Daudi Mchambuzi
JF-Expert Member
- Nov 25, 2010
- 62,204
- 128,021
Chadema acheni kufukuzana.
.
"WASIOSOMA NI CHAKULA CHA WASOMI".
Kama kuna sababu za msingi zenye ushahidi wanastahili kufukuzwa, hatuna mda wa kupeana siku 90 za kujitathimini.
Chadema acheni kufukuzana.
.
"WASIOSOMA NI CHAKULA CHA WASOMI".
Kama kuna sababu za msingi zenye ushahidi wanastahili kufukuzwa, hatuna mda wa kupeana siku 90 za kujitathimini.
Ng'oa magugu shamba liwe safi. tusilee ujinga kama magamba. ni gharama sana. Samaki mkunje angali mbichi!Kama ni kwa sababu ya usaliti wanastahili, naupongeza uamzi wa CDM! Uadilifu na Uwajibikaji vilindwe kwenye chama!!
acha lichama lifie mbali huko,nyuma ya pazia kuna kingine.
Bora CHADEMA ianze kuwawajibisha wapuuzi kama hawa.
SHORT LIVE SHIBUDA.
shangaa huyu gamba vipi?
Cdm hakimfai tunamkaribisha ccm.Sidhan kama ni solution cdm kuendelea kufukuza wanachama,inaonesha ni watu wanaokurupuka,kwan hawana kamati ya maadili ya chama ambapo mwanachama anapokosea anawekwa kitimoto.Hawa jamaa tukiwapa nchi tutaingia machafukon coz chama hakijaiva kukamata dola, kama tu mtu mmoja ndan ya chama tena diwan anaweza kuyumbisha kiasi hicho,hiki ni chama cha watu wa kasikazin tuwaachie wenyewe.
chadema wataalam wa kuvuana uanachama
Cdm hakimfai tunamkaribisha ccm.Sidhan kama ni solution cdm kuendelea kufukuza wanachama,inaonesha ni watu wanaokurupuka,kwan hawana kamati ya maadili ya chama ambapo mwanachama anapokosea anawekwa kitimoto.Hawa jamaa tukiwapa nchi tutaingia machafukon coz chama hakijaiva kukamata dola, kama tu mtu mmoja ndan ya chama tena diwan anaweza kuyumbisha kiasi hicho,hiki ni chama cha watu wa kasikazin tuwaachie wenyewe.
movement for chagga kwisha habari yake watawafukuza wote, nimegundua kila anayetaka uongozi anataka kujinufaisha yeye binafsi siyo wananchi.