Madiwani wa CHADEMA Arusha wagawanyika

Madiwani wa CHADEMA Arusha wagawanyika

Wana JF,

Ninge penda kurudi nyuma kidogo tu, Hivi hii kasheshe ya u Mayor (Jimbo la Arusha mjini) Nani ndio Chanzo twendeni sasa kielimu , Kiufahamu na fikra makini kwanza?

Na kama kweli Uchaguzi wa Mayor (Arusha) Usinge kuwa wa kimagumashi CCM/CDM wange ufanya huo uchaguzi bila kudanganyana leo tunge kuwa wapi?

Naona Kama lawa zaenda CDM? kwanini? CCM hawatajwi humu ndani mbona? Hii sio Ishara ya kuchezesha chess game hapa? Mtu mmoja anatafuta weekness ya mwingine ili ammalize mwingine au ndio kuviziana??

Mwafaka ulianzia wapi i mean ulianzaanzaje mpaka ukafikia hautua ukatokea kwa waandishi wa habari badala ya tamko kutoka kwa vyama hivyo viwili CCM/CDM?? Hamuoni hapo mutatuyumbisha kwa tamaazenu za kiuongozi au ndio tusema uchu wa madaraka hata kama fulani au fulani anayo hela au elimu fulani still twajua the whole process sio kamili lina viini macho tuu kwa wananchi, Je hizo ndio Siasa za Arusha za makundi ya watu walio nacho na wasio nacho maana huo mgogoro ukiuchimba ndani una mambo rukuki usipime, Leo hii mwaja na danganya toto ati madiwani wa CDM njaaaa na hao wa CCM je?

My Take: Tunaomba ktk hili kusiwe na vibaraka wa vigogo wowote kutoka pande zote CDM/CCM. Maana siasa za huko Arusha twazijua fika ubinafsi ni mkubwa kuliko UTU matabaka ya wenye nazo ni kubwa kuliko wasio nazo sie waafrika tuan matatizo sana. Kikubwa ni Uchaguzi urudiwe ndipo kutakuwa na BLACK&WHITE ya kupata Mayor watuletee Mkakati au sheria nzima inayotaka au inayotuonyesha jinsi ya kumchagua Mayor maaan kupishana kwa CDM na CCM nao wanahusika ilo liko wazi wananchi ndivyo tunavyojua na kunapikwa majungu mengine mengi sana huku twayapata maana CDM/CCM wanazungukana MBUYU. Huo Muafaka wanao ulazimishia ni kutaka kuwavuruga wananchi tuu hapo basi na kutafuta sababu zisizo na kichwa wal miguu.

Kama kweli CCM/CDM wanannia thabiti kabisa ya maendeleo ya Jimbo la Arusha its very simple wayavue madaraka yao yote warudi mezani uchaguzi wa Mayor ufate kanunu na majibu yatoke hapo hapo that is Democras ndio tujue kweli CCM/CDM hawana uchu wa madaraka period, kama kweli wao ni wazalendo kweli wa maendeleo ya mji huo wa Arusha
 
Ubabe muda mweingine matters!! we humuoni Gaddafi?? Jaribu nafasi ya Gaddafi kuweka Kikwete, unaona anavyopwaya eeh
 
Wana JF,

Ninge penda kurudi nyuma kidogo tu, Hivi hii kasheshe ya u Mayor (Jimbo la Arusha mjini) Nani ndio Chanzo twendeni sasa kielimu , Kiufahamu na fikra makini kwanza?

Na kama kweli Uchaguzi wa Mayor (Arusha) Usinge kuwa wa kimagumashi CCM/CDM wange ufanya huo uchaguzi bila kudanganyana leo tunge kuwa wapi?

Naona Kama lawa zaenda CDM? kwanini? CCM hawatajwi humu ndani mbona? Hii sio Ishara ya kuchezesha chess game hapa? Mtu mmoja anatafuta weekness ya mwingine ili ammalize mwingine au ndio kuviziana??

