Mijitu mingine sijui inatumia kiungo gani kufikiri na kuchanganua mambo! Unamsifu mkuu wa wilaya kuwaondolea utangamano wenu badala ya kumuonya aache kuuvuruga umoja wenu ahangaikie viwanda mpate pesa za kunywea bia badala ya ulanzi wenu na komoni. Mtaishia kuwashangilia hao wateule na vijisenti vyao wanavyowahonga ili mvurugike. Tafakarini na mkatalieni hiyo mipango yake na badala yake awajengee kiwanda na sio kuwaachia waarabu wa ASAS na takor kuwatumikisha kwa ujira mdogo. Lieni badala ya kuuchekelea umaskini unaowaadabisha hapo.Mgogoro upo mkubwa sana kat ya msigwa na madiwan....mpango ulikuwepo wa kumwondoa msigwa kwenye kura za maoni 2015 ila dili likabuma...!! Kwa vyovyote vile msigwa anakabiliana na wakat mgumu kuliko maelezo at the same tym...mkuu wa wilaya ya iringa anakuja juu sana na kundi kubwa linamkubali hata baadh ya makada wa chadema hapo irunga wanamkubali...jamaa naye ana mpango wa kugombea 2020...safar hii msigwa itabd aongeze waganga