Bomba hili eneo la Mtaa wa Mtakuja na Igoma ni hatarishi kwa watu

Roving Journalist

JF Roving Journalist
Apr 18, 2017
2,815
11,992
Hili ni bomba kubwa la maji safi linalotokea Igoma mpaka Mkolani, limeharibu sana Barabara, Wachina ambao ndio wahusika wa ujenzi wa Barabara hawana hata mpango wa kujenga njia ambazo sasa zimetengeneza mipasuko hadi kwenye nyumba za watu.

Hii video ni eneo la Mtakuja lipo Igoma kuelekea Kakebe, ni moja ya maeneo hatari kwa usalama wa watu kwa jinsi lilivyoharibu ardhi.

Eneo hilo lipo karibu na Mto unaotenganisha Kakebe na Mtakuja.

Diwani wa eneo hilo pamoja na maafisa mazingira wa Jiji la Mwanza wanajua na hawataki kufanyia kazi.

Mwenyekiti wa eneo hilo la Mtakuja akiulizwa anasema hana muda wa kushughulikia kero za barabara zote za eneo hilo hatarishi kwa mmonyoko wa udongo na hatarishi kwa wakazi wa Mtakuja.

Aidha, eneo hilo hakuna miundombinu ya mfereji wa kupitisha maji, hali hiyo ilisababisha hata Wanafunzi wa maeneo hayo kufika Shule ya Msingi Mtakuja au Igoma C kupata wakati mgumu na kifo kimoja cha Mwanafunzi wa Darasa la Nne kuripotiwa kutokea mwezi wa nne 2022.

Hakuna juhudi za ujenzi wa daraja wala njia mbadala ya kuvuka hata muda wa mvua za masika.

Hivyo, tunaomba mheshimwa Mkuu wa Mkoa Makala afike kujionea eneo hilo hatarishi.
2bb12c60-85b0-44b3-a2a4-e87635b65d5e.jpeg

d61313c1-c7ee-492c-91e7-36f953f86610.jpeg
 
Hili ni bomba kubwa la maji safi linalotokea Igoma mpaka Mkolani, limeharibu sana Barabara, Wachina ambao ndio wahusika wa ujenzi wa Barabara hawana hata mpango wa kujenga njia ambazo sasa zimetengeneza mipasuko hadi kwenye nyumba za watu.

Hii video ni eneo la Mtakuja lipo Igoma kuelekea Kakebe, ni moja ya maeneo hatari kwa usalama wa watu kwa jinsi lilivyoharibu ardhi.

Eneo hilo lipo karibu na Mto unaotenganisha Kakebe na Mtakuja.

Diwani wa eneo hilo pamoja na maafisa mazingira wa Jiji la Mwanza wanajua na hawataki kufanyia kazi.

Mwenyekiti wa eneo hilo la Mtakuja akiulizwa anasema hana muda wa kushughulikia kero za barabara zote za eneo hilo hatarishi kwa mmonyoko wa udongo na hatarishi kwa wakazi wa Mtakuja.

Aidha, eneo hilo hakuna miundombinu ya mfereji wa kupitisha maji, hali hiyo ilisababisha hata Wanafunzi wa maeneo hayo kufika Shule ya Msingi Mtakuja au Igoma C kupata wakati mgumu na kifo kimoja cha Mwanafunzi wa Darasa la Nne kuripotiwa kutokea mwezi wa nne 2022.

Hakuna juhudi za ujenzi wa daraja wala njia mbadala ya kuvuka hata muda wa mvua za masika.

Hivyo, tunaomba mheshimwa Mkuu wa Mkoa Makala afike kujionea eneo hilo hatarishi.
Nemc mko bize kufungia watu bar!hapo vipi?
 
Hili ni bomba kubwa la maji safi linalotokea Igoma mpaka Mkolani, limeharibu sana Barabara, Wachina ambao ndio wahusika wa ujenzi wa Barabara hawana hata mpango wa kujenga njia ambazo sasa zimetengeneza mipasuko hadi kwenye nyumba za watu.

Hii video ni eneo la Mtakuja lipo Igoma kuelekea Kakebe, ni moja ya maeneo hatari kwa usalama wa watu kwa jinsi lilivyoharibu ardhi.

Eneo hilo lipo karibu na Mto unaotenganisha Kakebe na Mtakuja.

Diwani wa eneo hilo pamoja na maafisa mazingira wa Jiji la Mwanza wanajua na hawataki kufanyia kazi.

Mwenyekiti wa eneo hilo la Mtakuja akiulizwa anasema hana muda wa kushughulikia kero za barabara zote za eneo hilo hatarishi kwa mmonyoko wa udongo na hatarishi kwa wakazi wa Mtakuja.

Aidha, eneo hilo hakuna miundombinu ya mfereji wa kupitisha maji, hali hiyo ilisababisha hata Wanafunzi wa maeneo hayo kufika Shule ya Msingi Mtakuja au Igoma C kupata wakati mgumu na kifo kimoja cha Mwanafunzi wa Darasa la Nne kuripotiwa kutokea mwezi wa nne 2022.

Hakuna juhudi za ujenzi wa daraja wala njia mbadala ya kuvuka hata muda wa mvua za masika.

Hivyo, tunaomba mheshimwa Mkuu wa Mkoa Makala afike kujionea eneo hilo hatarishi.
Tatizo kubwa la Mwanza ni mipangomiji ya hovyo...Mji umejaa slums,watu wamejijengea ovyoovyo tu.Hapo Igoma ndio zamani walikua wanapaita eti mtaa wa watu wazito....duuh pathetic

Mikdde Kitombile ChoiceVariable
 
Back
Top Bottom