (1945). Japan ni nchi ya kidemokrasia Kwa zaidi ya miaka 70.
Japana ilikuwa mbali sana kabla hata ya WWII. Na ndiyo maana iliweza kupigana vita ile na mataifa makubwa. Hapo ilikuwa chini ya maliki na si ya kidemokrasia.
 
Duniani kote hakuna nchi imewahi kuendelea kwa kufuata demokrasia. Wazungu walitutupia demokrasia na kutulazimisha kuifuata si kwamba wanatupenda sana, ni kuwa walitaka tupate mkwamo tusiendeleee. India imeachwa pakubwa sana na China kwa maendeleo licha ya India kuitwa 'World's largest democracy." Demokrasia ni anasa ya watu walioendelea na si wanaotafuta maendeleo. Na hata hao walioendelea utaona kuwa demokrasia inarudisha nyuma maendeleo yao polepole.

Kujiita chama cha "demokrasia na maendeleo," hakuingii akilini kwa sababu mambo hayo hayakai pamoja. CDM wabadili jina.
Acha kupotosha tafiti nyingi tu zimeshafanyika zinaonyesha Nchi zenye democracy index kubwa pia Zina Human Development Index kubwa same to GDP growth rate. Yaani kiufupi ukichukua nchi zote ambazo demokrasia ipo chini chances are zitakua chini kiuchumi.

Ni ajabu sana mnajifichia kwa china na Saudia ila mnasahau nchi ambazo hazina demokrasia zilivyofeli kiuchumi kama Cuba na Burundi
 
Acha kupotosha tafiti nyingi tu zimeshafanyika zinaonyesha Nchi zenye democracy index kubwa pia Zina Human Development Index kubwa same to GDP growth rate. Yaani kiufupi ukichukua nchi zote ambazo demokrasia ipo chini chances are zitakua chini kiuchumi.

Ni ajabu sana mnajifichia kwa china na Saudia ila mnasahau nchi ambazo hazina demokrasia zilivyofeli kiuchumi kama Cuba na Burundi
Correlation siyo causation. Ni kiini macho tu.
 
Correlation siyo causation. Ni kiini macho tu.
Hapana wanatumia regression (Inapima causal-effect relationship) ya panel data na time series kabisa kwa miaka kuanzia 90s ambapo democracy ilisambaa zaidi baada ya anguko la Soviet. So indeed Kuna evidence kwamba demokrasia inavyopanda yaani uhuru wa habari, bunge huru, utawala wa kisheria, uwazi wa serikali, uchaguzi huru na haki n.k inapandisha uchumi maana viongozi wazembe huondolewa madarakani kwa kura, bunge lnaweza zuia miswada mibovu, uwajibikaji kuongezeka n.k.
 
Umekuwa na nyuzi nyingi zinazofuatana kila baada ya dakika tano kwa wastani.Hilo linaonesha umejawa na mambo mengi mchanganyiko kichwani.Too much is harmful!Unakaribia kuvuka mpaka na utajikuta umeingia kambi ya fula pigmies!Utamezwa ungali hai.
Lissu alikuwa anaongea na press kila siku,mpaka alipochuja na kukinbia upya!

Wacheni mpewe za uso huku huku!
 
Duniani kote hakuna nchi imewahi kuendelea kwa kufuata demokrasia. Wazungu walitutupia demokrasia na kutulazimisha kuifuata si kwamba wanatupenda sana, ni kuwa walitaka tupate mkwamo tusiendeleee. India imeachwa pakubwa sana na China kwa maendeleo licha ya India kuitwa 'World's largest democracy." Demokrasia ni anasa ya watu walioendelea na si wanaotafuta maendeleo. Na hata hao walioendelea utaona kuwa demokrasia inarudisha nyuma maendeleo yao polepole.

Kujiita chama cha "demokrasia na maendeleo," hakuingii akilini kwa sababu mambo hayo hayakai pamoja. CDM wabadili jina.
Toka pepo mchafu! TOKAAA!
 
Duniani kote hakuna nchi imewahi kuendelea kwa kufuata demokrasia. Wazungu walitutupia demokrasia na kutulazimisha kuifuata si kwamba wanatupenda sana, ni kuwa walitaka tupate mkwamo tusiendeleee. India imeachwa pakubwa sana na China kwa maendeleo licha ya India kuitwa 'World's largest democracy." Demokrasia ni anasa ya watu walioendelea na si wanaotafuta maendeleo. Na hata hao walioendelea utaona kuwa demokrasia inarudisha nyuma maendeleo yao polepole.

Kujiita chama cha "demokrasia na maendeleo," hakuingii akilini kwa sababu mambo hayo hayakai pamoja. CDM wabadili jina.
Kwani nini maana ya demokrasia mkuu ?
 
Safi sana lakink unajua nini hasa kilichopelekea maendeleo ya Japan maana hata kabla ya hiyo Democracy japan ilikuwa ni taifa kubwa

Ilitawala korea, china si unakumbuka?
👍
Maendeleo yanaletwa na factors nyingi. Hapa tunajadili component ya demokrasia.
Japana ilikuwa mbali sana kabla hata ya WWII. Na ndiyo maana iliweza kupigana vita ile na mataifa makubwa. Hapo ilikuwa chini ya maliki na si ya kidemokrasia.
Ujue kuwa maendeleo hayana kikomo. Sijasema Japan ilikuwa nyuma km Tz. Bali daada ya WW2 imepata maendeleo makubwa, na pia ikiwa na demokrasia ya hali ya juu.
 
👍
Maendeleo yanaletwa na factors nyingi. Hapa tunajadili component ya demokrasia.
Safi sana
Ujue kuwa maendeleo hayana kikomo. Sijasema Japan ilikuwa nyuma km Tz. Bali daada ya WW2 imepata maendeleo makubwa, na pia ikiwa na demokrasia ya hali ya juu.
Nilichokuwa najaribu kusema ni kuwa
Hata kabla ya vita Japan haikuwa ya kidemokrasia na ilikwishaendelea haikuhitqji demokrasia kuendelea

Sijui unanipata?

Hiyo demokrasia waliyopqndikizwa ni checks tu ya Capitalists dhidi ya ukomunisti na sio sababu kuu ya wao kuendelea

Japan had its empire!! Long before the US bombed Hiroshima
 
Back
Top Bottom