...sio hatari kama angetumia mikono yote...angekua na bonge la mwili mbona...
Mbona unatetea?
Hahahaaaa jamaa kasiha aisee
Lol
Na wewe ni member??Huo ni uongo sasa. Mimi ninaupinga hadi kesho
Hahahaaa jamaa kaisha aisee
Duh nilianza na ya mbele then nikaimalizia ya nyuma...dogo nawewe siungezipanga tu hizo herufi!kiswahili plz braza!..