Utingo
JF-Expert Member
- Dec 15, 2009
- 10,265
- 8,098
Wakuu, ni kama joke lakini wikiendi hii nilimkuta dogo mmoja amelewa chakari kijiweni, nilipofika tu akaanza kuniambia, "Bro, hivi ikiwa dawa ya babu, wanayosema inatokana na mti wenye sumu, ikawa na madhara (side effects) baada ya muda kama miezi sita au mwaka, hii nchi si itakuwa inaongozwa na ma-mento? machizi kama mimi? maana inasemekana JK kanywa, wakuu wa mikoa, watendaji wakuu wa serikali, mawaziri, maaskofu, wafanya biashara wakubwa, vigogo wanasiasa etc etc." Nilimpuuzia, lakini.....!!!!?????????