Madiwani wa CHADEMA Arusha wagawanyika

Madiwani wa CHADEMA Arusha wagawanyika

Kweli ff nilijua wasio mjua huyu padre aliyekimbia utawa kuwa ni muzushi, watamwamini hadi mwisho wake wa maisha, kumbe kawafukuza mioyoni mwao haraka, kama mzee makamba alikuwa gamba basi cdm kuna gwanda lililopauka ni slaa.
 
CDM ni chama imara sana hata wakiwafukuza wabunge wote na ukarudiwa uchaguzi watashinda kwa kimbunga madiwani na shibuda ni sisimizi tu kikowapi cha kafulia hata kama alienda kwa mrembo mbatia nccr bado tunatisha cdm
 
Wapo wanayoipenda Tanzania na pia wapo ambao wapo tu, wamezoea kukaa mkekani na kwenda kwa geti na mwenyenazo akapewa kidogo akarudi mkekani, mtu kama huyu huna haja ya kubishana naye, kwani hata fikra za familia yake mwenyewe zimemshinda, mtu huyu ni shabiki wa omba omba, ukiondoa leno omba anajingine ila hataishia kufa kwa njaa. Jamani wa JF naamini hapa ndio mahali pakuanzisha mawazo mema juu ya nchi yetu na sio kumsifia mwizi aliyemwibia baba yako mpaka na mkate ule wa chai asubuhi, alafu unapita mtaani uanoamba msaada kisha ukisha shiba unajitia " aise yule mwizi nimemuhusudu sana" Hei nyie wanamagamba!! sipendi kuwaita hivyo lakini baadhi yenu hata bongo zenu zinamagamba ambayo yanaitaiji daktari mzuri kuwarejeshea ufahamu wenu. Tunahitaji Viongozi wenyemsimano, bora kuwa na jiwe na neno KIONGOZI BORA, kuliko na kiongozi mwenye jinsia ya kiume na yeye wanamfanya mke!!!
 
MKUU!!
Hapo juu kwenye red kumbe sio mwanachadema sasa kwa nini unatoa kauli ambazo watu watalazimika kusibiri kwa hamu hapo kwenye blue?
Narudia tena mkuu naomba uache kutoa matamko yatakayoshusha hadhi heshima ya chama, umetamka kuwa leo au kesho watakuwa wamfukuzwa je isipotokea? hata hivyo wapi mimi nimewatetea kuwa wamefanya vizuri kuungana na ccm? nachopinga mimi ni aina ya hukumu na vitisho kama nilivyoainisha pale mwanzo eneo nililoandika....''naona vita'' rudi usome hiyo coment yangu.
Sory pengine wewe ni mtu muhimu sana ndani ya chadema kwenye hatua muhimu za maamuzi ndio maana unaweka wazi bla shaka, kuwa leo au kesho watafukuzwa!!!
Kama sio, basi legeza ulimi mkuu na usitoe maneno yatakayowafanya watu wawe na hamu ya kuyasubiri, na mbaya zaidi unayatoa na deadline, eti ''kama sio leo ni kesho watakefukuzwa''
Nakushauri uendelee na profession yako ya udaktari maana inaonekana wewe siyo mwanasiasa unalazimisha au umelazimishwa kuingia kwenye siasa, unapinga maamuzi halali ya kamati kuu na kuyaita ya vitisho halafu bado unajiita mwanasiasa pole sana, anyway if you are genius enough tell me when is tomorrow?
 
FEEDBACK,

Mbona unapandisha mori sana ndugu, please calm down, let's discuss the matter in a very constructive decree, but we should not seek to satisfy our thirst for freedom by drinking from the cup of bitterness and hatred, its over.
AM among the sprawl, with no peculiar side!!!
I know you can't side either way for fear of losing your double bread.
 
Kuhusu upande,niko kwenye upande wa haki na nidhamu tu.

Anyways, Please be comfortable.....usiwe emotional kiasi hicho.
Of course am very comfortable indeed just watching on how you are struggling to satisfy your masters with no success.
 
FEEDBACK,

Mbona unapandisha mori sana ndugu, please calm down, let's discuss the matter in a very constructive decree, but we should not seek to satisfy our thirst for freedom by drinking from the cup of bitterness and hatred, its over.
AM among the sprawl, with no peculiar side!!!

Kuhusu upande,niko kwenye upande wa haki na nidhamu tu.

Anyways, Please be comfortable.....usiwe emotional kiasi hicho.
Poleni sana Bavicha the losers mlishindwa kuigawa Bavicha sasa mnataka kuwagawa madiwani kwa kujidai eti mnatetea pande zote huku mnachochea mgogoro na kupinga maamuzi ya kamati kuu kwa kuyaita ya vitisho shame on you all, ningekuwa Heche hata nisingewapanga kwenye kampeni ya Igunga mtakuwa mnatoa siri za chama.
 