Mwafaka ulianzia wapi i mean ulianzaanzaje mpaka ukafikia hautua ukatokea kwa waandishi wa habari badala ya tamko kutoka kwa vyama hivyo viwili CCM/CDM?? Hamuoni hapo mutatuyumbisha kwa tamaazenu za kiuongozi au ndio tusema uchu wa madaraka hata kama fulani au fulani anayo hela au elimu fulani still twajua the whole process sio kamili lina viini macho tuu kwa wananchi, Je hizo ndio Siasa za Arusha za makundi ya watu walio nacho na wasio nacho maana huo mgogoro ukiuchimba ndani una mambo rukuki usipime, Leo hii mwaja na danganya toto ati madiwani wa CDM njaaaa na hao wa CCM je?

My Take: Tunaomba ktk hili kusiwe na vibaraka wa vigogo wowote kutoka pande zote CDM/CCM. Maana siasa za huko Arusha twazijua fika ubinafsi ni mkubwa kuliko UTU matabaka ya wenye nazo ni kubwa kuliko wasio nazo sie waafrika tuan matatizo sana. Kikubwa ni Uchaguzi urudiwe ndipo kutakuwa na BLACK&WHITE ya kupata Mayor watuletee Mkakati au sheria nzima inayotaka au inayotuonyesha jinsi ya kumchagua Mayor maaan kupishana kwa CDM na CCM nao wanahusika ilo liko wazi wananchi ndivyo tunavyojua na kunapikwa majungu mengine mengi sana huku twayapata maana CDM/CCM wanazungukana MBUYU. Huo Muafaka wanao ulazimishia ni kutaka kuwavuruga wananchi tuu hapo basi na kutafuta sababu zisizo na kichwa wal miguu.

Kama kweli CCM/CDM wanannia thabiti kabisa ya maendeleo ya Jimbo la Arusha its very simple wayavue madaraka yao yote warudi mezani uchaguzi wa Mayor ufate kanunu na majibu yatoke hapo hapo that is Democras ndio tujue kweli CCM/CDM hawana uchu wa madaraka period, kama kweli wao ni wazalendo kweli wa maendeleo ya mji huo wa Arusha
Jethro

You have said it, kinachotakiwa ni kanuni za uchaguzi zifuatwe na si kugawana madaraka kama pipi, hata Chadema toka mwanzo imesimamia hilo walisema hawana haja ya madaraka hata kama vyeo vyote viende CCM almradi misingi ya kanuni imefuatwa kitu ambacho hata mimi nakiunga mkono, afterall idadi ya madiwani wa CCM ni kubwa kuzidi ya CDM hata kama uchaguzi utarudiwa wana nafasi kubwa ya kushinda umeya hata n/meya wakitaka. Haya mengine ya vitisho na rushwa siyo kwamba si muhimu kujadiliwa na kuingizwa kwenye mgogoro lakini it is a different case hapa tatizo mama ni ukiukwaji wa kanuni za uchaguzi.
 
ni kweli mana chama hiki kinataka kuendeshwa kama familia au ukoo wa mbowe atakae kwenda kinyume afukuzwe chamani hii tabia hii imeendelea kuota mizizi sana hata wafuasi wake mbowe wameiga tabia hiyo ya kisultani na wanatumia nafasi zao kuchafua wenzao tabia hii si njema mana siku hizi mkipingana kimtazamo na mawazo yao wewe utazushiwa umetumwa na ccm,usalama wa taifa na mengine kama hayo wapambe wake kina mrema, kigaila waliofeli waliodisco mlimani wanaona umbea na majungu ndiyo njia ya kuwaweka mjini wao ,tabia hii inadhihilisha ubabe na vitisho ambavyo havina tija yeyote
 
......Halafu kwa Taarifa yako sina historia ya kushindwa uchaguzi,sina rekodi ya kushindwa Ballot Box ikiwa mbele yangu.Watu kama ninyi inaonekana mnaogopa sana kushindana kwenye ballot,kama mtu ni dhaifu wa kujenga hoja kiasi hicho si utatafuta mbinu za kuchakachua? Natoa wito kwako na wengine msiogope free and fair election....

Duh, inaonekana chama chetu kina tatizo kubwa sana. Hakuna uchaguzi huru na wa haki huko, au haki inakuwa imetendwa pale matakwa ya mtu fulani yanapotekelezwa? Nimewahi kusoma humuhumu maandiko kama haya haya mlalamikaji akiwa Zitto.
 
