Feedback,Before you all break your arms patting yourselves on the back and require tongue retreads from hailing each other, can I just say something please?Thank you for your kind accomodation! Let me say thisNaona uko Obsessed na majina ya watu sana.Sijui jina la Ben linaingiaje kwenye huu mjadala......Unapenda sana kuingia kwenye personal issues...kwako personal vendatta ndiyo hoja.Unastahili kuonyesha ni kitu gani kimekufanya au kuhalalisha wewe kunihusisha na hayo mambo uliyoandika hapo juu otherwise utuache tufanye kazi ya kukijenga chama chetu.hizo grudges zako zihifadhi kwenye friji mkuu,tuwe objective.the fact kwamba uko nyuma ya ID fake isikufanye uandike vitu ambavyo ni vya kinafiki,iam sure nikutana na wewe huna courage ya kuniambia hayo unayoandika kuhusu mimi au wengine,are you? Kuwapa nafasi za uongozi? Eboh ! Unamaanisha mimi kupewa nini vile?... kwa nipewe nafasi ya uongozi?kwa misingi ipi?For your information mimi siwezi kuwa mwanasiasa wa hovyo kiasi hicho.Unaonekana unahusudu sana vyeo vya kupewa bila tathmini.Sijawahi kujitathmini na kuona kwamba ninastahili kingine ndani ya Bavicha zaidi ya MWENYEKITI WA VIJANA.So,kuanzia leo uelewe hilo. Sijui unajua maana ya kiiongozi/uongozi. What we need is leadership. Someone who inspires people to follow him by his words and actions. Someone who has vision,energy and youth that can lead a team of similar traits to formulate and implement agendas/policies that will unite,impact positively on the lives of the populace.