Feedback, Ben, Nyakurungu, kila mmoja anataka kuonekana mwenye uchungu na CDM. na baya zaidi bifu lenu linazidi kuwagawa CDM na ili suala la Arusha! Mwisho wake utakuaje?
 
Feedback, Ben, Nyakurungu, kila mmoja anataka kuonekana mwenye uchungu na CDM. na baya zaidi bifu lenu linazidi kuwagawa CDM na ili suala la Arusha! Mwisho wake utakuaje?


Kuna tatizo la kujenga hoja kimazoea. kule kwa magamba watu walikuwa wanakubali kila amri inayotolewa na kiongozi.
lakini kwa chadema ni tofauti, watu wanajibu hoja wanaleta changamoto nyingi

mwisho wa issue ya arusha ni kwamba chadema itasimama imara.
 
Of course am very comfortable indeed just watching on how you are struggling to satisfy your masters with no success.

Duh....Samahani sana.inaonekana nimekukosea sana!

Poleni sana Bavicha the losers mlishindwa kuigawa Bavicha sasa mnataka kuwagawa madiwani kwa kujidai eti mnatetea pande zote huku mnachochea mgogoro na kupinga maamuzi ya kamati kuu kwa kuyaita ya vitisho shame on you all, ningekuwa Heche hata nisingewapanga kwenye kampeni ya Igunga mtakuwa mnatoa siri za chama.

Ha ha ha ha.....................! Loh......Halafu kwa Taarifa yako sina historia ya kushindwa uchaguzi,sina rekodi ya kushindwa Ballot Box ikiwa mbele yangu.Watu kama ninyi inaonekana mnaogopa sana kushindana kwenye ballot,kama mtu ni dhaifu wa kujenga hoja kiasi hicho si utatafuta mbinu za kuchakachua? Natoa wito kwako na wengine msiogope free and fair election....Anyways,Good day ila isilalame sana mkuu

Kuna tatizo la kujenga hoja kimazoea. kule kwa magamba watu walikuwa wanakubali kila amri inayotolewa na kiongozi.
lakini kwa chadema ni tofauti, watu wanajibu hoja wanaleta changamoto nyingi

mwisho wa issue ya arusha ni kwamba chadema itasimama imara.

Mungi,

Watu wanaposhindwa kujenga hoja wanaishia kulalama na kutia huruma tu inakuwa tatizo......cynics huwa wanapata shida sana.Sijui ni kwa nini watu hawako tayari kutoa mawazo huru,wanapenda unazi nazi tu!

Kwenye huu mjadala naomba nitoke ila...isije ikawa chanzo sasa cha watu kupotosha nikihitajika kuweka rekodi straight nitarudi kuweka lakini sichangii tena hoja iliyopo kwa sababu naona kuna watu wameelemewa sana.
 
musione aibu kuutangazia umma kuwa mmeshindwa kuwafanya lolote "vigogo" hao. tena wamewatoa nishai kwa kuwaeleza wazi kuwa hamuna ubavu huo, sasa ni hivi,mukijaribu kuwafukuza mtakuwa mnatwanga maji kwenye kinu.tume haina muda wa kuendekeza majungu yenu na visasi vyenu vya kugombea wanawake. hakutakuwa na uchaguzi wowote na itaendelea kuwatambua kama madiwani na ubunge kama kawa, na huenda ikatoa "special viti maalum" kwao.kama unabisha rudi nyuma na ukumbuke ishu ya marando akiwa NCCR ni jinsi gani aliweza kuwa mbunge wa afrika mashariki.


Kushindwa!! ni kitu gani mara nyingi kwa wenye upeo finyu kuna hulka ya kushinda au kushindwa. Wewe na wenzio mtazamo wa ushindi ni pamoja na kubaka demokrasia wahanga wakiwa wananchi na maendeleo yao. Kwa maoni yangu walioshindwa ni wale wanaochochea mgogoro ambao wanajulikana na CCM na mashoga wake.
 
Duh....Samahani sana.inaonekana nimekukosea sana!



Ha ha ha ha.....................! Loh......Halafu kwa Taarifa yako sina historia ya kushindwa uchaguzi,sina rekodi ya kushindwa Ballot Box ikiwa mbele yangu.Watu kama ninyi inaonekana mnaogopa sana kushindana kwenye ballot,kama mtu ni dhaifu wa kujenga hoja kiasi hicho si utatafuta mbinu za kuchakachua? Natoa wito kwako na wengine msiogope free and fair election....Anyways,Good day ila isilalame sana mkuu



Mungi,

Watu wanaposhindwa kujenga hoja wanaishia kulalama na kutia huruma tu inakuwa tatizo......cynics huwa wanapata shida sana.Sijui ni kwa nini watu hawako tayari kutoa mawazo huru,wanapenda unazi nazi tu!