No one is perfect and no politica party is perfect. Kwenye saga ya Arusha nadhani msingi wa mtafaruku wote ni poor communications between HQ na Arusha. Binafsi sikubaliani na muafaka kwa wa 'VYEO' kwa sababu Africa nzima (sio Tanzania peke yake) kumekuwa na kasumba mbaya sana ya kugawana vyeo na hivyo kuondoa dhana nzima ya utawala wa demokrasia na uchaguzi. Na hii kasumba inachangia kwa kiasi kikubwa uwajibikaji wa viongozi kwa wananchi na hasa wapiga kura maana wanajua hata wakishindwa watafanya 'makubaliano' ya amani!

Kwa maana hiyo nampongeza Nanyaro kwa kuwa na upeo juu ya utawala wa demokrasia. Arusha watu wamekufa na wengine wamepata vilema vya maisha wakitetea misingi ya utawala bora, then leo mtu asema wamefikia muafaka? In the name of those who died madiwani wa CHADEMA Arusha wanatikwa wajue huu muafaka wanaoupiginia umejaa damu - bloody muafaka!

Na nilisema huko nyuma ili madiwani wa CHADEMA wawe na uhalali wa kupokea vyeo na kusema muafaka umepatikana basi ni sharti ndugu wa marehemu wa Jan 5, pamoja na majeruhi washirikishwe. Wamekufa watu hapa wakipigania haki, kwa nini madiwani wanaona ugumu ku-demand ccm na serikali yake wakomeshe tabia ya kukiuka sheria na taratibu za uchaguzi? Kwa vipi madiwani hawa wanaweza kusema wanaamini demokrasia na utawala bora ili hali wanaishi ukiukwaji huo? Hii tabia ya 'bwana yaishe' bila ku-address chimbuko la matatizo ndiyo imetufikisha hapa.

Leo hii Mary Chitanda anatamba bungeni! utajengaje taifa kama viongozi wanakuwa na 'conscious' ya Mary Chitanda? Watoto wa Taifa hili wanakuzwa kuwa watu gani kama viongozi tulio nao ni Mary Chitanda na madiwani wasio simamia yale wanohubiri?. Huyu Mallah anaweza kusimama mbele ya umma akasema kwa nini aliandamana January 5? Kile kilichomfanya akawa barabarani kimefanyika? Kama hakusimamia alichokuwa anahubiri January 5 sisi wananchi tumwamini kwa lipi? Ni maendeleo gani hayo anatamba kuwatufutia wana-Arusha kama hakuna haki?

Mtu kama Mary Chatanda hawezi leo hii akasimama bungeni kutetea wananchi kama anachokisema 'kitawaudhi' waliomuweka hapo? Kwa maana nyingine wananchi wanakuwa wamewekwa pembeni kama karai baada ya zege kuisha! Hatuwezi kuendelea kama msingi wenyewe ndio huo. Madiwani wa Arusha inabidi mtambue hilo.

Umeandika vizuri na mimi nakuunga mkono 100%
 
Hawa jamaa Nyakarungu na Ben hata mimi nina wasiwasi sana na uwepo wao ndani ya Chadema nasikia hata Heche anasita kuwapa hata nafasi za uongozi ndani ya Bavicha.
 
Hawa jamaa Nyakarungu na Ben hata mimi nina wasiwasi sana na uwepo wao ndani ya Chadema nasikia hata Heche anasita kuwapa hata nafasi za uongozi ndani ya Bavicha.

Feedback,
Before you all break your arms patting yourselves on the back and require tongue retreads from hailing each other, can I just say something please?

Thank you for your kind accomodation! Let me say this

Naona uko Obsessed na majina ya watu sana.Sijui jina la Ben linaingiaje kwenye huu mjadala......Unapenda sana kuingia kwenye personal issues...kwako personal vendatta ndiyo hoja.Unastahili kuonyesha ni kitu gani kimekufanya au kuhalalisha wewe kunihusisha na hayo mambo uliyoandika hapo juu otherwise utuache tufanye kazi ya kukijenga chama chetu.hizo grudges zako zihifadhi kwenye friji mkuu,tuwe objective.the fact kwamba uko nyuma ya ID fake isikufanye uandike vitu ambavyo ni vya kinafiki,iam sure nikutana na wewe huna courage ya kuniambia hayo unayoandika kuhusu mimi au wengine,are you?

Kuwapa nafasi za uongozi? Eboh ! Unamaanisha mimi kupewa nini vile?... kwa nipewe nafasi ya uongozi?kwa misingi ipi?For your information mimi siwezi kuwa mwanasiasa wa hovyo kiasi hicho.Unaonekana unahusudu sana vyeo vya kupewa bila tathmini.Sijawahi kujitathmini na kuona kwamba ninastahili kingine ndani ya Bavicha zaidi ya MWENYEKITI WA VIJANA.So,kuanzia leo uelewe hilo.

Sijui unajua maana ya kiiongozi/uongozi. What we need is leadership. Someone who inspires people to follow him by his words and actions. Someone who has vision,energy and youth that can lead a team of similar traits to formulate and implement agendas/policies that will unite,impact positively on the lives of the populace.



 
Feedback,
Before you all break your arms patting yourselves on the back and require tongue retreads from hailing each other, can I just say something please?

Thank you for your kind accomodation! Let me say this

Naona uko Obsessed na majina ya watu sana.Sijui jina la Ben linaingiaje kwenye huu mjadala......Unapenda sana kuingia kwenye personal issues...kwako personal vendatta ndiyo hoja.Unastahili kuonyesha ni kitu gani kimekufanya au kuhalalisha wewe kunihusisha na hayo mambo uliyoandika hapo juu otherwise utuache tufanye kazi ya kukijenga chama chetu.hizo grudges zako zihifadhi kwenye friji mkuu,tuwe objective.the fact kwamba uko nyuma ya ID fake isikufanye uandike vitu ambavyo ni vya kinafiki,iam sure nikutana na wewe huna courage ya kuniambia hayo unayoandika kuhusu mimi au wengine,are you?

Kuwapa nafasi za uongozi? Eboh ! Unamaanisha mimi kupewa nini vile?... kwa nipewe nafasi ya uongozi?kwa misingi ipi?For your information mimi siwezi kuwa mwanasiasa wa hovyo kiasi hicho.Unaonekana unahusudu sana vyeo vya kupewa bila tathmini.Sijawahi kujitathmini na kuona kwamba ninastahili kingine ndani ya Bavicha zaidi ya MWENYEKITI WA VIJANA.So,kuanzia leo uelewe hilo.

Sijui unajua maana ya kiiongozi/uongozi. What we need is leadership. Someone who inspires people to follow him by his words and actions. Someone who has vision,energy and youth that can lead a team of similar traits to formulate and implement agendas/policies that will unite,impact positively on the lives of the populace.

Ben achana nao bwana wako kazini. Tuelekeze macho Igunga, tutumie vipawa vyetu kwa ajili ya future ya CHADEMA na watanzania
 
Feedback,Before you all break your arms patting yourselves on the back and require tongue retreads from hailing each other, can I just say something please?Thank you for your kind accomodation! Let me say thisNaona uko Obsessed na majina ya watu sana.Sijui jina la Ben linaingiaje kwenye huu mjadala......Unapenda sana kuingia kwenye personal issues...kwako personal vendatta ndiyo hoja.Unastahili kuonyesha ni kitu gani kimekufanya au kuhalalisha wewe kunihusisha na hayo mambo uliyoandika hapo juu otherwise utuache tufanye kazi ya kukijenga chama chetu.hizo grudges zako zihifadhi kwenye friji mkuu,tuwe objective.the fact kwamba uko nyuma ya ID fake isikufanye uandike vitu ambavyo ni vya kinafiki,iam sure nikutana na wewe huna courage ya kuniambia hayo unayoandika kuhusu mimi au wengine,are you? Kuwapa nafasi za uongozi? Eboh ! Unamaanisha mimi kupewa nini vile?... kwa nipewe nafasi ya uongozi?kwa misingi ipi?For your information mimi siwezi kuwa mwanasiasa wa hovyo kiasi hicho.Unaonekana unahusudu sana vyeo vya kupewa bila tathmini.Sijawahi kujitathmini na kuona kwamba ninastahili kingine ndani ya Bavicha zaidi ya MWENYEKITI WA VIJANA.So,kuanzia leo uelewe hilo. Sijui unajua maana ya kiiongozi/uongozi. What we need is leadership. Someone who inspires people to follow him by his words and actions. Someone who has vision,energy and youth that can lead a team of similar traits to formulate and implement agendas/policies that will unite,impact positively on the lives of the populace.
ben wewe ni tinga tinga achana na hao wenye chuki binafsi watakuwepo tu na nnajua unauzoefu nao ,let them not be part of your movement!we need strong Bavicha ,help us with your knowledge kuwaondoa hawa wakoloni wa leo ccm kwani ndio adui yetu wa kwanza kisera!
 