Kwenye huu mjadala naomba nitoke ila...isije ikawa chanzo sasa cha watu kupotosha nikihitajika kuweka rekodi straight nitarudi kuweka lakini sichangii tena hoja iliyopo kwa sababu naona kuna watu wameelemewa sana.


Comrades Benard,Mungi na Feedback.

Watu waliozoea kujibu maswali yenye option mbili za majibu ya ''NDIYO au HAPANA'' usijitahidi kuwaambukiza maarifa.
Ukiwauliza nini kifanyike kwa vipi na itawazekanaje, hutapata majibu.
Nami nitarudi baadae kuchangia na sio kukujibu wewe ndugu feedback.
 
i know you can't side either way for fear of losing your double bread.

Lugha za watu hizi ni kazi sana,
Kuna tofauti kubwa kati ya tongue natives na tongue professional.
Wewe umeniuliza wht is tommorrow? Sasa unadhihilisha wewe upo humu kwa ajili gani, wht do u understand by the words ''peculiar side"?pole sana.
 
Comrades Benard,Mungi na Feedback.

Nami nitarudi baadae kuchangia na sio kukujibu wewe ndugu feedback.
Uwe na amani tu hata usiporudi mbona Heche anaifanyakazi vizuri bila group la alliance?
 
Estomih Mallah, haitaji jukwaa la kusemea, sisi Wananchi wapenda Amani ndio tunaomkubali, kama wewe ni mateka wa Mbowe na Slaa usimuambukize Naibu Meya udhaifu wako wa fikra

Udhaifu wa fikra utakuwa nao wewe maana Amani unayo izungumzia hata haipo
 
Ha ha ha ha.....................! Loh......Halafu kwa Taarifa yako sina historia ya kushindwa uchaguzi,sina rekodi ya kushindwa Ballot Box ikiwa mbele yangu.Watu kama ninyi inaonekana mnaogopa sana kushindana kwenye ballot,kama mtu ni dhaifu wa kujenga hoja kiasi hicho si utatafuta mbinu za kuchakachua? Natoa wito kwako na wengine msiogope free and fair election....Anyways,Good day ila isilalame sana mkuu
Ballot Box ya wanafunzi 20 wa chuo!!! you must be joking.

Nawashangaa sana nyie mnaoimba free na fair election, kama Chadema hakuna free and fair mnadhani nyie ndio mtaileta kwa slogan ya Radical change bila kutumia vikao halali vya chama, you are very very wrong my friends, au free and fair kwenu ni kwa wazee wakuacheni mfanye mnayotaka mhonge wajumbe kwa kugawa nauli na vitu vingine guys msikufuru. Kama unasema hujawahi kushindwa tuambie wapi shuleni? maana Bavicha ulishindwa kabla ya kuanza ina maana hukuwa na sifa hata za kukaribia ballot box. Nimekwambia na narudia tena siasa za shuleni ni tofauti na siasa za uraiani na majukwaani kama ukiendelea hivyo ballot box utakuwa unaisikia kwa wenzako.

Mimi ni mtu huru kabisa sina tabia ya kinafiki i have nothing to lose ndiyo maana hapo mwanzo nikawaambia wewe na mwenzako Nyakarungu mmelazimisha siasa haziendi hivyo ukiwa radical kwenye siasa inakutupa nje labda uingie mstuni, siasa hazina fomular kwamba kwa vile fulani alitumia njia hii na mimi niifute NO, mfano Zitto ana siasa zake na mbinu zake ukitaka kuziiga zinaweza kukuingiza choo cha kike na kumuacha yeye akiendelea.
 
Nimekutana na post hii lakini nikiangalia aliyepost alikuwa mmoja wa wagombea wa uenyekiti BAVICHA nikajiuliza kwanini ametoa comment kama hii, kwa uelewa wangu Kamati kuu ni kikao halali cha chama kimeshauri madiwani wajiuzulu, kwa post hii ina maana Nyakarungu anapinga hukumu ya Kamati kuu kwa kuiita ni ya vitisho. Nikajiuliza tena au bifu la kuenguliwa mapema kugombea uenyekiti bado linaendelea kati yao na uongozi wa chama.
quote_icon.png
By Nyakarungu Narudia tena mkuu naomba uache kutoa matamko yatakayoshusha hadhi heshima ya chama, umetamka kuwa leo au kesho watakuwa wamfukuzwa je isipotokea? hata hivyo wapi mimi nimewatetea kuwa wamefanya vizuri kuungana na ccm? nachopinga mimi ni aina ya hukumu na vitisho kama nilivyoainisha pale mwanzo eneo nililoandika....''naona vita'' rudi usome hiyo coment yangu.
 
Back
Top Bottom