Nimekutana na post hii lakini nikiangalia aliyepost alikuwa mmoja wa wagombea wa uenyekiti BAVICHA nikajiuliza kwanini ametoa comment kama hii, kwa uelewa wangu Kamati kuu ni kikao halali cha chama kimeshauri madiwani wajiuzulu, kwa post hii ina maana Nyakarungu anapinga hukumu ya Kamati kuu kwa kuiita ni ya vitisho. Nikajiuliza tena au bifu la kuenguliwa mapema kugombea uenyekiti bado linaendelea kati yao na uongozi wa chama.
Uchonganishi wa kijinga usio na maana kila siku munaanzisha thread zisizo na kichwa wala mkia,kama munategemea hao vijana Nyakarungu na Ben kuwachonganisha nadhani munajisumbua hao ni vijana waliotayari kutumikia chama chao,na wala hawatakuja waanike sytrategy zao za kufanya kazi wala hawatawaambia wanashirikiana vipi na uongozi manake hizo ndio strategy zenyewe za kujenga umoja wao,Bravo ben na Nyakarungu kwa kuja jamvini kujibu mada mbalimbali
 
Nimekutana na post hii lakini nikiangalia aliyepost alikuwa mmoja wa wagombea wa uenyekiti BAVICHA nikajiuliza kwanini ametoa comment kama hii, kwa uelewa wangu Kamati kuu ni kikao halali cha chama kimeshauri madiwani wajiuzulu, kwa post hii ina maana Nyakarungu anapinga hukumu ya Kamati kuu kwa kuiita ni ya vitisho. Nikajiuliza tena au bifu la kuenguliwa mapema kugombea uenyekiti bado linaendelea kati yao na uongozi wa chama.
Mkuu huna hoja ya msingi, umekurupuka
 
ni kweli mana chama hiki kinataka kuendeshwa kama familia au ukoo wa mbowe atakae kwenda kinyume afukuzwe chamani hii tabia hii imeendelea kuota mizizi sana hata wafuasi wake mbowe wameiga tabia hiyo ya kisultani na wanatumia nafasi zao kuchafua wenzao tabia hii si njema mana siku hizi mkipingana kimtazamo na mawazo yao wewe utazushiwa umetumwa na ccm,usalama wa taifa na mengine kama hayo wapambe wake kina mrema, kigaila waliofeli waliodisco mlimani wanaona umbea na majungu ndiyo njia ya kuwaweka mjini wao ,tabia hii inadhihilisha ubabe na vitisho ambavyo havina tija yeyote
Hivi ni nani anaongoza chama kifamilia au ukoo kama co Wanagamba ulichoandika inaonesha akili yako imefika mwisho wa kufikiri kwani uliyaandika hata chekechea hawezi kukuamini
 
nimekutana na post hii lakini nikiangalia aliyepost alikuwa mmoja wa wagombea wa uenyekiti bavicha nikajiuliza kwanini ametoa comment kama hii, kwa uelewa wangu kamati kuu ni kikao halali cha chama kimeshauri madiwani wajiuzulu, kwa post hii ina maana nyakarungu anapinga hukumu ya kamati kuu kwa kuiita ni ya vitisho. Nikajiuliza tena au bifu la kuenguliwa mapema kugombea uenyekiti bado linaendelea kati yao na uongozi wa chama.

Naomba nikuite boss,
Ni hatua nzuri sana umefikia ya kuweza kusoma maandiko ya mtu na kuweza kuyaweka katika mfumo reply with quote, lakini nikushangae kidogo, Inawezekanaje uwe na uwezo mkubwa sana wa kuandika kirefu na ushindwe kufuatilia mada nzima ilipoanzia na kuwa maneno hayo yameandikwa kwa kujibu kitu gani?,
Pole na kazi, ila naomba ufuatilie mtirirko wa mada tangu mwanzo na ingependeza hoja yangu ungeiweka yote sio kukata kipande cha mnaso tu mkuu.
Chadema itasimama imara na huwezi kuiyumbisha kamwe, na itadumu na utaishudia ikidumu.
 
Unaonekana unahusudu sana vyeo vya kupewa bila tathmini.Sijawahi kujitathmini na kuona kwamba ninastahili kingine ndani ya Bavicha zaidi ya MWENYEKITI WA VIJANA.So,kuanzia leo uelewe hilo.
Poor Ben yaani wewe unajiona matawi ya juu kuwa huwezi kufanyakazi zingine za chama hadi uwe mwenyekiti duh! itabidi niiweke kwenye signature yangu, ila sidhani kama chama kinahitaji watu wa aina hiyo.
 
Poor Ben yaani wewe unajiona matawi ya juu kuwa huwezi kufanyakazi zingine za chama hadi uwe mwenyekiti duh! itabidi niiweke kwenye signature yangu, ila sidhani kama chama kinahitaji watu wa aina hiyo.

Sijui ni wapi nilikosema siwezi kufanya kazi zingine za chama hadi niwe mwenyekiti...Duh,inaonekana una tatizo la kuelewa.I think i should ignore you now! Eish! ! !
 
Hawa jamaa Nyakarungu na Ben hata mimi nina wasiwasi sana na uwepo wao ndani ya Chadema nasikia hata Heche anasita kuwapa hata nafasi za uongozi ndani ya Bavicha.

FEEDBACK,
Nilikwisha kuahidi siwezi kupambana na wewe kwa kutarajia kutoa majibu ya ndiyo au hapana.
Nakuhakikishia utaiona chadema ikiwa wima na utafahamu na wasiwasi wako utaisha pale umri wako kisiasa utakua matured.
Vita yako ni baina ya mtu na mtu wala sio hoja kwa hoja,so am not such kind guy!! pole na kazi
.
Nikikuita mwanaccm unaetaka cdm isiwe na watu wanaojenga hoja utapinga? maana unataka wale wanaotukana tu, wasioweza kujibu hoja kama wanaccm wengi mlivyo,ili mijadala ipoteze mwelekeo.
Basi hapa umepambana na kazi, tena sio kazi ya kitoto, hadi ukae chini ujipange upya mkuu.
Na ujue kabisa ukileta matusi sisi tunasimama na hoja, na ukileta hoja tunaipiga kwa hoja, haya kawambie wajipange tena.
 
Nimekutana na post hii lakini nikiangalia aliyepost alikuwa mmoja wa wagombea wa uenyekiti BAVICHA nikajiuliza kwanini ametoa comment kama hii, kwa uelewa wangu Kamati kuu ni kikao halali cha chama kimeshauri madiwani wajiuzulu, kwa post hii ina maana Nyakarungu anapinga hukumu ya Kamati kuu kwa kuiita ni ya vitisho. Nikajiuliza tena au bifu la kuenguliwa mapema kugombea uenyekiti bado linaendelea kati yao na uongozi wa chama.
Hongera sana EF kumbe na wewe umeliona hilo, hawa ndio viongozi wetu wanaotaka uongozi ili waje kuwa wajumbe wa kamati mbalimbali ikiwemo hiyo wanayoipinga na kuiita kuwa ni ya vitisho lakini uzuri hata wazee wanalijua hilo ndiyo maana hata ballot box hawakulinusa.
 
Poor Ben yaani wewe unajiona matawi ya juu kuwa huwezi kufanyakazi zingine za chama hadi uwe mwenyekiti duh! itabidi niiweke kwenye signature yangu, ila sidhani kama chama kinahitaji watu wa aina hiyo.
Mkuu umedandia treni kwa mbele, hebu isome vizuri comment yake ulipo bold, sidhani kama amemaanisha ulivyo maanisha wewe
 
Sijui ni wapi nilikosema siwezi kufanya kazi zingine za chama hadi niwe mwenyekiti...Duh,inaonekana una tatizo la kuelewa.I think i should ignore you now! Eish! ! !

BENARD,
LOOK BEFOE YOU LEEP, HE SOUND LIKE MACBETH's PROPAGANDAZ, LET HIM UPROOTISE HIMSLF!!
 
Back
Top Bottom